Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
kama kakufuata akakueleza, jiongeze.
kwenye hao wa chap chap kuna mmoja ataamua kubaki for gud.. she must keep going
Rutashubanyuma.... I believe you are well and good.
Muulize apenda wanaume wa aina gani?
Maana kama yeye ni type ya wadada wa mjini alafu sharobaro wa kike, alafu anavutiwa na mwanaume ambae ni mlokole, asitegemee atampata... atatongozwa na wanaume wanavutiwa na muonekano wake hali yeye hawapendi hivo kuwakataa na hivo kupleleka yeye kua lonely.....
Muulize yeye ni dada wa aina gani?
Kwamba anajionesha vipi kwa watu tokana na matendo... Je ni mtokaji saana as in mtu wa kujirusha saana kila club hakosi? mara nyingi binti ambae huenda kila club ya mjini ina maana wanaume woote ambao anakuta nao ni wa by nite. Take note hao wanaume hutaka galfriends wa show off wa by nite, na galfriends serious wale ambao sio wa by nite. Hive atakua anaishia kutongozwa na kulala na wanaume ambae wengi husepa baada ya mda mfupi.
Muulize yeye hapo nyumbani ni makazi kazaliwa na kukulia hapo?
Kama YES.... na ikatokea alianza ukicheche na uhuni at the age of 15, Just imagine at age 26 kalala na wangapi na woote hao mtaaani wawafahamu wanaume most walopita hapo. At that age ni wanaume wachache hujilipua kua na a serious relationship with yoou sababu ajua kua wataka mtu wa kukuoa.... na tayari wanaona kama hufai....
Muulize anajitambua na kujua nini hasa anataka?
Does she know her worth? Does she know kua anaheshimika ama lah katika ulimwengu wa wanaume (hii aweza pima kwa the type ya wanaume ambao wanamtongoza... i.e wapiga debe, wanafunzi, waume za watu, vijana.... n.k) Akijijua na kujua the type of men she wants.... then nirahisi kuappreciate a man ambae ni worth it akija katika maisha yake... instead ya kuleta pose za kitoto kana kwamba hana mpango hali the guy ni mpango mzima....
binti mwenye umri wa miaka 26 anapolalama kuwa hana mtu tumsaidiaje? Adai anataka awe na wandani wake wa kusaidiana kulisukuma gurudumu la maendeleo.......lakini vijana wengi wanamhitaji kwa ile ya chapuchapu tu............tutamsaidiaje ili afanikishe malengo yake?.......ushauri please...............
Mpaka kaileta hapa, kalitambua hilo ila HE'S GOT OTHER PLANS..ambazo hazihusishi kusukuma hilo gurudumu.
Anaonekana huyo ni unt-social,yaani kote anakopita yeye watu wanamuona hafai kwa kuolewa ndio maana anakimbilia jamvini
Ruta naona nimpe ushauri kidogo
Kusema kweli amejirahisi sana
Na wanaume washajua ni wa chapuchapu hit and run
Na inabidi afanye kazi ya ziada kuiondoa hiyo dhana ya yeye kuwa wa chapu chapu
wanaume tuna tabia moja japo unaweza kuiita umbeya ila ndo ilivyo. Tunaambiana vitu ambavyo hatukupaswa kuvisema
Na wanaume waliopita kw ahuyo dada wameshaambiana na wanaendelea kutoa siri zake kuwa yule ni wa chapuchapu sio wa kujenga kibanda
Aondoe hiyo dhana ya kuwa kila anayekuja kwake ana uwezo tena wa haraka kumvulia nguo na kumpata
la sivyo upweke utazidi kumuandama kwa muda mrefu
Miongoni mwa hao wa chapuchapu anaweza pata mmoja atulie nae
Atulie, ipo siku atapata wake hata akiwa na miaka 40.
kama kakufuata akakueleza, jiongeze.
ani pm kuna mtu anataka nisaidiane nae kusukuma gurudumu la maendeleo na mimi sitaki
Brialex....................una mawazo na ushauri mzuri lakini hii dhana ya chapuchapu ataiondoaje............ahame mji nini?
Mkuu nafikiri kuna time ya kusema enough is enough na ngoja niache hiki au kile
Afikie mahali aseme kuwa tabbia ya kutongozwa na mwanaume siku moja na kumkubalia na siku hiyo hiyo anamaliza kila kitu ife
Ni kuacha mazoea yake maana inaonekana ni tabia yake na ishakuwa sugu
Aachane nayo kaka