Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28],As long as mvaaji yupo comfortable hakuna ubaya wowote.
Ila inakuwa shida pale una kitambi mchomoko halafu unatinga shati ya kimodo, hapo lazima uwe kama pishori la mpunga lilojazwa kupita kipimo.
View attachment 2668745
Huyo wa kwenye picha anaesoma habari mwili wake unamruhusu kabisa.
tena la kumeremetaAchana na kubana, unavaaje shati la kuteleza?
njoo nikuwaoComments zenu mie hoi🙌
Ili unioe mate live au?njoo nikuwao
Nimekamisi kale kapicha kako. Fanya mandingo basi nisuuze macho na kuburudisha nafsiComments zenu mie hoi🙌
[emoji28]AiseeHizi ndio style zangu tumbo six pack halafu kifua na mkono kama nimekwenda kwa fundi seremala. Naweka na cologne ile wadada wakinusa kachupi kanaanza kushuka wenyewe.
Ila wale kitambi cha bia msiwe na jealous [emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Acha Ukorofi bhana 🤒Nimekamisi kale kapicha kako. Fanya mandingo basi nisuuze macho na kuburudisha nafsi