Sheikh Alhad Salum: Misikiti isiyoweka vitakasa mikono, maji tiririka na sabuni kufungwa, atangaza kufunga ofisi ya Sheikh wa mkoa kwa siku 30

Sheikh Alhad Salum: Misikiti isiyoweka vitakasa mikono, maji tiririka na sabuni kufungwa, atangaza kufunga ofisi ya Sheikh wa mkoa kwa siku 30

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Shehe mkuu wa mkoa wa Dsm Alhad Mussa Salum amewataka mashehe wote mkoani Dsm kuzingatia maelekezo ya wizara ya afya ya kuweka vitakasa mikono na maji tiririka na sabuni na watakaopuuza misikiti yao itafungwa.
Pia ukaaji wakati wa ibada uwe ni wa kuachiana nafasi kiasi cha kutopumuliana.

Aidha shehe Alhad Mussa Salum ametangaza kuifunga ofisi yake kwa muda wa siku 30 kama tahadhari ya kudhibiti maambukizi ya Corona.

Source ITV habari!
 
sijui kwanini nimekumbuka mwaka 2015 nilipita karibu na msikiti fulani nikakuta ma sheikh wamemcharukia mwenzao kwa kupiga pesa ya speaker ya msikiti
 
TUANAKOLEKEA NI MUNGU PEKEE AJUAE, YAJAYO YANAWEZA KUWA MAGUMU MNO
 
Back
Top Bottom