James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
Huwa nachukia kweli kuona wajinga wakichanganya Kiingereza na KiswahiliHao viongozi wote wawili wamesoma, ndio, wamesoma kweli kweli. Sheikh Muhamad Eid kwa mfano, ana darsa mbali mbali anafundisha na kutoa mawaidha.
Going places? Doest that refer to travelling abroad? Cause if it does, Sheikh alhad earned his bachelor's abdroad, while Eid is such a very frequent traveler.
Huwenda wana kutokuelewana kwao binafsi ndio haya yanapotokea