Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Rejea thread hii kwanza:
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka

Pia soma majibu ya Prof. Sedoyeka hapa:
Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili

Nina uzoefu wa masuala ya figusu za maofsini. Nawashauri yeyote aliye na mamlaka na anayeitumia Sekretariati ya Maadili kwa ajili ya manufaa yake afanye ifuatavyo ili asiingize Serikali kwenye migogoro ya kupoteza kesi na kulipa mamilioni ya fidia huko mbeleni.

Hakuna issue yeyote ambayo Profesa Sedoyeka anaweza kupoteza kazi. Kama hawamtaki natoa njia 2 tu:-

1) Wamatafutie kazi nyingine kupitia Mamlaka yake ya uteuzi

2) Kwa kuwa Rector/ Principal wa IAA ni kazi ya mkataba, wamvumilie tu mpaka mkataba wake uishe, halafu wasi RENEW

NB: Mchakato wote wa kumpeleka kwenye Sekretariati ya Maadili ni kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za 2003.

Maamuzi yeyote dhidi ya Profesa Sedoyeka kwa hizo tuhuma FEKI, ni kumuandalia fidia tu kwenye Mahakama.

Najua humu kuna wanafunzi na wafanyakazi wa IAA, naomba hii POST yangu muiweke AKIBA. Iko siku mtairejea.
 
Hawa ni CCM wanamfanyia figisu kuna pesa pale wameona, chuo yaani online pekee kina wanafunzi zaidi ya 1000 masters, achana na walio campus za Dodoma, Dar na Songea + main, bado undergraduate, diploma na certificate hivyo chuo kinaingiza zaidi ya 10B per year, Pro kaonyesha ubunifu mkubwa na uthubutu sasa wameona njia ni kumuundia zengwe wamtoe wapeleke fisadi pale akakiue chuo.
 
Ni kweli hata mimi sioni suala la maadili dhidi ya Prof Sedoyeka. Kama ni ufisadi basi wangepeleka TAKUKURU.

Na masuala ya kuhamisha wafanyakazi ndani na nje ndiyo kazi ya Mkuu wa Chuo wala siyo ukiukwaji wa maadili.

Sekretarieti ya Maadili imepewa mamlaka ya kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995 sura 398. Sheria hii ilianza kutumika tarehe 01 Julai 1995 na inatumika Tanzania Bara pamoja na Zanzibar kwa viongozi wenye madaraka katika Serikali ya Muungano.

Kuna mtu ameamua kuitumia sheria hii vibaya.
 
Hawa ni CCM wanamfanyia figisu kuna pesa pale wameona, chuo yaani online pekee kina wanafunzi zaidi ya 1000 masters, achana na walio campus za Dodoma, Dar na Songea + main, bado undergraduate, diploma na certificate hivyo chuo kinaingiza zaidi ya 10B per year, Pro kaonyesha ubunifu mkubwa na uthubutu sasa wameona njia ni kumuundia zengwe wamtoe wapeleke fisadi pale akakiue chuo
Na sasa ujenzi wa hostels kubwa kubwa unaendelea pale Main Campus Arusha. Hiking nacho lazima kiwe kiini cha mgogoro na watesi wake manake tunaambiwa Profesa Sadoyeka aliamua kujenga hostels hizo kupitia force account ili kupunguza gharama za ujenzi.
 
Rejea thread hii kwanza:

Pia soma majibu ya Prof Sedoyeka hapa:-

Nina uzoefu wa masuala ya figusu za maofsini. Nawashauri yeyote aliye na mamlaka na anayeitumia Sekretariati ya Maadili kwa ajili ya manufaa yake afanye ifuatavyo ili asiingize Serikali kwenye migogoro ya kupoteza kesi na kulipa mamilioni ya fidia huko mbeleni.

Hakuna issue yeyote ambayo Profesa Sedoyeka anaweza kupoteza kazi. Kama hawamtaki natoa njia 2 tu:-

1) Wamatafutie kazi nyingine kupitia Mamlaka yake ya uteuzi

2) Kwa kuwa Rector/ Principal wa IAA ni kazi ya mkataba, wamvumilie tu mpaka mkataba wake uishe, halafu wasi RENEW

NB:
Mchakato wote wa kumpeleka kwenye Sekretariati ya Maadili ni kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za 2003.

