Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Uchaguzi 2020 Sheikh Alhad Mussa Salum asema Sheikh Mohamed Idd ni mshamba anayesumbuliwa na njaa, adai ana laana

Shehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini...
Mimi kama muislam nawapongeza sana wakatolik. Ili uwe kiongozi kule unatakiwa umesoma kweli kweli. Unakua kwanza na heshima katika jamii. Hata wakiwa wanafanya vitendo vya ajabu kule kulawiti vitoto vidogo issues kama hizo zinakua dealt with professionally.

KMMK njoo sasa kwa hawa maustadh uchwara waliosoma Madrassa pekee uelewa mdogo. They have never gone places. Hatuoni wakitoa mawaidha kwa waislam tukaelimika. Wamekalia matumbo yao tu.

Migogoro ikitokea utaona their true colours. Vijembe. Taarab. Kujifanya kujua. Useless dimwits,
 
Waislamu siku hizi mmekua wapole na sukari kiasi kwamba mashehe wenu wanawachezea watakavyo, siku hizi hamna tofauti na sisi wakristo maana viongozi wetu walio-WENGI ni wa hovyo hovyo na vibaraka tu.

Na moto wa waislamu umezimika sababu ya kufungwa kwa mashehe wengi wadai haki, kufungwa kwa kina Ponda kumetoa mwanya wa kuibuka wimbi la viongozi wa hovyo kama hawa.

Nilishangaa sana kumuona shehe kipoozeo ni kati ya mashehe wanaomjibu shehe Ponda, eti na shehe Sharifu majini nae hahahh!

Tunaomba mumpigie kura TAL maana siku zote amekua akitetea haki za mashehe wenu, waislamu wenzenu kupewa haki yao ya kuhukumiwa au kuachiwa huru, TAL ameanza kupigania haki hii hata kabla hajagombea nafasi ya Urais. He deserves your vote.
 
Yeye hana njaa yeye ana njaa tena Kali sana mpakaimetafuna ubongo wake
IMG_20201024_233938.jpeg
 
Shehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.

Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.

Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.

View attachment 1611023

CCM kumekucha kwa kweli.

Maendeleo hayana vyama!
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Shehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini...
Ndio shehe mjinga kuwahi kuongoza Dar, kasahau kuswalisha waumini wake kutwa kumpigia debe anaemuweka hapo bakwata....usije kuta anatafuna mdudu balaa


IMG_20201018_085131.jpeg
 
Back
Top Bottom