Shehe: Profesa Janabi anataka kutuua, atatuvunjia ndoa

Shehe: Profesa Janabi anataka kutuua, atatuvunjia ndoa

Ndio maana Kagame amewapiga pin mashehe na wachungaji wa mchingo kwa kuwawekea utaratibu maalumu wa kufanya shughuli zao. Ikiwa mtu akishindwa, huondolewa na kufutiwa leseni mara moja.
Sasa hapo huo mchongo ni upi kwa alichokizungumza shekhe,, ushindie maepo na maji hiyo shoo utapiga vipi,,, asichokitaka kagame kama wanavyofanya kina mwamposa kukanyagisha watu mafuta mpaka wanakufa,,
 
Sasa hapo huo mchongo ni upi kwa alichokizungumza shekhe,, ushindie maepo na maji hiyo shoo utapiga vipi,,, asichokitaka kagame kama wanavyofanya kina mwamposa kukanyagisha watu mafuta mpaka wanakufa,,
Huyu shehe namkubali sana mkuu; hayumo kwenye orodha ya mashehe wa mchongo. Hapa nimeongelea mashehe wengine wasiokuwa na mwelekeo wakimwemo wale mashehe wanaobishana kuwa Yesu sio Mungu.
 
Wakuu.....
Mimi binafsi hua nikimtazama Janab namuona kama vile hayupo sawa kabisa....
Na kiukweli hadi wakati huu alipaswa awe amekula kudu ya mikononi kwenye kitanda pale Mirembe...😜
Vitu anavyosema hutokuwa na nguvu sasa mwanaume unakulaje kipande cha tango na tuubwabwa kama mtoto changa ? Hiyo mashine itasimama vizuri kweli?
 
Siku hizi Hawa watumishi nao wanahubiri ngono tu kama ndoa ni ngono tu basi wanaume waache huduma zingine kama ndoa zitakuwepo mtu anawapa elimu ya lishe jitu lingine linawaza ngono kwani kujaza tumbo Kila wakati ndo kupata nguvu za ngono!!!
 
Siku hizi Hawa watumishi nao wanahubiri ngono tu kama ndoa ni ngono tu basi wanaume waache huduma zingine kama ndoa zitakuwepo mtu anawapa elimu ya lishe jitu lingine linawaza ngono kwani kujaza tumbo Kila wakati ndo kupata nguvu za ngono!!!
Bila kula ukashiba utapata wapi nguvu za kumdinyia mkewe mkuu?
 
Sema wewe jamaa ni liongo na lipotoshaji kubwa! Umemlisha Sheikh maneno ya uwongo uwongo mengi ambayo hata hajayataja! Maneno kama >>>ukiwa muislamu mwenye wake wanne unaweza kushindwa kumlisha mkeo "chakula cha chini" na hatimaye ndoa zikavunjika. <<< wala Sheikh hajatamka!

Na inawezekana hata clip yenyewe hujaangalia ulivyotumiwa tu na rafiki yako umekimbilia kuianzishia uzi na ndo maana hata jina la Sheikh ukashindwa kuliona wakati limeandikwa pale chini mpaka msikiti!
 
Sema wewe jamaa ni liongo na lipotoshaji kubwa! Umemlisha Sheikh maneno ya uwongo uwongo mengi ambayo hata hajayataja! Maneno kama >>>ukiwa muislamu mwenye wake wanne unaweza kushindwa kumlisha mkeo "chakula cha chini" na hatimaye ndoa zikavunjika. <<< wala Sheikh hajatamka!

Na inawezekana hata clip yenyewe hujaangalia ulivyotumiwa tu na rafiki yako umekimbilia kuianzishia uzi na ndo maana hata jina la Sheikh ukashindwa kuliona wakati limeandikwa pale chini mpaka msikiti!
Wewe unadhani shehe kasema uwongo au ukweli? Unaweza kushindia kipande cha muhogo ukamdinya mke akakuelewa?
 
Huyo shekh jongo mtoto wa mjini kitambo, tena maarufu kuliko hata huyo dokta shika, labda wewe humjui kwenu mwakaleli
Nadhani ume - miss point yake. Yeye Pixel alikuwa anaongelea kati ya Prof Janabi na Dr Shika. Hivyo tu, na siyo Sheikh.
 
Siku hizi Hawa watumishi nao wanahubiri ngono tu kama ndoa ni ngono tu basi wanaume waache huduma zingine kama ndoa zitakuwepo mtu anawapa elimu ya lishe jitu lingine linawaza ngono kwani kujaza tumbo Kila wakati ndo kupata nguvu za ngono!!!

Bila kula ukashiba utapata wapi nguvu za kumdinyia mkewe mkuu?
🤣 🤣 🤣
 
Wake ni wanne shughuli yake si mchezo shehe 😀 😀 😀 😀
Mzunguko wa siku 2/2 huenda ikasaidia ila unatakiwa utoe bao 2 kwa kila mke kwahio kwa week nzima zisipungue bao 8 dah 😂😂😂!

1. J3 na j4 kwa Sabrina.
2. J5 na alhamisi kwa Latifa.
3. IJumaa na Jmosi kwa Leilah
4. Jumapili kwa Mulky

Otherwise uwe unalala kila week kwa mke mmoja ila hio itakuwa mbaya kupigiwa ni kugusa tu😂
 
Mzunguko wa siku 2/2 huenda ikasaidia ila unatakiwa utoe bao 2 kwa kila mke kwahio kwa week nzima zisipungue bao 8 dah 😂😂😂!

1. J3 na j4 kwa Sabrina.
2. J5 na alhamisi kwa Latifa.
3. IJumaa na Jmosi kwa Leilah
4. Jumapili kwa Mulky

Otherwise uwe unalala kila week kwa mke mmoja ila hio itakuwa mbaya kupigiwa ni kugusa tu😂
👊
 
Back
Top Bottom