Maamuzi yeyote dhidi ya Profesa Sedoyeka kwa hizo tuhuma FEKI, ni kumuandalia fidia tu kwenye Mahakama.

Najua humu kuna wanafunzi na wafanyakazi wa IAA, naomba hii POST yangu muiweke AKIBA. Iko siku mtairejea
Uvunjifu wa maadili ya kazi yameshika Kasi Sana miongoni mwa Watawala kiasi imefikia hatua kwamba inaonekana ni kitu cha kawaida kabisa katika jamii.
 
Na sasa ujenzi wa hostels kubwa kubwa unaendelea pale Main Campus Arusha. Hiking nacho lazima kiwe kiini cha mgogoro na watesi wake manake tunaambiwa Profesa Sadoyeka aliamua kujenga hostels hizo kupitia force account ili kupunguza gharama za ujenzi.
Nazifahamu kwanza ni heshima kubwa sn kwa chuo na wanafunzi, hata za mikoani zipo vizuri sn anafanya kazi kubwa sn, sema CCM watakuwa wameomba fedha za rushwa na uchaguzi akawanyima ndiyo maana wameanza naye.
 
Na sasa ujenzi wa hostels kubwa kubwa unaendelea pale Main Campus Arusha. Hiking nacho lazima kiwe kiini cha mgogoro na watesi wake manake tunaambiwa Profesa Sadoyeka aliamua kujenga hostels hizo kupitia force account ili kupunguza gharama za ujenzi.
Ila naamini Prof Sedoyeka atashinda. Kama unafanya kitu chema mbele ya Mungu kamwe hawezi kukuacha.

Ayubu 19:25 Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.
 
Ila naamini Prof Sedoyeka atashinda. Kama unafanya kitu chema mbele ya Mungu kamwe hawezi kukuacha.

Ayubu 19:25 Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.
Sahihi
 
Rejea thread hii kwanza:
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka

Pia soma majibu ya Prof. Sedoyeka hapa:
Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili

Nina uzoefu wa masuala ya figusu za maofsini. Nawashauri yeyote aliye na mamlaka na anayeitumia Sekretariati ya Maadili kwa ajili ya manufaa yake afanye ifuatavyo ili asiingize Serikali kwenye migogoro ya kupoteza kesi na kulipa mamilioni ya fidia huko mbeleni.

Hakuna issue yeyote ambayo Profesa Sedoyeka anaweza kupoteza kazi. Kama hawamtaki natoa njia 2 tu:-

1) Wamatafutie kazi nyingine kupitia Mamlaka yake ya uteuzi

2) Kwa kuwa Rector/ Principal wa IAA ni kazi ya mkataba, wamvumilie tu mpaka mkataba wake uishe, halafu wasi RENEW

NB: Mchakato wote wa kumpeleka kwenye Sekretariati ya Maadili ni kinyume na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za 2003.

Maamuzi yeyote dhidi ya Profesa Sedoyeka kwa hizo tuhuma FEKI, ni kumuandalia fidia tu kwenye Mahakama.

Najua humu kuna wanafunzi na wafanyakazi wa IAA, naomba hii POST yangu muiweke AKIBA. Iko siku mtairejea.
Wewe ndo propesa nini?
 
Acha kushauri mambo usiyoyajua hawa maprofesa ni wapumbavu sana wengi ni wakabila, Malaya, wezi wenye tamaa, wabaguzi sana na wapenda sifa. Kuna taasisi ipo wizara ya fedha niliwahi kuhudhuria kikao kazi kimoja katika utambulisho nikasikia kuna mtu cheo chake ni Msaidizi wa mtendaji Mkuu ikabidi nimuulize Moja ya wakurugenzi akasema huyo mtendaji Mkuu ndio kateua msaidizi kijana wa kiume huku yeye akiwa professor kijana mwanamke. Tulipofuatilia yule kijana ni mtu wa masijala tena very Junior kiasi kwamba hawezi hata kupaswa kumsogelea huyo bosi wake. Kuna ukiukwaji mkubwa sana WA sheria kwa hawa wanaojiita maprofesa kwenye taasisi za umma. Hasa taasisi zilipo chini ya wizara ya fedha
 
Kwa nini wafuasi wa Mnaenda kutetea maovu?

