Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Wenyewe wamesema CCM bi ni maji usipo yanywa utayaoga.
Mimi nani nisinywe wala kuoga maji ðŸ¤
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenyewe wamesema CCM bi ni maji usipo yanywa utayaoga.
Mswalie mtume bwashee!Huyu Shekhe ubwabwa hana tofauti na makonda
Huyu Sheikh wa mkoa ambaye ni muislamu na kiongozi wa waislamu amewaangusha waislamu wa mkoa wake kwa kuomba dua kwa jina la Yesu kumfurahisha mkuu wake ama watu fulani.Shehe wa mkoa wa DSMsm Alhad Salum amesema shehe Mohamed Idd anayerusha vipindi vya dini kupitia Channel ten ni mshamba na kwamba yeye alhad Salum ndio kamleta mjini.
Kiukweli shehe alhad Salum ameongea maneno makali na mazito kana kwamba siyo kiongozi wa dini.
Shehe Alhad Salum ametumia lugha ya "mtaani" kumshambulia shehe mwenzake kama Uislam ndio huu basi sidhani kama kweli ni dini ya Amani.
CCM kumekucha kwa kweli.
Maendeleo hayana vyama!
Bwasheee huyo Shekhe ubwabwa na ni bwabwa kweliMswalie mtume bwashee!
Haaaaaa...Katimkia ACTwazalendo
Wakristo wa zama hizi ni wajanja wana mjuwa kabisa uyo ni Shekhe bwabwaHuyu Sheikh wa mkoa ambaye ni muislamu na kiongozi wa waislamu amewaangusha waislamu wa mkoa wake kwa kuomba dua kwa jina la Yesu kumfurahisha mkuu wake ama watu fulani.
Na haya matusi aliyojibu kwa Sheihk Iddi wa channel 10 ni wazi kwamba huyu sheikh anatumiliwa sana kuuhujumu uislamu, mwenzake alitumia hoja na references za Quran na khadithi kupangua hoja za muislamu kuomba dua kwa jina la Yesu yeye anarudi anamuita mwenzake sjui mshamba, mjini kamleta yeye haya yote yana maana gani. Uislamu ni dini iliyokamilika kama ameshindwa kujieleza kwanini ameomba kwa jina la yesu angejiuzulu hiyo nafasi akaungane na wanaoona yesu ni mungu na huomba kwake.
Wakiristo wakiona hivi wataona dini ya kiislamu ni dhaifu ilhali majibu ya haya mambo yapo wazi wazi kabisa kwenye vitabu vyetu.
Nimekuelewa mkuu!Huyu Sheikh wa mkoa ambaye ni muislamu na kiongozi wa waislamu amewaangusha waislamu wa mkoa wake kwa kuomba dua kwa jina la Yesu kumfurahisha mkuu wake ama watu fulani.
Na haya matusi aliyojibu kwa Sheihk Iddi wa channel 10 ni wazi kwamba huyu sheikh anatumiliwa sana kuuhujumu uislamu, mwenzake alitumia hoja na references za Quran na khadithi kupangua hoja za muislamu kuomba dua kwa jina la Yesu yeye anarudi anamuita mwenzake sjui mshamba, mjini kamleta yeye haya yote yana maana gani. Uislamu ni dini iliyokamilika kama ameshindwa kujieleza kwanini ameomba kwa jina la yesu angejiuzulu hiyo nafasi akaungane na wanaoona yesu ni mungu na huomba kwake.
Wakiristo wakiona hivi wataona dini ya kiislamu ni dhaifu ilhali majibu ya haya mambo yapo wazi wazi kabisa kwenye vitabu vyetu.
AKA Sheikh wa TotozYeye Sheikh Alhad sio njaa ndio zinampeleka kwenye kampeni za CCM?
Anatakiwa akapimwe mkojo kwa mkemia.
Ukiwa ccm lazima uwe kichaa, jiwe alishalisema hilo hata yeye hujiita kichaa.Wenyewe wamesema CCM bi ni maji usipo yanywa utayaoga.
Mimi nani nisinywe wala kuoga maji [emoji2960]
Nani alikwambia?Ivi nafasi ya kuwa sheikh wa mkoa alichaguliwa na nani? nina wasiwasi huyu anajaribu tu kuuvaa uislamu lakin ni tofauti, muislam hawez kumtaja yesu kabisa katika matarajio yake.
Mkubwa ni ALLAH pekee
Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba, Yesu ni Mshindi!Utaweka wapi sura yako.?.
ndo maana nikakwambia ugomvi wa wakubwa Mimi siingiliiView attachment 1611615
Ajibu hoja badala ya kutoa povu zito.
Huyu bwana nanihii ni huyu mzee anayetokea burigi..teh teh 🤣🤣🤣 huyo jamaa mbona humtaji Sasa?