Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Ni comedian wa dini
 
heri angejinyamazia kimya tu aiseeeeeee kwa akili yake ameona amepangua hoja kumbe amejiacha uchi zaidi,naona anakutafuta umufti kwa Nguvu kweli aiseeee
 
Kimambi akiwa kwenye peek alijichanganya akaongea upuuzi kuhusu huyu shehe, kilichofuata shehe alisema baada ya muda mfupi kimambi atakaa kimya, na baada ya hapo kimambi kimyaaaa, alifyatishwa mkia na huyu mtu wa Mungu, sembuse huyu shehe feki..
mange alipewa mpunga mrefu sana na kina jack pemba kunyamaza ndugu yangu ila katengeneza ma page feki anaendeleza yale mambo nyuma ya pazia
 
Halafu inaonesha watu humu hata hawajafutilia hasa wanachogombania hao masheikh.
 
Amani juu yenu,
Kwa jina la Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na mwenye kurehemu.
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا أَطِيعُوا اللَّهَ وَأَطِيعُوا الرَّسُولَ وَأُولِي الْأَمْرِ مِنكُمْ ۖ فَإِن تَنَازَعْتُمْ فِي شَيْءٍ فَرُدُّوهُ إِلَى اللَّهِ وَالرَّسُولِ إِن كُنتُمْ تُؤْمِنُونَ بِاللَّهِ وَالْيَوْمِ الْآخِرِ ۚ ذَٰلِكَ خَيْرٌ وَأَحْسَنُ تَأْوِيلًا
Enyi mlio amini! Mt'iini Mwenyezi Mungu, na mt'iini Mtume na wenye madaraka katika nyinyi. Na mkizozana katika jambo basi lirudisheni kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, ikiwa mnamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Hayo ndiyo bora zaidi na ndiyo yenye mwisho mwema.
Si vizuri watu wanaoaminishwa ni viongozi wa kidini kuzozana, na hata waislamu au wasiyokuwa waislamu kuzozana na kukashifiana mbele za watu. Tunaomba haya mambo yaishe na wale wenye hekima wayamalize na watu waendelee na maisha yao kwani katika imani ya uislamu, uislamu kwanza halafu mengine ndiyo yanafuata. Tusiuze dini yetu kwa thamani ndogo na kwa ajili ya nafsi zetu.
 
Wenye busara waliliona hili dini haipaswi kuchanganywa na siasa. Utaona askofu, mchungaji, wanakomaa na siasa haya ndio matokeo bado na sie tutavurugana Tu. Hizi timu za siasa hazina afya kiimani.
 
Haahaa sheikh ubwabwa, sheikh wa fursa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…