Sheikh alalamika kutembea kwa miguu

Sheikh alalamika kutembea kwa miguu

Imeandikwa wapi msitoe zaka? Biblia ipi? Hayo makanisa yanajengwa na kuendeshwa na upagani wako? Hao watumishi wa kanisa wanalipwa na tozo ya serikali? Yesu aliposema "nanyi mtoapo sadaka hata mkono wako wa kushoto usijue ufanyalo mkono wako wa kuume? au aliposema "mjane huyo ametoa zaidi" zilikuwa ni sadaka kwenye matambiko yenu?
Nani kakuambia wewe mpumbavu kuwa zaka utolewa kanisani ...kumbuka hata kipindi cha yesu kulikuwa na masinagogi je zaka ilitolewa kwenye sinagogi ? Zaka ni sadaka ya hekalu na hekalu lilikuwa moja tu ulimwenguni hata ujenge jengo zuri na kubwa zaidi aliwezi kuwa hekalu ...zaka ni sadaka ya hekalu la mungu kwa ajiliya kabila la walawi kutumia wao na familia zao ....kitu kingine KANISA SIYO NYUMBA YA IBADA YA MUNGU TUMIA AKILI ...NDIYO MAANA NIKAKUTAJA KWA JINA LAKO KUWA WEWE NI MPUMBAVU ...MTU YOYOTE ANAYE DHANI KANISA NI NYUMBA YA IBADA HUYO NI MPUMBAVU AJUI CHOCHOTE KUHUSU UKRISTO NA INJILI YA KWELI.
 
Nani kakuambia wewe mpumbavu kuwa zaka utolewa kanisani ...kumbuka hata kipindi cha yesu kulikuwa na masinagogi je zaka ilitolewa kwenye sinagogi ? Zaka ni sadaka ya hekalu na hekalu lilikuwa moja tu ulimwenguni hata ujenge jengo zuri na kubwa zaidi aliwezi kuwa hekalu ...zaka ni sadaka ya hekalu la mungu kwa ajiliya kabila la walawi kutumia wao na familia zao ....kitu kingine KANISA SIYO NYUMBA YA IBADA YA MUNGU TUMIA AKILI ...NDIYO MAANA NIKAKUTAJA KWA JINA LAKO KUWA WEWE NI MPUMBAVU ...MTU YOYOTE ANAYE DHANI KANISA NI NYUMBA YA IBADA HUYO NI MPUMBAVU AJUI CHOCHOTE KUHUSU UKRISTO NA INJILI YA KWELI.
Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana atakuwa Mungu wangu. Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi“. – Mwanzo 28:22.

Je kulikuwa na hekalu wakati huo? Kulikuwa na walawi unaodai zaka nikwa ajili yao? Ibrahimu alipotoa zaka kwa Merchzedeck ilikuwa hekaluni? Aliwapa walawi?
 
Yakobo akaweka nadhiri akisema, Mungu akiwa pamoja nami, akinilinda katika njia niiendeayo, na kunipa chakula nile, na nguo nivae; nami nikirudi kwa amani nyumbani kwa baba yangu, ndipo Bwana atakuwa Mungu wangu. Na jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu; na katika kila utakalonipa hakika nitakutolea wewe sehemu ya kumi“. – Mwanzo 28:22.

Je kulikuwa na hekalu wakati huo? Kulikuwa na walawi unaodai zaka nikwa ajili yao? Ibrahimu alipotoa zaka kwa Merchzedeck ilikuwa hekaluni? Aliwapa walawi?
Wewe nilipo sema ni mpumbavu sikukosea niliwai kufafanua hapa kuwa kuna tofauti ya fungu la 10 au la 20 au la 30 nk na fungu la kumi la zaka hivyo siyo kwamba kila fungu la 10 ni zaka ...ila zaka nayo ni fungu la 10 tumia akili ...ujue unabishana na genius kubwa sana ...hivyo siyo kila fungu la kumi ni zaka...hiyo ya yakobo ni sadaka tu siyo ZAKA ..fungu la 10 watu walitoa hata kwenye masinagogi ila bado walipekeka zaka hekaluni
 
Ataweza kuendesha baiskeli akiwa kavaa kanzu🤒
Si unamuona member mwenzetu Kobaaz Kanali_ anaikokota na makreti ya bia?

20250308_053606.jpg


N de A
 
H

Hapana wakuletee wewe mtume koko uzidi kutunisha kijambio
Mtume Koko atoke wapi sasa? Imani nikuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasio onekana, hakuna cha mtume Koko, wewe ulishawahi ona Mungu anakula ubwabwa?
 
Ni Mfalme Daudi
Ndugu zangu, napenda kuwaambieni waziwazi juu ya mambo yaliyompata Daudi, babu yetu. Yeye alikufa, akazikwa, tena kaburi lake liko papa hapa petu mpaka leo. Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii , alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.

Matendo ya mitume 2:29-30
Je,andiko hili si sahihi?
 
Ndugu zangu, napenda kuwaambieni waziwazi juu ya mambo yaliyompata Daudi, babu yetu. Yeye alikufa, akazikwa, tena kaburi lake liko papa hapa petu mpaka leo. Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii , alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.

Matendo ya mitume 2:29-30
Je,andiko hili si sahihi?
Andiko lipo, kila goti litapigwa na kila ulimi utakiti kuwa YESU KRISTO ni BWANA, Ili kuipata kazi ya Mfalme Daudi kasome 1 Samuel 16:1---- acha kudandia mstari mmoja, soma 2 Samuel yote na 1 Wafalme 1:1-53, 1 Wafalme 2-11, hicho kitabu chacko kichome moto hakina maana yeyote, na ukatubu na kubatizwa.
 
Andiko lipo, kila goti litapigwa na kila ulimi utakiti kuwa YESU KRISTO ni BWANA, Ili kuipata kazi ya Mfalme Daudi kasome 1 Samuel 16:1---- acha kudandia mstari mmoja, soma 2 Samuel yote na 1 Wafalme 1:1-53, 1 Wafalme 2-11, hicho kitabu chacko kichome moto hakina maana yeyote, na ukatubu na kubatizwa.
Kwa hiyo mstari huo uko sahihi au hauko sahihi
 


Mtume Koko atoke wapi sasa? Imani nikuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo na ni bayana ya mambo yasio onekana, hakuna cha mtume Koko, wewe ulishawahi ona Mungu anakula ubwabwa?
Kwani ukusoma habariya sadaka za torati hadi mikate anakula
 
Back
Top Bottom