Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hiyo ni lugha ya wachawi, badilishaTawile 😄
NdioBoni yai kachaguliwa akiwa lupango?
HapanaHuyu Asenga ni ndugu na yule mbunge Asenga wa ccm Jimbo fulani la Morogoro (sijui ni Kilombero) ?
Juhudi na taarifa kama hizi ulitakiwa ungetuletea trh 23/9/24 lakini mkamuacha Mbowe na mwanawe tu!Tafadhali usije kupitwa na Taarifa hii, kwamba Shehe Msomi Ally Kadogoo leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, baada ya kujizolea 66% ya kura zote.
Uchaguzi huu ulifanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
View attachment 3116375
👋🏽👋🏽👋🏽💪🏽💪🏽💪🏽💕💕💕👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽Tafadhali usije kupitwa na Taarifa hii, kwamba Shehe Msomi Ally Kadogoo leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, baada ya kujizolea 66% ya kura zote.
Uchaguzi huu ulifanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
View attachment 3116375
Mwamgaya amekuwa muhavi?🤣🤣🤣🤣Hiyo ni lugha ya wachawi, badilisha
Kwani hujui kwamba yampasa sheikhe aponye mwili,nafsi na roho?Au umezoea kuona masheikhe wa kufungisha ndoa za mikeka tu?InshaAllah,Mola akupe afua!🙏😎Ukishaona shehe anajihusisha na siasa ujue uyo ni shehena
Na wewe ndiye ulitaka familia yake iwe mstari wa mbele maandamanoni.Wakawepo.Ukakosa kisingizio.Hivi wewe ni kipara kipya au solar socket?Juhudi na taarifa kama hizi ulitakiwa ungetuletea trh 23/9/24 lakini mkamuacha Mbowe na mwanawe tu!
Msaliti mwingine huyu!Na wewe ndiye ulitaka familia yake iwe mstari wa mbele maandamanoni.Wakawepo.Ukakosa kisingizio.Hivi wewe ni kipara kipya au solar socket?
Sawa.Jibu swali.Msaliti mwingine huyu!
Hakikakugombea uongozi chadema kunataka moyo wa chuma.na kujikana nafsi mana.muda wowote wale jamaa wanaweza kukubadilisha jina.
Swali liko wapi!Sawa.Jibu swali.