She is here now, I need her back

Pole xana girl but nakushauri umrudie mpenz wako coz he have real lv to u,now days kumpata mume wakuoa na mwenye mapenz ya dhati jaribu kustart new page and forget about past look foward
 
Nahitaji kujifunza kitu kutoka kwenye uzi huu kama nami naweza tena kuserebuka.Geez, vifua vina mambo mengi sana.


||"You were too young to understand"||
 

naweza kukumbusha baadhi ya mambo.
we mi kuwa na mtoto ulijuaje?
na kumbuka muda uliojua.
kumbuka nilikuambiaje juu ya sababu ya mimi kumpata huyu mtoto.
 
Kama mungu amekupangia utamuoa..
Coz tayar anajua unampenda na uko tayar kumuoa...let nature take ts course
 


Dada hilo ndio Jibu
na umeepusha Ligi kwanini asitumie PM (Private Massege) ww ni mtangazaji na unategemewa na wengi huwezi jua unaweza pata na wewe vijana wa JF walio Single au huko Mjini kwako.
Hapa JF watakujenga au kukubomoa kabisa,naona unajua faida na hasara za kalamu / Mitandao (Publicity)
 
Jf is going places.

Hahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaa!!! Tell me about it!! Kuna bombshells all the time. Why do u think some of us are stuck here for 9 years now!!
 
Nahitaji kujifunza kitu kutoka kwenye uzi huu kama nami naweza tena kuserebuka.Geez, vifua vina mambo mengi sana.
||"You were too young to understand"||
Upo sahihi kabisa JF facebook Tweeter na mitandaoni sio mahali pa kuja JIANIKA
Hata km umezidiwa tumia PM au simu ya kiganjani, Tablets nk maana yakizidi ni kuumbua peupe na hakuna wa kuwapatanisha
 
naweza kukumbusha baadhi ya mambo.
we mi kuwa na mtoto ulijuaje?
na kumbuka muda uliojua.
kumbuka nilikuambiaje juu ya sababu ya mimi kumpata huyu mtoto.

nilijua baada ya kumaliza masomo na nilijua kipindi huyo mkeo anamimba ckujua alijifungua lin bali nilikuja kusikia anamtoto tuachanen na hayo najua unanipenda bt angalia maisha yako mi siwez tena kurudi nyuma najua maumivu nilioyapata na nilikwambia uniache nijue msimamo wako kama kwel ww hukuwa na mtu isingekuwa raisi kukubali matokeo mapema vile lakin nilivogundua una mtu ambaye tayar ni mjamzito nikajua kwann tulikuwa hatuna mawasiliano ok cwez kuwa wako tena jenga maisha na huyoo ulienae m na ww tutabaki mafriend tu sawa eehhh .... hata nikisema nikurudie wewe bado huyo ulienae ataumia kwa sababu yangu na inaonesha yeye aanakupenda sana bac kuwa naye huyooo
 

Mtoto na mwanamke mwingine sio uke wenza.Kitanda hakizai haramu.Kataa ndoa sababu ya mtoto uje uletewe mtoto ukiwa ndani ya ndoa na huyo atakaye kuoa.

Wewe Sema humpendi tu au mapenzi kwake yameisha na si kuongea swala la uke wenza wakati braza hapa amekuja hadharani kushow love kwako.U are looking for a perfect guy,nakushauri muumbe wako.Hakuna mtu mzuri kama ambaye kajifunza kwa vitendo na kajutia makosa na kuomba radhi

U have done enough braza,if she doesn't appreciate sio kesi wewe chapa lapa,acha atafute mme mwema ambaye hana mtoto na hatomfanya kuwa mke mwenza.
 
 

Shostisto rudisha moyo nyuma kashajieleza mwenzio na sababu amekupa. Mfungulie moyo wako mpe nafasi akuonyeshe mapenzi yake kwako kwa mara nyingine,hayo mawazo dhaifu achana nayo,yaliyopita yaache yapite gangeni yajayo. Jengeni familia yenye upendo
 

OKEY NIMEKUSOMA kijana motto wake kwann asiendelee na huyo alienae mpka arudi kwanguuu
 
Pole uran,kaza moyo endelea na maisha mkuu. Unaweza kuelekeza moyo wako kwa mama mtoto na maisha yatasonga tu.
Tupo wengi wenye maumivu ya namna hii lakini tunapiga moyo konde na maisha yanaenda you can still be happy my brother.


||"You were too young to understand"||
 
Last edited by a moderator:

noo hapa kuna baadhi ya mambo huweki wazi.
 

u nailed it bro kati ya watu wote waliochangia hapa wewe umeongea kitu cha maana sana sijui kama moreen atakuelewa
 
OKEY NIMEKUSOMA kijana motto wake kwann asiendelee na huyo alienae mpka arudi kwanguuu

Hizi dharau sasa.Kurudi kwako si kwamba hawezi kuendelea na maisha,ila ni kwasababu una thamani kwake.Wewe kama huna feelings tena Sema ieleweke otherwise rudi kwenye mstari mpange maisha.Kuwa na mtoto sio ishu tena uzuri inaonekana braza anakupenda kwahiyo unaweza kumuhandle na kumpa masharti ya mawasiliano kati yake na mama wa mtoto bila yeye kupinga

Kama unamkataa mkatae kwa kigezo kuwa humpendi tena baada ya kukukaa kimya muda mrefu ila si kwa kigezo cha kuwa na mtoto maana hujafa hujaumbika,how sure u er kama wewe unauwezo wa kuzaa? Una uhakika gani kama huyo mme ambaye atakuja kukuoa hatokuletea mtoto wa nje ya ndoa?
 
u nailed it bro kati ya watu wote waliochangia hapa wewe umeongea kitu cha maana sana sijui kama moreen atakuelewa

Bibie ana wasiwasi tu huyu.Mimi nampa braza marks zote kwasababu moja tu,kitendo cha yeye kukataa ujauzito usitolewe.That proves kuwa mkuu ni mtu mzuri moyoni achilia mbali kwamba alisaliti.
 
Reactions: amu

kweli mkuu lakini kinachoshangaza hapa kidogo, moreen anakazania mimi na yeye tubakie kuwa marafiki tu.
na sio niachane nae kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…