Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

Acha kushauri mambo usiyoyajua hawa maprofesa ni wapumbavu sana wengi ni wakabila, Malaya, wezi wenye tamaa, wabaguzi sana na wapenda sifa. Kuna taasisi ipo wizara ya fedha niliwahi kuhudhuria kikao kazi kimoja katika utambulisho nikasikia kuna mtu cheo chake ni Msaidizi wa mtendaji Mkuu ikabidi nimuulize Moja ya wakurugenzi akasema huyo mtendaji Mkuu ndio kateua msaidizi kijana wa kiume huku yeye akiwa professor kijana mwanamke. Tulipofuatilia yule kijana ni mtu wa masijala tena very Junior kiasi kwamba hawezi hata kupaswa kumsogelea huyo bosi wake. Kuna ukiukwaji mkubwa sana WA sheria kwa hawa wanaojiita maprofesa kwenye taasisi za umma. Hasa taasisi zilipo chini ya wizara ya fedha
Let me tell you Brother, wanasiasa wana upuuzi mwingi, huwa wanataka kila mkuu wa taasisi wampande kichwani na aruhusu upigaji so wanapomkuta mtu amesimama kwenye kufuata kanuni na kutokubali njia ya upigaji kupitia taasisi hizo ndipo mzozo huanza.

Am sure professor Sedoyeka kuna mahala amegoma taasisi yake kutumika kama kichaka cha upigaji.

Kuna Rafiki yangu alikuwa taasisi fulani inajihusisha na mambo ya nishati, basi waziri mwenye Dhamana akataka apitishe wizi wake pale DG akagoma kwamba huo sio utaratibu na akakomaa na taratibu. The next few days jamaa alitenguliwa uteuzi, lkn Mungu si Athuman yule waziri nae alihanishwa ile wizara lkn baadae alipigwa chini kbs na sasa amebaki kama Mbunge tu. Karma is a bitch.

Prof. Sedoyeka atayashinda haya mapito,
 
Mimi ni Stuxnet siyo Prof Sedoyeka ila nimebobea kwenye sheria za kazi. Nenda jukwaa la Sheria kwenye

Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania).​


Nenda ka search Stuxnet uone ni lini nimekuwa nikitoa ushauri wa kisheria kwa wenye uhitaji.
Mkuu, nadhani tungejikuta katika kuonyesha uongo wa tuhuma anazotuhumiwa Prof. Vinginevyo, kama tuhuma zina ukweli, tutulie tuu apate Haki yake.
 
Mambo yote ya uhamisho yako kwenye job description ya Mkuu wa Chuo. Hakuna kitu alicho fanya ultra vires
Hapa ni suala la mtumishi hr kuhamishwa kutoka wizara ya utalii kuhamia chuoni. Hili suala linafanywa na menejiment ya utumishi wa umma.
Utumishi wahojiwe kitu gani au ni just coinsidence kwamba huyo hr grade 11 anahama na bosi anavyohamishwa .
Kuna kitu kimejificha hapo . Mambo mengine yote mimi naona ni petty issue
 
Mkuu, nadhani tungejikuta katika kuonyesha uongo wa tuhuma anazotuhumiwa Prof. Vinginevyo, kama tuhuma zina ukweli, tutulie tuu apate Haki yake.
Tuhuma mbuzi hizo zisitupotezee muda. Hizo issues ziko so trivial kujadiliwa tu Sekretariati ya maadili.
 
Ndio inabidi uchunguzi wa kina ufanyike kuhusu kuhamishwa huyo mtumishi kila bosi wake huyo anapohamishiwa .
Mkuu hicho sio kitu cha kawaida wala sikubali ni just a coincedence .
Kuna kitu kimejificha .
Kumbuka kuna sehemu nimesoma kwamba kuna barua iliandikwa kumuomba .
Kuna kitu hawakiwekwi wazi kati ya huyo bwana hr na prof isije ikawa wanasaga mahindi pamoja. maadili sio kuhusu hela tu
Mmmhh!
 
