Huyo Sheikh huwa ananichekesha sana, akiongea anaongea kiswahili chenye lafudhi ya kiarabu. Basi ccm wakisikia hiyo lafudhi, wanamuona ndio kasoma dini vibaya sana. Nilipomwona tu huyo Sheikh wanafuatana na Makonda, nilijia fika hamna Sheikh bali muhuni.
Katimkia ACTwazalendoCc😡FaizaFoxy
Mafunzo tofauti. Anyways tusiingie Sana kwenye dini lkn in short fuata misingi ya dini siku zote.Hapa kilichomuingia na kumkera ni kwajina la yesu...
heri angejinyamazia kimya tu aiseeeeeee kwa akili yake ameona amepangua hoja kumbe amejiacha uchi zaidi,naona anakutafuta umufti kwa Nguvu kweli aiseeeeShehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
mange alipewa mpunga mrefu sana na kina jack pemba kunyamaza ndugu yangu ila katengeneza ma page feki anaendeleza yale mambo nyuma ya paziaKimambi akiwa kwenye peek alijichanganya akaongea upuuzi kuhusu huyu shehe, kilichofuata shehe alisema baada ya muda mfupi kimambi atakaa kimya, na baada ya hapo kimambi kimyaaaa, alifyatishwa mkia na huyu mtu wa Mungu, sembuse huyu shehe feki..
Mchungaji wa mkoa ndiyo huitwa "askofu wa mkoa".Mbona sijasikia mchungaji wa mkoa?!
Tupe mfano wa askofu mmoja tu wa mkoa!Mchungaji wa mkoa ndiyo huitwa "askofu wa mkoa".
Wote wanatetea matumbo hapo usichanganye dini na vitu vitu vya kipumbavu.Wanapoambiwa usichanganye siasa na dini ndo madhara yake hayo leo viongozi wanacharuana, mmoja anatetea tumbo mmoja anatetea dini.
Jamani hana namna fedha ya CCM tamu Sana. Cha muhimu angeila polepole lakini sio kukiuka miiko ya Imani yake inayoletea kuwachanganya wafuasi WA dini.Shehe Mohammed yupo sahihi, shehe wa kwa jina la yesu na Mohamed amejaa kibri
Nimemiss sana Dada FaizaFoxy, mwenye habari zake atujuze.Jamani namuulizia mwanaJF mkongwe Dada FaizaFox . Yupo kweli jamani?
Ukishanga hayo utaona ya ..................Huyu alhad Salum ndio mwenyekiti wa kamati ya Amani..... Nimeshangaa sana!
Mange ana full dose ya muhishimiwa.Kuna kitu Mange Kimambi aliwahi kusema.
Askofu Rashid Gwajima!Ukishanga hayo utaona ya ..................
Haahaa sheikh ubwabwa, sheikh wa fursaShehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Bwashee heshimu viongozi wa dini!Haahaa sheikh ubwabwa, sheikh wa fursa