Nazifahamu kwanza ni heshima kubwa sn kwa chuo na wanafunzi, hata za mikoani zipo vizuri sn anafanya kazi kubwa sn, sema CCM watakuwa wameomba fedha za rushwa na uchaguzi akawanyima ndiyo maana wameanza naye.
 
Nazifahamu kwanza ni heshima kubwa sn kwa chuo na wanafunzi, hata za mikoani zipo vizuri sn anafanya kazi kubwa sn, sema CCM watakuwa wameomba fedha za rushwa na uchaguzi akawanyima ndiyo maana wameanza naye.
Wakuu wa wilaya, wenyeviti wa mikoa wa ccm ukikataa kutekeleza matakwa yao lzma uende na maji, hivyo vyeo ni sumu ya maendeleo.
 
Hawa ni CCM wanamfanyia figisu kuna pesa pale wameona, chuo yaani online pekee kina wanafunzi zaidi ya 1000 masters, achana na walio campus za Dodoma, Dar na Songea + main, bado undergraduate, diploma na certificate hivyo chuo kinaingiza zaidi ya 10B per year, Pro kaonyesha ubunifu mkubwa na uthubutu sasa wameona njia ni kumuundia zengwe wamtoe wapeleke fisadi pale akakiue chuo.
Hiki chuo ni nextlevo,ni so creative,nawakubali mnoo
 
Wewe ndo propesa nini?
Mimi ni Stuxnet siyo Prof Sedoyeka ila nimebobea kwenye sheria za kazi. Nenda jukwaa la Sheria kwenye

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania).​


Nenda ka search Stuxnet uone ni lini nimekuwa nikitoa ushauri wa kisheria kwa wenye uhitaji.
 
Acha kushauri mambo usiyoyajua hawa maprofesa ni wapumbavu sana wengi ni wakabila, Malaya, wezi wenye tamaa, wabaguzi sana na wapenda sifa. Kuna taasisi ipo wizara ya fedha niliwahi kuhudhuria kikao kazi kimoja katika utambulisho nikasikia kuna mtu cheo chake ni Msaidizi wa mtendaji Mkuu ikabidi nimuulize Moja ya wakurugenzi akasema huyo mtendaji Mkuu ndio kateua msaidizi kijana wa kiume huku yeye akiwa professor kijana mwanamke. Tulipofuatilia yule kijana ni mtu wa masijala tena very Junior kiasi kwamba hawezi hata kupaswa kumsogelea huyo bosi wake. Kuna ukiukwaji mkubwa sana WA sheria kwa hawa wanaojiita maprofesa kwenye taasisi za umma. Hasa taasisi zilipo chini ya wizara ya fedha
Wewe ndiye mpumbavu. Soma kwanza tuhuma za Profesa Sedoyeka halafu njoo ulnganishe na ulichoandika hapo kwenye post yako. Halafu nyie la 7 B haya mambo hamna uwezo ww kuyajadili!! Viachieni vichwa tu ndiyo vipambane
 
Kwenye issue ya huyu mkuu wa chuo kuna mfanyakazi ni hr kabla ya huyo professor kuteuliwa km wizara ya maliasili na utalii walikuwa wote chuo cha uhasibu arusha.
Inavyoonekana alivyohamishiwa maliasili na utalii huyo mfanyakazi naye akahamishiwa huko.
Sasa alivyorudishwa tena chuo cha uhasbu inaonyesha huyo bwa hr naye amerudishwa. sijui ameombwa arudishwe na kabla hata barua yake ya uhamisho kutoka wizara ya maliasili kuja chuo haijatoka huyo hr akapewa cheo cha ukuu wa section ya hr hapo chuoni.
Ilikuwaje?
Hivi hiyo ni coincidense gani? huyo bosi alivyohamishiwa wizara ya utalii huyo hr naye akahamia huko , karudiswha chuoni naye karudishwa ni mtu na mke wake nini nashauri mamlaka zichunguze zaidi ni kitu ambacho hakiingii akilini hata kidogo
 
Ila naamini Prof Sedoyeka atashinda. Kama unafanya kitu chema mbele ya Mungu kamwe hawezi kukuacha.

Ayubu 19:25 Lakini mimi najua ya kuwa Mteteaji wangu yu hai, Na ya kuwa hatimaye atasimama juu ya nchi.
Mungu wenu huyo kalala usingizi.
 
Back
Top Bottom