Shati kubana mwili namna hii ni sahihi?

Shati kubana mwili namna hii ni sahihi?

As long as mvaaji yupo comfortable hakuna ubaya wowote.

Ila inakuwa shida pale una kitambi mchomoko halafu unatinga shati ya kimodo, hapo lazima uwe kama pishori la mpunga lilojazwa kupita kipimo.

View attachment 2668745

Huyo wa kwenye picha anaesoma habari mwili wake unamruhusu kabisa.
Ila nimecheka sana yaani. Lol.

Hapo akila tu vifungo vinatatuka. 😂
 
Hizi ndio style zangu tumbo six pack halafu kifua na mkono kama nimekwenda kwa fundi seremala. Naweka na cologne ile wadada wakinusa kachupi kanaanza kushuka wenyewe.

Ila wale kitambi cha bia msiwe na jealous 🤣🤣
Hivi si ndio wanasemaga sifa jipe mwenyewe Mkuu? 😂
 
Me nimesema umemtaja mtu?

Unazungumzia uvaaji wa mtu kama ni sahihi kwa muktadha gani?

Sababu uvaaji ni vile mvaaji anaona inamfaa.
Hili ni jukwaa la fasheni,ndicho kinachotufanya tujadili uvaaji,unaweza kuvaa suti na sandals ukaona uko sahihi,lakini kwa maana ya fasheni ukawa unachekesha,kwahio ninapozungumzia uvaaji wa mtu hapa ni kwa muktadha wa fasheni.
 
Km ana mwili athletic hilo size yake kabisa.
Unataka avau shati kuubwa km limfuko la mashineni
 
Mwanaume kama unapinga huo uvaaji basi hujitambui bado, ila sisi wataalamu tunawaambia kwamba huo ndo uvaaji wa mtu anaejiamini.
 
Hizi ndio style zangu tumbo six pack halafu kifua na mkono kama nimekwenda kwa fundi seremala. Naweka na cologne ile wadada wakinusa kachupi kanaanza kushuka wenyewe.

Ila wale kitambi cha bia msiwe na jealous 🤣🤣
1687762974978.png

Kama nakuona na shati lako la kubana🤣
 
Back
Top Bottom