Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

Shauri la Sekretariati ya Maadili vs Prof. Sedoyeka wa IAA: Natoa Ushauri wa Bure

Ni kweli hata mimi sioni suala la maadili dhidi ya Prof Sedoyeka. Kama ni ufisadi basi wangepeleka TAKUKURU.

Na masuala ya kuhamisha wafanyakazi ndani na nje ndiyo kazi ya Mkuu wa Chuo wala siyo ukiukwaji wa maadili.

Sekretarieti ya Maadili imepewa mamlaka ya kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma Na. 13 ya 1995 sura 398. Sheria hii ilianza kutumika tarehe 01 Julai 1995 na inatumika Tanzania Bara pamoja na Zanzibar kwa viongozi wenye madaraka katika Serikali ya Muungano.

Kuna mtu ameamua kuitumia sheria hii vibaya.
Kilichonishangaza ni jinsi matangazo yalivyorushwa Kila mahali, aise hata kama mtu humpendi ndiyo umfanyie character assassination ya kiasi kile?
 
Uvunjifu wa maadili ya kazi yameshika Kasi Sana miongoni mwa Watawala kiasi imefikia hatua kwamba inaonekana ni kitu cha kawaida kabisa katika jamii.
Hii ni ya kweli, lakini kwanini cases zinakuwa selected na siyo ku deal na wote ambao Wana portrait hizo tabia?
 
Kwenye issue ya huyu mkuu wa chuo kuna mfanyakazi ni hr kabla ya huyo professor kuteuliwa km wizara ya maliasili na utalii walikuwa wote chuo cha uhasibu arusha.
Inavyoonekana alivyohamishiwa maliasili na utalii huyo mfanyakazi naye akahamishiwa huko.
Sasa alivyorudishwa tena chuo cha uhasbu inaonyesha huyo bwa hr naye amerudishwa. sijui ameombwa arudishwe na kabla hata barua yake ya uhamisho kutoka wizara ya maliasili kuja chuo haijatoka huyo hr akapewa cheo cha ukuu wa section ya hr hapo chuoni.
Ilikuwaje?
Hivi hiyo ni coincidense gani? huyo bosi alivyohamishiwa wizara ya utalii huyo hr naye akahamia huko , karudiswha chuoni naye karudishwa ni mtu na mke wake nini nashauri mamlaka zichunguze zaidi ni kitu ambacho hakiingii akilini hata kidogo
Uhamisho wa wafanyakazi ndani ya Serikali unasimamiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wala siyo Taasisi/ Wizara zingine.

Bado siyo kosa la kimaadili
 
Hawa ni CCM wanamfanyia figisu kuna pesa pale wameona, chuo yaani online pekee kina wanafunzi zaidi ya 1000 masters, achana na walio campus za Dodoma, Dar na Songea + main, bado undergraduate, diploma na certificate hivyo chuo kinaingiza zaidi ya 10B per year, Pro kaonyesha ubunifu mkubwa na uthubutu sasa wameona njia ni kumuundia zengwe wamtoe wapeleke fisadi pale akakiue chuo.
Chuo kidogo sana hicho,sasa UDOM na UDSM wasemeje,??acheni kutetea matumizi mabaya ya ofisi,apambane na haki yake
 
Acha kushauri mambo usiyoyajua hawa maprofesa ni wapumbavu sana wengi ni wakabila, Malaya, wezi wenye tamaa, wabaguzi sana na wapenda sifa. Kuna taasisi ipo wizara ya fedha niliwahi kuhudhuria kikao kazi kimoja katika utambulisho nikasikia kuna mtu cheo chake ni Msaidizi wa mtendaji Mkuu ikabidi nimuulize Moja ya wakurugenzi akasema huyo mtendaji Mkuu ndio kateua msaidizi kijana wa kiume huku yeye akiwa professor kijana mwanamke. Tulipofuatilia yule kijana ni mtu wa masijala tena very Junior kiasi kwamba hawezi hata kupaswa kumsogelea huyo bosi wake. Kuna ukiukwaji mkubwa sana WA sheria kwa hawa wanaojiita maprofesa kwenye taasisi za umma. Hasa taasisi zilipo chini ya wizara ya fedha
Wewe ndiyo mpumbavu mkubwa
Huyo mjinga wako mmoja uliyemuona unafikir wote wapo kama wewe na yeye
Acha ku generalize watu punguani wewe
Kama ndiyo tabia yako kufanya umalaya wizi usifikir kila mtu anafanya hivo ngiri wewe
 

Attachments

  • downloadfile-2.jpg
    downloadfile-2.jpg
    53.9 KB · Views: 3
Wewe ndiye mpumbavu. Soma kwanza tuhuma za Profesa Sedoyeka halafu njoo ulnganishe na ulichoandika hapo kwenye post yako. Halafu nyie la 7 B haya mambo hamna uwezo ww kuyajadili!! Viachieni vichwa tu ndiyo vipambane
Sasa unalialia nini hapa jukwaani nenda kajibu mashitaka na professor wako wa mchongo huyo. Tangu lini mkawa na akili nyie washenzi wakubwa. Mkajibu mashitaka huko kwanza
 
Sasa unalialia nini hapa jukwaani nenda kajibu mashitaka na professor wako wa mchongo huyo. Tangu lini mkawa na akili nyie washenzi wakubwa. Mkajibu mashitaka huko kwanza
Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu sawa na upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye.
 
