Shehe: Profesa Janabi anataka kutuua, atatuvunjia ndoa

Majitu majinga tu yanafikiria kula na ngono.
Si mwezi mtukufu huu,mnaongea upumbavu badala kusoma neno la mungu au Allah mnavyoita.
 
Unaoa wake wote hivo wa nn?
Halafu hao wanawake ni mbuzi kwamba hawana akili hadi wajilundike kwako tuu

Pumbavu kabsaa sasa mbona mnawapa madaraka wawaongoze

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…