Sadaka za torati hadi mkate anakula ππππ ndiyo kiswahili gani hicho ? Andika vizuri sio unaandika huku unafuturu mihogo, andika vizuri
Kwani ukusoma habariya sadaka za torati hadi mikate anakula
Hao waganga watapigana vipi wakati wapo chini yake? Halafu msaada wapate wapi!Piganeni waislamu kwa wakristo mpka akili ikae sawa....
Mbona waganga hawana shida
Mbona dini ya kihindi Haina shida ninyi mna nn hasa ?
Umeandika nini hapo
Kwani ukusoma habariya sadaka za torati hadi mikate anakula
Tumia akiliUmeandika nini hapo
Waislamu hawanaga fungu la KUMI? Unajua ZAKA ni kitu gani? Ipo kwenye dini zote mkuuKwa hili la kutokuwapa mali wapumbavu wanao jitaja kwa jina la mungu kumbe ni wahuni tu ...wakristo igeni ...wacheni upumbavu wa kupeleka fungu la 10 makanisani ni laana kufanya hivyo....kama ilivyo andikwa mnampa nguvu shetani
Kwahiyo natumia makalio yako au wewe umeona hicho ulicho ulichoandika ? Kuna kiswahili Cha hivyo?Tumia akili
Kwahiyo natumia makalio yako au wewe umeona hicho ulicho ulichoandika ? Kuna kiswahili Cha hivyo?