Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa iliyotolewa na Shehe mwenye ushawishi mkubwa sana kwenye eneo la maziwa makuu, Ponda Issa Ponda na kunukuliwa na gazeti la Raia Mwema, anaeleza kwamba kuna zaidi ya mashehe 300 waliorundikwa rumande bila kupelekwa mahakamani kwa zaidi ya miaka 10.
Bali haijafahamika sababu hasa ya kuwakamata viongozi hao wa kiroho na kuwaweka kizuizini kwa miaka yote hiyo bila kuwasomea mashtaka yanayowakabili na wala haijulikani kama wote hao wanatuhuma zinazofanana ama la.
Chanzo: Raia Mwema
Bali haijafahamika sababu hasa ya kuwakamata viongozi hao wa kiroho na kuwaweka kizuizini kwa miaka yote hiyo bila kuwasomea mashtaka yanayowakabili na wala haijulikani kama wote hao wanatuhuma zinazofanana ama la.
Chanzo: Raia Mwema