Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Hao viongozi wote wawili wamesoma, ndio, wamesoma kweli kweli. Sheikh Muhamad Eid kwa mfano, ana darsa mbali mbali anafundisha na kutoa mawaidha.
Going places? Doest that refer to travelling abroad? Cause if it does, Sheikh alhad earned his bachelor's abdroad, while Eid is such a very frequent traveler.
Huwenda wana kutokuelewana kwao binafsi ndio haya yanapotokea
Huwa nachukia kweli kuona wajinga wakichanganya Kiingereza na Kiswahili
 
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.

Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.

Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.


CCM kumekucha kwa kweli.

Maendeleo hayana vyama!I
Kwahiyo ukikosea kwenye dini unahitaji heshima bakwata hamna uwezo wakutuongoza waislam Badala yakuomba radhi nakujiudhuru unahitaji heshima uislam sio maliyako kwajili ikunufaishe wewe kidunia achia ngazi kwa kumuokopa muumba wako sio nwanachama wa ccm kule humkuti magu mwenyekiti wachama
 
Get rid of Alhad
Wakati sasa wa Mashia kuongoza BAKWATA
Nao pia ni waislamu
Mashia wanayo TAQWA
Hawana njaa
Muangalieni Maulana Jalala
Nenda Kibaha mizani
Bonge la shule
Bonge la hospital
Nakadhalika
BAKWATA aibu tupu
 
Hahaha masheik huwa wana mikwara sana, msikie anaongea kama ana kidonda kwenye ulimi au mtoto anayejifunza kuongea.

Huyu sheikh wa mkoa nani alimpa mkoa huu?!

Usheikh wa mkoa uko kwenye usilam tu?!

Mbona sijasikia mchungaji wa mkoa?!
 
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.

Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.

Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.


CCM kumekucha kwa kweli.

Maendeleo hayana vyama!
Aise! Ila wengine watadai sawa masheikh, ila ni binaadamu kwanza, hivyo wivu, husuda, hasira, kiroho nk..nk. lazima vijitokeze, ila wametia albu mbele ya waumini wao..
 
Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.

Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.

Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.


CCM kumekucha kwa kweli.

Maendeleo hayana vyama!
CHANNEL TEN ni mali ya CCM iliyopatikana kwa njia zisizofahamika, shukurani zimwendee Rostam Aziz.
 
Hao viongozi wote wawili wamesoma, ndio, wamesoma kweli kweli. Sheikh Muhamad Eid kwa mfano, ana darsa mbali mbali anafundisha na kutoa mawaidha.
Going places? Doest that refer to travelling abroad? Cause if it does, Sheikh alhad earned his bachelor's abdroad, while Eid is such a very frequent traveler.
Huwenda wana kutokuelewana kwao binafsi ndio haya yanapotokea
Huyu Sheikh Mohamed Eid afadhali anatufundisha japo mi sio mfuatiliaji sana. Mara chache sana.
Shida ni huyu muimba taarab wa mkoa. Ningepata CV yake ningefurahi sana.
Baasi kama unavyosema amesoma huyo wa mkoa inaonekana kabisa Elimu yake haimsaidii kabisa. Ni wale waliosoma then hawana hata impact ktk jamii. Hana tofauti ya wale ma Ustaadh wetu wa Madrassa wale. Kabisa.
Going places yes km ulivosema coz at least inakupa exposure ya masuala mbali mbali. Sasa sio going places kwenda kula bata I'm sure this is the case huyo wa mkoa I mean kwenda kufundisha jamii mbali mbali inacreate humility na busara sana. Wewe kila siku umejifungia Dar kila mtu anakuabudu Wewe ukitukanwa kidogo tu ntakusomea albadiri....kweli?!!?? Umsomee Mange kimavi albadiri figure kubwa km wewe?!! Shocking.
 
Back
Top Bottom