Mkuu mbona unajifanya ccm?Mjinga ni mtu gani?!
Anyways, wengine tumekaa sana nchi za nje kuna des mots ya kiswahili tunayatafuta tunakosa ndio maana we mix the two langes (oops hapa nime mélanger na ki français)
Hivo monsieur tuna ku demander utu forgive tu maana sio kwamba we like it.
Ne hésitez pas kutu critisize lakini parceque that's how tunajifunza
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app