Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahhaah inafikirisha sana 😃Ataweza kuendesha baiskeli akiwa kavaa kanzu🤒
Wana hamna adabu 🤣🤣🤣🤣Ataweza kuendesha baiskeli akiwa kavaa kanzu🤒
Kwa hili la kutokuwapa mali wapumbavu wanao jitaja kwa jina la mungu kumbe ni wahuni tu ...wakristo igeni ...wacheni upumbavu wa kupeleka fungu la 10 makanisani ni laana kufanya hivyo....kama ilivyo andikwa mnampa nguvu shetaniAmewataka waislamu wawajari
Kwahiyo unataka wakuletee wewe?Kwa hili la kutokuwapa mali wapumbavu wanao jitaja kwa jina la mungu kumbe ni wahuni tu ...wakristo igeni ...wacheni upumbavu wa kupeleka fungu la 10 makanisani ni laana kufanya hivyo....kama ilivyo andikwa mnampa nguvu shetani
Halafu apite buguruni au pale boma Kwa Baiskeli!😅😅😅😅Wana hamna adabu 🤣🤣🤣🤣
Fungu la kumi ni laana tangu lini ?Kwa hili la kutokuwapa mali wapumbavu wanao jitaja kwa jina la mungu kumbe ni wahuni tu ...wakristo igeni ...wacheni upumbavu wa kupeleka fungu la 10 makanisani ni laana kufanya hivyo....kama ilivyo andikwa mnampa nguvu shetani
Huenda umechanganyikiwaKwa hili la kutokuwapa mali wapumbavu wanao jitaja kwa jina la mungu kumbe ni wahuni tu ...wakristo igeni ...wacheni upumbavu wa kupeleka fungu la 10 makanisani ni laana kufanya hivyo....kama ilivyo andikwa mnampa nguvu shetani
Ma konyo😆😆...Amewataka waislamu wawajari
Amewataka waislamu wawajari
Ajabu shangaa hata wewe, ila kwenye viringe wanatoaFungu la kumi ni laana tangu lini ?
Hapana wakuletee wewe mtume koko uzidi kutunisha kijambioKwahiyo unataka wakuletee wewe?
Kivipi boy 🌈Huenda umechanganyikiwa
Siyo fungu la 10 tu sadaka zote mnazo toa makanisani ni laana ...sijui kama unajua kuwa kanisa siyo nyumba ya ibada? Pia sijui kama unajua maana ya haya maandiko 👉 msitupe lulu zenu chini ya nguruwe wasije waka geuka na kuzikanyaga kanyaga na kuwararueni ! Lulu ni mali zako na nafsi yako ...nguruwe ni makanisa na watumishi wake mwamposa kiboko ya wachawi...mfalme zumalidi ...kakobe ..gamwanywa nk hao wote ni wahuni tuFungu la kumi ni laana tangu lini ?
Hivi Daudi ni Nabii au sio NabiiDini ya munyazimungu wameshindwa kumnunulia baiskeli kiongozi wao?
Imeandikwa wapi msitoe zaka? Biblia ipi? Hayo makanisa yanajengwa na kuendeshwa na upagani wako? Hao watumishi wa kanisa wanalipwa na tozo ya serikali? Yesu aliposema "nanyi mtoapo sadaka hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume? au aliposema "mjane huyo ametoa zaidi" zilikuwa ni sadaka kwenye matambiko yenu?Kwa hili la kutokuwapa mali wapumbavu wanao jitaja kwa jina la mungu kumbe ni wahuni tu ...wakristo igeni ...wacheni upumbavu wa kupeleka fungu la 10 makanisani ni laana kufanya hivyo....kama ilivyo andikwa mnampa nguvu shetani