She need it back, am confused

She need it back, am confused

If u knew the story u wouldnt dare say that...by the way u seem so sensitive...wat the matta!

X anabaki kuwa x tu!sihitaji kujua story ilivyokuwa huwa siishi na historia to be frank!
Maumivu ya Jana hayaniondolei wasaa wa kuithamini furaha ya Leo!
Unaruhusuje mtu aivuruge Leo na kesho yako?
 
Huyo X wako amekufanya kipoozeo utanfariji kwa sasa akipata jamaa utafurahi mwenyewe
 
kiingereza cha ugoko.dogo acha kuleta filamu hapa.bado kujisifia sura tu.marijali hatuna uongouongo mwepesi hivi.
 
Hahah...so emotional why....is ths u darling!!!

Ahhahahaha unachekesha ujuee!
Unaamini kila mtu yuko emotional na ishu yako?
Vp unahitaji sympathy?like in oooooh veery sooory you guys meant to be ,so go and grab the chance and blah blah blah!
Ahahahaha mwe!
 
kiingereza cha ugoko.dogo acha kuleta filamu hapa.bado kujisifia sura tu.marijali hatuna uongouongo mwepesi hivi.

Nyie ambao kila jambo mnaliangalia kwa mtazamo hasi iko ck mtaaanza kuuliza uhalal wa wazaz wenu wa kiume......

Alaf umu amna dogo na kama yupo hawez kua mm....heshima mbelee eboo
 
Ahhahahaha unachekesha ujuee!
Unaamini kila mtu yuko emotional na ishu yako?
Vp unahitaji sympathy?like in oooooh veery sooory you guys meant to be ,so go and grab the chance and blah blah blah!
Ahahahaha mwe!

Sympathy!!!....no way!!!...i wish some one could tell me a soft way of telin my gal tht we have to break up.....and getn back to women i ever loved....

kuna watu wana busara umuuuu....wengne wanapenda tu story wana-comment bt kuna ambao they come critical....i thout i need those...
 
Mm naona uendelee na maisha yako na ulie nae kwani kila mtu ameumbwa tofauti kwhy hawatafanana ila kama huyo x wako alikutenda whts makes u thk hatakutenda tena.tuliza moyo na mawazo songa mbele with what u have
 
Sympathy!!!....no
way!!!...i wish some one could tell me a soft way of telin my gal tht we
have to break up.....and getn back to women i ever loved....

kuna watu wana busara umuuuu....wengne wanapenda tu story wana-comment
bt kuna ambao they come critical....i thout i need those...

wakati unaanzisha mahusiano na huyo dada ulikuwa unafikiria nini? hivi unajali kweli hisia za mwenzio? na kwanin uanzishe mahusiano na mtu wakat ya nyuma bado umeyahifadhi moyon? halafu unaonekana huna msimamo kabisa kijana! i wonder hata hyo familia yako itakuaje!
 
How do i tell her?,,,put u in her shoes alaf uniambie how would u fill when some one want it off in a such a quick way.....how would u wish to hear thn utakua karb na jib la nimwambiaje..

Kwahiyo unataka kupiga two in One?

Wewe bora uwe mkweli kabla hamjafika mbaaali maana sahizi bado kabisa penzi changa ...so tell her the truth dont waste her time..ili ajipatie mwingine maisha yaendelee..
Maumivu yapo lakini bora ya sasa kuliko ya baadae..
 
wakati unaanzisha mahusiano na huyo dada ulikuwa unafikiria nini? hivi unajali kweli hisia za mwenzio? na kwanin uanzishe mahusiano na mtu wakat ya nyuma bado umeyahifadhi moyon? halafu unaonekana huna msimamo kabisa kijana! i wonder hata hyo familia yako itakuaje!

Wakat naanzisha mahusiano na uyo dada nilikua nafikiria kuanzisha mahusiano nae,

Nazijali hisia zake tena sanaa ndo mana natafuta ushauri umu..ingekua vingne ngeshamwambia mdaaa...

Kweny maisha ya mahusiano kuna watu hatuwez kuwasahau (najitumia km refference)..so she the one na tuliachana kutokana na mazingra ambayo sa iz hayapo tena....means we can roll again...

Familia yangu umeiona wap?,,maana m ata cjawah kuwaza inaonekanaje!....umejigeuza mtabir kua ntakua na familia!
 
Kwahiyo unataka kupiga two in One?

Wewe bora uwe mkweli kabla hamjafika mbaaali maana sahizi bado kabisa penzi changa ...so tell her the truth dont waste her time..ili ajipatie mwingine maisha yaendelee..
Maumivu yapo lakini bora ya sasa kuliko ya baadae..

There u gat a point!...ni ushauri mzuri
 
hee hawa ma-ex wa kuja na kuondoka huwa hawabadiliki. ukimrudia mara kakuacha tena utafanyaje? nisingekushauri umrudie, mie nilimrudia ex kumbe nikapoteza bahati yangu ile ex ananibwaga tena kama gunia la pumba bahati ikawa ishaoa nilijutaaa!
 
Back
Top Bottom