Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tafadhali usije kupitwa na Taarifa hii, kwamba Shehe Msomi Ally Kadogoo leo amechaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, baada ya kujizolea 66% ya kura zote.
Uchaguzi huu ulifanyika Kibaha Mkoa wa Pwani
Uchaguzi huu ulifanyika Kibaha Mkoa wa Pwani