Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Mkuu mbona unajifanya ccm?

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
teh teh 🤣🤣🤣 huyo jamaa mbona humtaji Sasa?
 
Tunawasihi watanzania kufuata sheria, kutofanya fujo wala kuharibu mali. Tuwe watulivu muda wote huku tukisimamia haki zetu. Tupige na kulinda kura zetu bila hofu wala woga wowote hii ni Haki zetu kisheria. Ukipiga kura kaa umbali wa mita 200 kutoka kituo cha kura. TUTASHINDA!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Alhad ni nini?
 
Lissu mbeba maono kila anaejaribu kimfitini, M/Mungu anamdharirisha hapa hapa Duniani.
Shekhe wa Dar, al-maarufu "mnusa mavi wa Dar," umedharirika sana.
Kama alivyo dharirika Magufuli kwa mauaji yake yalioshindwa kwa LISSU.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…