Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Nani kakuambia wewe mpumbavu kuwa zaka utolewa kanisani ...kumbuka hata kipindi cha yesu kulikuwa na masinagogi je zaka ilitolewa kwenye sinagogi ? Zaka ni sadaka ya hekalu na hekalu lilikuwa moja tu ulimwenguni hata ujenge jengo zuri na kubwa zaidi aliwezi kuwa hekalu ...zaka ni sadaka ya hekalu la mungu kwa ajiliya kabila la walawi kutumia wao na familia zao ....kitu kingine KANISA SIYO NYUMBA YA IBADA YA MUNGU TUMIA AKILI ...NDIYO MAANA NIKAKUTAJA KWA JINA LAKO KUWA WEWE NI MPUMBAVU ...MTU YOYOTE ANAYE DHANI KANISA NI NYUMBA YA IBADA HUYO NI MPUMBAVU AJUI CHOCHOTE KUHUSU UKRISTO NA INJILI YA KWELI.Imeandikwa wapi msitoe zaka? Biblia ipi? Hayo makanisa yanajengwa na kuendeshwa na upagani wako? Hao watumishi wa kanisa wanalipwa na tozo ya serikali? Yesu aliposema "nanyi mtoapo sadaka hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume? au aliposema "mjane huyo ametoa zaidi" zilikuwa ni sadaka kwenye matambiko yenu?