Mkuu mbona unajifanya ccm?Mjinga ni mtu gani?!
Anyways, wengine tumekaa sana nchi za nje kuna des mots ya kiswahili tunayatafuta tunakosa ndio maana we mix the two langes (oops hapa nime mélanger na ki français)
Hivo monsieur tuna ku demander utu forgive tu maana sio kwamba we like it.
Ne hésitez pas kutu critisize lakini parceque that's how tunajifunza
Hakuna askofu wa mkoa, Katoliki wana Askofu wa jimbo.Mchungaji wa mkoa ndiyo huitwa "askofu wa mkoa".
Si kweli! Ingekuwa kweli msingejumuika nao huko Makka kwenye hijja.Mashia sio waislamu, mashia ni makafir
teh teh 🤣🤣🤣 huyo jamaa mbona humtaji Sasa?Hii vita ya viongozi wa dini ni ya kimaslahi zaidi, inaonekana kimya kimya huwa wanavuta bahasha ili waje watuhubirie amani feki isiyokuwa na haki ndani yake, kuna mmoja yeye mahubiri yake ni kumsifia bwana nanihii eti kazuia korona, kajenga flyover, sijui na vitu gani halafu mwisho wa siku anatumia saa nzima kuhimiza sadaka hadi povu linamtoka, bila kujali hao waumini anaowatolea povu watoe sadaka wako hoi bin taabani kutokana na sera mbovu za uchumi za bwana ninihiiii..
Embu tueleze hamuwezi kwa ngumi au maneno ya mipasho. Sisi tunamuamini shekhe wetu PondaHuyu Shehe hamuwezi Sheikh Mohamed Iddi hata kidogo.
Acha kumpaka matope kiongozi wa dini, sio vizuri.Nakumbuka alimkana Makonda baada ya kupoteza ukuu wa mkoa!
Sheikh Ponda kasema Raisi Tundu Lissu ataivunja BAKWATA kwa hiyo hao Mashehe njaa watafute ajira rasmiEmbu tueleze hamuwezi kwa ngumi au maneno ya mipasho. Sisi tunamuamini shekhe wetu Ponda
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Ataivunjia Ufipa?!Sheikh Ponda kasema Raisi Tundu Lissu ataivunja BAKWATA kwa hiyo hao Mashehe njaa watafute ajira rasmi
Magogoni na ChamwinoAtaivunjia Ufipa?!
Ni kama Kardinali!Alhad ni nini?
Thubutu!Magogoni na Chamwino
Msipomtangaza tunaingia front barabaraniThubutu!
Kuingia barabarani siyo rahisi kama unavyofikiria!Msipomtangaza tunaingia front barabarani
DuhShehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Katika Uislamu hakuna kitu kama au kinacholingana na kardinali na hakuna neno Alhad kabisa! Alhaj ipo na ni mtu muislamu yeyote yule ambae amekamilisha ibada ya hijja.Ni kama Kardinali!