Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Kiongozi wa Dini nitofauti na mtumishi wa Mungu anayeishi kwa kusimamia imani yake bila kuyumba ili awe mfano kwa wengine na viongozi wa Dini wao kazi zao kujipendekeza kwenye mamlaka ili wapitishe memo za kuomba ajira kwa watoto wao.
 
Mashia sio waislamu, mashia ni makafir
Mimi bakwata naona bora wapewe wakatoliki kwa kweli. Ufanisi utakua wa hali ya juu.
Sio hao maustadh njaa.
Sasa bakwata inasaidia nini??! Mali za waislam wanazipora kukicha. Shule za bakwata mikia kila siku. Nikikumbuka shule ya bakwata Arusha mjini pale nacheka Sana. My brother alisoma pale. Shule hata haijielewi.

Kwa kweli mimi bakwata wakipewa wakatoliki napitisha mia kwa mia. At least kutakua na maendeleo. Sisi waislamu tukutane tu misikitini kuswali na kufanya mambo mengine.

Au wapewe CCM kabisa maana hilo ni branch lao. Useless dimwits
 
Daah! Akasema,
Nileteeni Rashid.
Niileeteeeeeni Raashiidi!!
Niileeeeeteeeeeeeni Raashiidi!!!
Niiileeeeeeeteeeeeeeniii Raashiiidiiii!!!!

Everyday is Saturday............................... 😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Waache wararuane kwanza ukifuatilia maneno yao utachoka mkuu

Eti hao niviongozi wanaohamasisha amani ingawaje siwasikii wakitamkatamka msamiati haki
Viongozi wetu pamoja na mashabiki wao hawataki haki kwa sababu hawatendi haki. Nawauliza: "Amani itapatikanaje bila haki?"
 
Nakuheshimu lakini kwa hili naona mwenzangu sijui umechelewa wapi kumfahamu huyu Kanjanja wa dini. Alhad Musa Salum ni mjasiriadini. Ni mtu aliye tayari kutumiwa na yeyote ilimradi anamfadhili. Enzi za Makonda Dar alikuwa kama mke mdogo, Leo haongei lolote kuhusu Makonda kwa sababu tu Makonda hawezi kumwinua kama zamani.
Nakumbuka alimkana Makonda baada ya kupoteza ukuu wa mkoa!
 
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.

Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.

Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.


CCM kumekucha kwa kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Kimambi akiwa kwenye peek alijichanganya akaongea upuuzi kuhusu huyu shehe, kilichofuata shehe alisema baada ya muda mfupi kimambi atakaa kimya, na baada ya hapo kimambi kimyaaaa, alifyatishwa mkia na huyu mtu wa Mungu, sembuse huyu shehe feki..
 
Acha kuhusisha ujinga wa watu binafsi na taasisi kwa sababu issue hapo sio dini bali mtu akishakuwa Msukule wa Lumumba tu, haijalishi yupo kwenye imani ipi lakini kitakachofuata kwake ni kuenenda mithili ya hayawani!

Au umesahau Askofu Gwajima alipomshambulia Askofu Pengo kwa maneno makali mara mia ya hayo?! Hapo napo utasemaje?! Ina maana hapo napo hudhani kama ni kweli Ukristo ni dini ya upendo wakati ni wazi Gwajima aliongozwa na uendawazimu na wala sio kwa ajili ya Ukristo wake!

Yaani uendawazimu binafsi wa watu unataka kuunasibisha na dini mzima?! Hapo Sheikh Alhadi ukimsikiliza, anaonekana wazi yupo too personal na ndio maana kajaza umimi kwenye maelezo yake!
Yah, umewaza vizuri sana. Kuna wendawazimu wengi wanaofanywa kuwa hivyo kwa manufaa ya matumbo yao na siyo kwa manufaa ya taasisi walizopewa kuongoza. Tuwahukumu wao na siyo taasisi nzima wanazoongoza
 
Back
Top Bottom