Acha kushauri mambo usiyoyajua hawa maprofesa ni wapumbavu sana wengi ni wakabila, Malaya, wezi wenye tamaa, wabaguzi sana na wapenda sifa. Kuna taasisi ipo wizara ya fedha niliwahi kuhudhuria kikao kazi kimoja katika utambulisho nikasikia kuna mtu cheo chake ni Msaidizi wa mtendaji Mkuu ikabidi nimuulize Moja ya wakurugenzi akasema huyo mtendaji Mkuu ndio kateua msaidizi kijana wa kiume huku yeye akiwa professor kijana mwanamke. Tulipofuatilia yule kijana ni mtu wa masijala tena very Junior kiasi kwamba hawezi hata kupaswa kumsogelea huyo bosi wake. Kuna ukiukwaji mkubwa sana WA sheria kwa hawa wanaojiita maprofesa kwenye taasisi za umma. Hasa taasisi zilipo chini ya wizara ya fedha
Mwambie huyo mtoa mada maana anamlinda mno huyo prof...yule kijana aliemtoa manunuzi kwenda kuwa mkagua wanafunzi library amemuonea sana ...nahisi kina Dili alitaka kulicheza sasa dogo akalizuia...ikabidi atupwe library..sawa anaruhusiwa na sheria lakini it is not fair at all
 
Acha kushauri mambo usiyoyajua hawa maprofesa ni wapumbavu sana wengi ni wakabila, Malaya, wezi wenye tamaa, wabaguzi sana na wapenda sifa. Kuna taasisi ipo wizara ya fedha niliwahi kuhudhuria kikao kazi kimoja katika utambulisho nikasikia kuna mtu cheo chake ni Msaidizi wa mtendaji Mkuu ikabidi nimuulize Moja ya wakurugenzi akasema huyo mtendaji Mkuu ndio kateua msaidizi kijana wa kiume huku yeye akiwa professor kijana mwanamke. Tulipofuatilia yule kijana ni mtu wa masijala tena very Junior kiasi kwamba hawezi hata kupaswa kumsogelea huyo bosi wake. Kuna ukiukwaji mkubwa sana WA sheria kwa hawa wanaojiita maprofesa kwenye taasisi za umma. Hasa taasisi zilipo chini ya wizara ya fedha

Umeandika mambo mengi, lkn kwa ujumla. Be specific to the subject individual rector of IAA.
 
Uhamisho wa wafanyakazi ndani ya Serikali unasimamiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Menejiment ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wala siyo Taasisi/ Wizara zingine.

Bado siyo kosa la kimaadili
Ndio inabidi uchunguzi wa kina ufanyike kuhusu kuhamishwa huyo mtumishi kila bosi wake huyo anapohamishiwa .
Mkuu hicho sio kitu cha kawaida wala sikubali ni just a coincedence .
Kuna kitu kimejificha .
Kumbuka kuna sehemu nimesoma kwamba kuna barua iliandikwa kumuomba .
Kuna kitu hawakiwekwi wazi kati ya huyo bwana hr na prof isije ikawa wanasaga mahindi pamoja. maadili sio kuhusu hela tu
 
Na sasa ujenzi wa hostels kubwa kubwa unaendelea pale Main Campus Arusha. Hiking nacho lazima kiwe kiini cha mgogoro na watesi wake manake tunaambiwa Profesa Sadoyeka aliamua kujenga hostels hizo kupitia force account ili kupunguza gharama za ujenzi.
😂 😂 😂 😂 😂 . Forced account ni kitu gani?
 
Sasa unalialia nini hapa jukwaani nenda kajibu mashitaka na professor wako wa mchongo huyo. Tangu lini mkawa na akili nyie washenzi wakubwa. Mkajibu mashitaka huko kwkwanza
Ajabu ya Tanzania mbumbumbu kama wewe unatukana Professa na kumuita wa mchongo. Utakuta hata D 2 za NECTA huna
 
Mwambie huyo mtoa mada maana anamlinda mno huyo prof...yule kijana aliemtoa manunuzi kwenda kuwa mkagua wanafunzi library amemuonea sana ...nahisi kina Dili alitaka kulicheza sasa dogo akalizuia...ikabidi atupwe library..sawa anaruhusiwa na sheria lakini it is not fair at all
Library kuna inventory ya vitabu. Professionals wa CSP wanasoma procurement and supply kama somo. Sawa na CPA wanasoma Accounting and Auditing. Hivyo mtu mwenye CPA anaweza fanya kazi audit au accounts. Likewise CSP anweza fanya procurement au supplies (warehouse, inventory, transportation)
 
Ndio inabidi uchunguzi wa kina ufanyike kuhusu kuhamishwa huyo mtumishi kila bosi wake huyo anapohamishiwa .
Mkuu hicho sio kitu cha kawaida wala sikubali ni just a coincedence .
Kuna kitu kimejificha .
Kumbuka kuna sehemu nimesoma kwamba kuna barua iliandikwa kumuomba .
Kuna kitu hawakiwekwi wazi kati ya huyo bwana hr na prof isije ikawa wanasaga mahindi pamoja. maadili sio kuhusu hela tu
Mambo yote ya uhamisho yako kwenye job description ya Mkuu wa Chuo. Hakuna kitu alicho fanya ultra vires
 
Back
Top Bottom