Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nimecheka sana yaani. Lol.As long as mvaaji yupo comfortable hakuna ubaya wowote.
Ila inakuwa shida pale una kitambi mchomoko halafu unatinga shati ya kimodo, hapo lazima uwe kama pishori la mpunga lilojazwa kupita kipimo.
View attachment 2668745
Huyo wa kwenye picha anaesoma habari mwili wake unamruhusu kabisa.
Hivi si ndio wanasemaga sifa jipe mwenyewe Mkuu? 😂Hizi ndio style zangu tumbo six pack halafu kifua na mkono kama nimekwenda kwa fundi seremala. Naweka na cologne ile wadada wakinusa kachupi kanaanza kushuka wenyewe.
Ila wale kitambi cha bia msiwe na jealous 🤣🤣
Me nimesema umemtaja mtu?We umeona nimemtaja mtu hapo,au nimezungumzia uvaaji?
Hili ni jukwaa la fasheni,ndicho kinachotufanya tujadili uvaaji,unaweza kuvaa suti na sandals ukaona uko sahihi,lakini kwa maana ya fasheni ukawa unachekesha,kwahio ninapozungumzia uvaaji wa mtu hapa ni kwa muktadha wa fasheni.Me nimesema umemtaja mtu?
Unazungumzia uvaaji wa mtu kama ni sahihi kwa muktadha gani?
Sababu uvaaji ni vile mvaaji anaona inamfaa.
hao ni itv, washamba kweli kweliWakuu,
Hivi kuvaa shati la kubana kwa kiasi hiki ni fashion sahihi au linapaswa kubana kiasi gani?
Wataalamu wa fasheni mnasemaje Je inapendeza?
Ahsante. View attachment 2668742
Mhhhhh kama n official jaman hapana kabisaaa yan shati limebana kama kibode[emoji23]Wakuu,
Hivi kuvaa shati la kubana kwa kiasi hiki ni fashion sahihi au linapaswa kubana kiasi gani?
Wataalamu wa fasheni mnasemaje Je inapendeza?
Ahsante. View attachment 2668742
Tuone picha za watu wanaojiamini waliovaa hivyoMwanaume kama unapinga huo uvaaji basi hujitambui bado, ila sisi wataalamu tunawaambia kwamba huo ndo uvaaji wa mtu anaejiamini.
Pembeni ya shamba baada kung'oa mihogo😂Sasa mimi pacha ake muhogo mchungu natakiwa ni comment wapi?
Fasheni ya kuonesha six pack ndani ya shati!! Hahahahaha.....ujana una wehu fulani ndani yake!Wakuu,
Hivi kuvaa shati la kubana kwa kiasi hiki ni fashion sahihi au linapaswa kubana kiasi gani?
Wataalamu wa fasheni mnasemaje Je inapendeza?
Ahsante. View attachment 2668742
Hizi ndio style zangu tumbo six pack halafu kifua na mkono kama nimekwenda kwa fundi seremala. Naweka na cologne ile wadada wakinusa kachupi kanaanza kushuka wenyewe.
Ila wale kitambi cha bia msiwe na jealous 🤣🤣