Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆Kuvaa mashati kwenye video ndio ikoje?
Nije nimalizie 😃Comments zenu mie hoi🙌
aka shati la kitambaa cha night dress!Achana na kubana, unavaaje shati la kuteleza?
🤣🤣🤣🤭Nije nimalizie 😃
[emoji3] Labda yeye anaona yuko sawa tuJamaa ana mwili wa tizi ila ndo ivo kakosa mentor wa fashion, hizo shati za mng'ao/za kilokole ni za kitambo sana.
Kijana wa wapi huyo anavaa shati za mng'ao, haoni presenters vijana wenzie wa eatv wanavochapa pamba kali.
Anazingua aisee mbona kina diamond wana miili ya mazoezi ila wakichapa suti unaona kabisa jamaa yuko njema kwa tizi.[emoji3] Labda yeye anaona yuko sawa tu
Avae atakavyoWewe ni mtaalamu wa nini?mtu anaejiamini anatakiwa avaeje?
Wapo wengi mbona mkuu, mfano mzuri we waangalie hata wanawake wenzako wanaovaa nguo mnazosema sio za maadiliTuone picha za watu wanaojiamini waliovaa hivyo
😂😂😂As long as mvaaji yupo comfortable hakuna ubaya wowote.
Ila inakuwa shida pale una kitambi mchomoko halafu unatinga shati ya kimodo, hapo lazima uwe kama pishori la mpunga lilojazwa kupita kipimo.
View attachment 2668745
Huyo wa kwenye picha anaesoma habari mwili wake unamruhusu kabisa.