She is here now, I need her back

She is here now, I need her back

Hujaelewa nilichomaanisha


||"You were too young to understand"||

I did.... Labda me ndo sijaeleweka.....
That's why nkasema by the time she z mature enaf kuelewa t will b too late for her....
 
I did.... Labda me ndo sijaeleweka.....
That's why nkasema by the time she z mature enaf kuelewa t will b too late for her....

I feel sorry for her.


||"You were too young to understand"||
 
Aahhhh labda huko aliko kuna "green pasture" si unajua.....
 
nilijua baada ya kumaliza masomo na nilijua kipindi huyo mkeo anamimba ckujua alijifungua lin bali nilikuja kusikia anamtoto tuachanen na hayo najua unanipenda bt angalia maisha yako mi siwez tena kurudi nyuma najua maumivu nilioyapata na nilikwambia uniache nijue msimamo wako kama kwel ww hukuwa na mtu isingekuwa raisi kukubali matokeo mapema vile lakin nilivogundua una mtu ambaye tayar ni mjamzito nikajua kwann tulikuwa hatuna mawasiliano ok cwez kuwa wako tena jenga maisha na huyoo ulienae m na ww tutabaki mafriend tu sawa eehhh .... hata nikisema nikurudie wewe bado huyo ulienae ataumia kwa sababu yangu na inaonesha yeye aanakupenda sana bac kuwa naye huyooo

Huu ndo ukweli mchungu.
Kuna siku huyu jamaa utamkuta na huyu mwanamke kitandani, atakwambia wanaonvelea ishu ya mtoto.
Endelea na msimamo huo ka hupendi kuumizwa.
 
Sisi watu wazima wenye experience ya haya makitu tunakushauri kijanaACHANA NA HUYU MWANAMKE.
atakuumiza sana ukiendelea kukomaa nae,

kwanza unajidhalilisha ujue kuendelea kujionyesha how much umeoza kwake na umekwama......mapenzi yapo tuu, ila kama mwanaume unatakiwa upende nawe pia ujipende.........
yaani hapa unaonesha unapenda mpaka unajisahau wewe mwenyewe...........come on kijana, MOVE ON
 
Back
Top Bottom