Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mhh hicho kidudu sasa mweh.
mhh hicho kidudu sasa mweh.
Tunafahamu chanzo cha huu ugonjwa ila sisi tunautumia kama adhabu kwa viwembe.
Hebu tuache masikhara tuongee ukweli,Kama wewe humridhishi mkeo,unamnyanyasa,na wewe unatoka nje,Au uko busy kinoma.Unategemea nini? mkuki kwa nguruwe..............
HAHAHAHAH!shemeji nitakupigia shortly.huku kigoma mitandao ya fidel haikamati....!naona una dalili zooote za KULIVUA PENZI HADHARANIHebu tuache masikhara tuongee ukweli,Kama wewe humridhishi mkeo,unamnyanyasa,na wewe unatoka nje,Au uko busy kinoma.Unategemea nini? mkuki kwa nguruwe..............
Tunafahamu chanzo cha huu ugonjwa ila sisi tunautumia kama adhabu kwa viwembe.
Du hii kali. Nasikia hii adhabu ipo sana maeneo ya pwani! Huku kwetu ukitembea na mke wa mtu adhabu yake ni kifo tu. Wengine hata wakipewa adhabu hiyo wataendelea tu kumega wake za watu kwa sababu mashine inafanya kazi kama kawa!