Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Hujaelewa nilichomaanisha
||"You were too young to understand"||
Okay kama ni hivo lets goooooo
Njoo PM tuongee vizuri...before I decide.
||"You were too young to understand"||
I did.... Labda me ndo sijaeleweka.....
That's why nkasema by the time she z mature enaf kuelewa t will b too late for her....
PM kuna foleni tumalizane hapa hapa
Poa nakusubiri.
||"You were too young to understand"||
sion notification zangu on time nakasirikaje
Hapa tunamaliziaje jamani.
||"You were too young to understand"||
sion notification zangu on time nakasirikaje
hahaaa kwani tulianzaje
hazel true love zenyewe zapatikana kwa manatiUsije ukakosa true love buree.....
nilijua baada ya kumaliza masomo na nilijua kipindi huyo mkeo anamimba ckujua alijifungua lin bali nilikuja kusikia anamtoto tuachanen na hayo najua unanipenda bt angalia maisha yako mi siwez tena kurudi nyuma najua maumivu nilioyapata na nilikwambia uniache nijue msimamo wako kama kwel ww hukuwa na mtu isingekuwa raisi kukubali matokeo mapema vile lakin nilivogundua una mtu ambaye tayar ni mjamzito nikajua kwann tulikuwa hatuna mawasiliano ok cwez kuwa wako tena jenga maisha na huyoo ulienae m na ww tutabaki mafriend tu sawa eehhh .... hata nikisema nikurudie wewe bado huyo ulienae ataumia kwa sababu yangu na inaonesha yeye aanakupenda sana bac kuwa naye huyooo
Aliyenacho anasema cha nini!Hasiyenacho anasema nitakipata lini?!!!
We nawe do u ll
Hahaha usinikumbushe aise dah
||"You were too young to understand"||
Pole..mimi notification zinajirudia tuu
||"You were too young to understand"||
nimekumbuka nimecheka mwenyewe tu