Shauri ya kula wake za watu!

Shauri ya kula wake za watu!

Sasa huyo ukimjambisha peeeeeeeeeeeeeeeeee utaona shughuli yake
 
KUle Tanga wapo kibao, wanasema ati unasababishwa na kunywa maji ya madafu, sijui kweli??
 
Hicho mbona kipo safi tu, hapo hakija simama ndio mana kinaingiza mwili ndani ya jumba la kobe, ila kikisimama usikipimie.

Ha ha ha ha, Nimecheka sana hapa.
 
Hakuna cha mke wa mtu wala nini hiyo ni athari ya ugonjwa wa matende unaosababishwa na mbu.

Tunafahamu chanzo cha huu ugonjwa ila sisi tunautumia kama adhabu kwa viwembe.
 
Tunafahamu chanzo cha huu ugonjwa ila sisi tunautumia kama adhabu kwa viwembe.

Hebu tuache masikhara tuongee ukweli,Kama wewe humridhishi mkeo,unamnyanyasa,na wewe unatoka nje,Au uko busy kinoma.Unategemea nini? mkuki kwa nguruwe..............
 
Hebu tuache masikhara tuongee ukweli,Kama wewe humridhishi mkeo,unamnyanyasa,na wewe unatoka nje,Au uko busy kinoma.Unategemea nini? mkuki kwa nguruwe..............

Hahaha! Mchumba leo umeamua jambo. LOL!
 
Hebu tuache masikhara tuongee ukweli,Kama wewe humridhishi mkeo,unamnyanyasa,na wewe unatoka nje,Au uko busy kinoma.Unategemea nini? mkuki kwa nguruwe..............
HAHAHAHAH!shemeji nitakupigia shortly.huku kigoma mitandao ya fidel haikamati....!naona una dalili zooote za KULIVUA PENZI HADHARANI
 
Tunafahamu chanzo cha huu ugonjwa ila sisi tunautumia kama adhabu kwa viwembe.

Kama anabisha ani PM tunayo hata formula ya HIV, tunaitumia kwa mabosi wanoko.
 
Heee! hii kweli adhabu tosha.Sasa wanawake nao wanaugua nini wakiiba waume za watu?

MAKALIO YANAHAMIA MBELE.UTAJUTA!!!!
 
Du hii kali. Nasikia hii adhabu ipo sana maeneo ya pwani! Huku kwetu ukitembea na mke wa mtu adhabu yake ni kifo tu. Wengine hata wakipewa adhabu hiyo wataendelea tu kumega wake za watu kwa sababu mashine inafanya kazi kama kawa!
 
Du hii kali. Nasikia hii adhabu ipo sana maeneo ya pwani! Huku kwetu ukitembea na mke wa mtu adhabu yake ni kifo tu. Wengine hata wakipewa adhabu hiyo wataendelea tu kumega wake za watu kwa sababu mashine inafanya kazi kama kawa!

Huko kwenu noma.
 
Hi mtu akikutishia kwa kukuambia "Nitakushusha mshipa" maana yake ndio hii? Mbona 'balaha'!
 
Hi mtu akikutishia kwa kukuambia "Nitakushusha mshipa" maana yake ndio hii? Mbona 'balaha'!

Usile mke wa mtu unajua watu wanachukulia masiharia ati, smke wa ntu auma sana ati.
 
Back
Top Bottom