Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ndumbaro huyu huyu aliyefungiwa maisha na Jamal Malinzi kujihusisha na Soka?Waziri Ndumbaro amemsikia
Huyo huyo agent wa Makolo FCNdumbaro huyu huyu aliyefungiwa maisha na Jamal Malinzi kujihusisha na Soka ?
Huu uzi kwako ni mkubwa sanaHana jipya huyo
ushawahi kuwa na ndugu selo ?Anachangamsha vichwa za wahusika
Mungu mbariki Tundu Lissu..Tundu Lissu aliwasemea hao Mashekhe wakati wa kampeni.
..Walipoachiwa Mashekhe wa Uamsho toka Zanzibar nilidhani Mashekhe wa Tanganyika nao wataachiwa.
Soka la bongo linaendeshwa na viongozi madikteta.Ndumbaro huyu huyu aliyefungiwa maisha na Jamal Malinzi kujihusisha na Soka ?
Ndumbaro huyu huyu aliyefungiwa maisha na Jamal Malinzi kujihusisha na Soka ?
Ukweli mtupuHii CCM inatoa viongozi wenye historia yenye mashaka ktk utoaji haki kwa vitendo.
Ndugu tu?ushawahi kuwa na ndugu selo ?
We have to be careful hapa, tusichukue advantage tu ya kuwa Rais huyu ni Mwisilamu basi atatoa kauli. Ninavyojuwa kazi ya She iko Msikitini kuongoza ibada mbalimbali. Mpaka uone Serikali hasa wakati wa JK Mwisilamu mwenzao akiwaweka ndani ujue taarifa zao zilikuwa za hatari.Taarifa iliyotolewa na Shehe mwenye ushawishi mkubwa sana kwenye eneo la maziwa makuu, Ponda Issa Ponda na kunukuliwa na gazeti la Raia Mwema, anaeleza kwamba kuna zaidi ya mashehe 300 waliorundikwa rumande bila kupelekwa mahakamani kwa zaidi ya miaka 10.
Bali haijafahamika sababu hasa ya kuwakamata viongozi hao wa kiroho na kuwaweka kizuizini kwa miaka yote hiyo bila kuwasomea mashtaka yanayowakabili na wala haijulikani kama wote hao wanatuhuma zinazofanana ama la.
View attachment 2346464
Chanzo: Raia Mwema
Hivi kuna mwanachadema ambaye hajakaa selo ?Ndugu tu?
Labda wewe mwenyewe ulishawahi kukaa selo?
Usiingie kwenye mkengeWe have to be careful hapa, tusichukue advantage tu ya kuwa Rais huyu ni Mwisilamu basi atatoa kauli. Ninavyojuwa kazi ya She iko Msikitini kuongoza ibada mbalimbali. Mpaka uone Serikali hasa wakati wa JK Mwisilamu mwenzao akiwaweka ndani ujue taarifa zao zilikuwa za hatari.
Toka Hawa watu wawekwe ndani uchomaji makanisa na kuua mapadri kulikoma. Kama tungecheka na nyani basi hawa Alshabab wangetusumbua kama walivyoisumbia Mozambique