Ajabu ya Tanzania mbumbumbu kama wewe unatukana Professa na kumuita wa mchongo. Utakuta hata D 2 za NECTA huna
Wewe na professor wako wote ni vilaza tu msiojua sheria. Kwanza toka lini mfunga mashuka akawa na akili ya kuiongoza taasisi kama IAA. Huyo ni mbadhilifu Huwezi pandisha watu vyeo vya rushwa za ngono na upendeleo wa ukabila ukajiita Prof. Lambda ni yule Le profeseri wa ze comedi
 
Wewe na professor wako wote ni vilaza tu msiojua sheria. Kwanza toka lini mfunga mashuka akawa na akili ya kuiongoza taasisi kama IAA. Huyo ni mbadhilifu Huwezi pandisha watu vyeo vya rushwa za ngono na upendeleo wa ukabila ukajiita Prof. Lambda ni yule Le profeseri wa ze comedi
Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye (Mithali 26:4)

Unapoona kwenye mjadala mtu anaanzisha matusi, ujuwe umemzidi point
 
Kwamadudu yalivyojaa nchi hii ndo kutukurupusha tume ya maadili iliyo chini ya ofisi ya Rais na inayoongozwa na majaji wastaafu kutangaza kumhoji Professor hadharani kwa issue kama hizi ni vioja. Mambo hayo yangeshughulikiwa na board, mfano huyo jamaa wa manunuzi arudishwe kwenye eneo LA taaluma yake.
 
Jamani wabongo wenzangu mambo ni mengi nchi hii. Tukiamua ofisi kubwa kama tume iliyo chini ya ofisi wa Rais na inayoongozwa na wanasheria wabobezi kama majaji wastaafu ishughulike na makosa ya uhamisho wa MTU mmoja na kupandishwa kwake cheo na makosa kama mtumishi mmoja kupewa majukumu ambayo hakusomea hatutokaa tufike popote au tutafika baada ya kuchelewa sana. Makosa yanaweza kuwepo lakini ni vitu vidogo sana ukilinganisha na status ya tume yenyewe. Ofisi kubwa kiasi hicho ikijitumbukiza kwenye mambo kama haya haiwezi asilani kushughulikia mambo makubwa na ya msingi yanayokwamisha nchi yetu. Nilitegemea kusikia profesa kala hela za ada za chuo zipatazo bilioni kadhaa au vitu kama hivyo.
 
Kwamadudu yalivyojaa nchi hii ndo kutukurupusha tume ya maadili iliyo chini ya ofisi ya Rais na inayoongozwa na majaji wastaafu kutangaza kumhoji Professor hadharani kwa issue kama hizi ni vioja. Mambo hayo yangeshughulikiwa na board, mfano huyo jamaa wa manunuzi arudishwe kwenye eneo LA taaluma yake.
Absolutely
 
Jamani wabongo wenzangu mambo ni mengi nchi hii. Tukiamua ofisi kubwa kama tume iliyo chini ya ofisi wa Rais na inayoongozwa na wanasheria wabobezi kama majaji wastaafu ishughulike na makosa ya uhamisho wa MTU mmoja na kupandishwa kwake cheo na makosa kama mtumishi mmoja kupewa majukumu ambayo hakusomea hatutokaa tufike popote au tutafika baada ya kuchelewa sana. Makosa yanaweza kuwepo lakini ni vitu vidogo sana ukilinganisha na status ya tume yenyewe. Ofisi kubwa kiasi hicho ikijitumbukiza kwenye mambo kama haya haiwezi asilani kushughulikia mambo makubwa na ya msingi yanayokwamisha nchi yetu. Nilitegemea kusikia profesa kala hela za ada za chuo zipatazo bilioni kadhaa au vitu kama hivyo.
Tume inatumika na huyo mfanyakazi Robert Mtwango, ambaye ana connection either na kigogo wa Sekretariati ya Maadili au Wizarani
 
Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye (Mithali 26:4)

Unapoona kwenye mjadala mtu anaanzisha matusi, ujuwe umemzidi point
Wewe ndiye hoja hapo unatukuza vyeti takataka vya huyo professor wako wa dawa za kienyeji hapa
 
Back
Top Bottom