johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Kwani Chadema mnatumia vigezo gani kumchagua Mbowe?Walitumia vigezo vipi au WALIKURUPUKA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Chadema mnatumia vigezo gani kumchagua Mbowe?Walitumia vigezo vipi au WALIKURUPUKA?
Elimu Dunia ni nzuri ukiwa nayo, iende sambamba na Elimu ya Dini. Sasa nadhani tatizo ni Uelewa wa Mambo.Shehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini...
Kwa umbea muone [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu tuwekee hiyo clip tuongeze siku za kuishi kwa vicheko
Huyu Shehe hamuwezi Sheikh Mohamed Iddi hata kidogo.Shehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini...
Mange Kimambi njoo huku yule mtu wako kaanza nyodoShehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini..
Usishangae mkuu hao ndio wanaoitwa viongozi wa dini wa kizazi kipya.Huyu alhad Salum ndio mwenyekiti wa kamati ya Amani..... Nimeshangaa sana!
Kwani Chadema mnatumia vigezo gani kumchagua Mbowe?
😂😂😂Ahahah laana ya shehe Ponda hiyo
Achana naye huyu. Kwa lugha ya Kiswahili cha ndani wanasema ana husda! 😂Jikite kwenye mjadala zwazwa.
Yohana mngewaita wanachama wenu muwasuluhishe, hapo ukimsikiliza vyema Al had anasimama na chama, ndio anamkumbusha mwenzie aliepewa kipindi katika stesheni ya ChamaShehe wa mkoa wa Dsm alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini...
Ndio huyo huyo Sheikh Ubwabwa wa BashiteAlhad Salum ndio yule sheikh aliyempiga "fatwa" Mange Kimambi?
MPUUZI huyu!
Kumbe Pohamba ndio Sheikh Ubwabwa Alhad?Pohamba!
Ccm ikasuluhishe ndio chanzo cha yote hayo wameshindwa Kampeni Lissu anawapeleka peleka wanaamua kuingiza dini wakidhani itawasaidia.Yohana mngewaita wanachama wenu muwasuluhishe, hapo ukimsikiliza vyema Al had anasimama na chama, ndio anamkumbusha mwenzie aliepewa kipindi katika stesheni ya Chama
Nimekuelewa mkuu!Usishangae mkuu hao ndio wanaoitwa viongozi wa dini wa kizazi kipya.
Kwani bwakwata si imejaa maafisa vipenyp tupu na A=B= C.Kwani wote ni Mali ya bakwata
Laana ya Shekhe PondaInna lillahi wainna ilayhi rajiun....Eti mkoa wangu wa dar es salaam...kakupa nani? Embu funga bakuli lako
Bakwata iliasisiwa na ccm ili kuwaadaa waislamu wasidai haki zao.Kwani bwakwata si imejaa maafisa vipenyp tupu na A=B= C.
Hahahaaaa.......!Jikite kwenye mjadala zwazwa.
Siyo kweli!Bakwata iliasisiwa na ccm ili kuwaadaa waislamu wasidai haki zao.