TANZIA Sheikh Doga amefariki Dunia

TANZIA Sheikh Doga amefariki Dunia

Inna lillah wainna ilaihyi rajiun.

Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake, amfutie adhabu kabri na amjaalie PEPO "Jannat Firdaus"
 
Namkumbuka akijibu maswali kiufasaha kabisa kwenye kipindi cha Maswali na majibu ya dini ya kiislam RTD enzi hizo
 
SHEIKH DOGA AMEFARIKI DUNIA

Kutoka ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam

إنا لله وإنا إليه راجعون

INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN

Mmoja wa Masheikh Maarufu na bobezi mno katika fani ya Shariah Sheikh Muharram Juma Doga amefariki usiku wa kuamkia leo Jumanne na kuzikwa wakati wa Adhuhuri Temeke jijini Dar es salaam

Sheikh Doga ni katika Masheikh wacheche ambao wakikwenda kusoma masomo yao ya elimu ya juu lakini wakiwa tayari ni Masheikh wa kitegemewa

Masheikh kadhaa wa Afrika Mashariki waliosoma nchini Saudi Arabia hasa katika jijini la Madina walipata msaada mkubwa wa Sheikh Doga pale walipotatizika na baadhi ya Masuala ya kifiq'h au misamiati ya Kisharia

Sheikh Doga pamoja na upeo mkubwa wa kielimu aliokuwa nao alidhihirika kwa ukubwa wa kujishusha kwake

Kwa kipindi kirefu Sheikh Doga alikuwa akifundisha Shule ya Alharamaini iliopo mtaa Shauri moyo Kariakoo Dar es Salaam pia alikuwa na darsa katika Madrasat yake iliopo Temeke mtaa mmoja nyuma ya viwanja vya Maulid(Mwembe yanga)

Sheikh Doga pia amekuwa ndie Mwanyekiti wa Kurugenzi ya FAT'WA ya Umoja Wa Wanazuoni Wa Kiislaam Tanzania (Hay-atul Ulamaa)

Mchango wa Mwanachuoni huyu ni vigumu kupatikana Mwanachuoni atakae ushikilia kwa ukamilifu wake

Kuna mengi ya kusema ingawa kwa Sasa tusimamie hapo

Twamuomba Allah amkubalie juhudi na nitihada zake na amsamehe makosa na mapungufu yake na amuingize katika rehema na pepo yake tukufu aamiyn

اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك يارب العالمين

View attachment 3075287
إنا لله و إنا إليه راجعون
 
Adhabu ya kaburi ndiyo nini?
Ni adhabu wanazoadhibiwa makafiri na waovu wengine kaburini kabla ya kufufuliwa siku ya kiyama. Sasa kwa sababu hakuna binadmu aliyekamilika, anapokufa muislamu mwenzetu tunamuombea kwa Allaah kama mwislamu huyu aliteleza akafanya dhambi ambayo yapasa kwa dhambi hiyo kuadhibiwa kaburini basi Allaah AMSAMEHE na amuepushe na adhabu ya kaburi. SWALI LAKO LIMEJIBIWA.
 
SHEIKH DOGA AMEFARIKI DUNIA

Kutoka ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam

إنا لله وإنا إليه راجعون

INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN

Mmoja wa Masheikh Maarufu na bobezi mno katika fani ya Shariah Sheikh Muharram Juma Doga amefariki usiku wa kuamkia leo Jumanne na kuzikwa wakati wa Adhuhuri Temeke jijini Dar es salaam

Sheikh Doga ni katika Masheikh wacheche ambao wakikwenda kusoma masomo yao ya elimu ya juu lakini wakiwa tayari ni Masheikh wa kitegemewa

Masheikh kadhaa wa Afrika Mashariki waliosoma nchini Saudi Arabia hasa katika jijini la Madina walipata msaada mkubwa wa Sheikh Doga pale walipotatizika na baadhi ya Masuala ya kifiq'h au misamiati ya Kisharia

Sheikh Doga pamoja na upeo mkubwa wa kielimu aliokuwa nao alidhihirika kwa ukubwa wa kujishusha kwake

Kwa kipindi kirefu Sheikh Doga alikuwa akifundisha Shule ya Alharamaini iliopo mtaa Shauri moyo Kariakoo Dar es Salaam pia alikuwa na darsa katika Madrasat yake iliopo Temeke mtaa mmoja nyuma ya viwanja vya Maulid(Mwembe yanga)

Sheikh Doga pia amekuwa ndie Mwanyekiti wa Kurugenzi ya FAT'WA ya Umoja Wa Wanazuoni Wa Kiislaam Tanzania (Hay-atul Ulamaa)

Mchango wa Mwanachuoni huyu ni vigumu kupatikana Mwanachuoni atakae ushikilia kwa ukamilifu wake

Kuna mengi ya kusema ingawa kwa Sasa tusimamie hapo

Twamuomba Allah amkubalie juhudi na nitihada zake na amsamehe makosa na mapungufu yake na amuingize katika rehema na pepo yake tukufu aamiyn

اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك يارب العالمين

View attachment 3075287
Allah ampe shufaa
 
Allah akuepushe na adhabu ya kaburi
Hiyo dua wachimba makaburi hawaipendi huwa wanasema wao huwa hawaombewi hiyo dua wakichimba makaburi

Je ina maana wao adhabu ya kaburi inawahusu? Ndio maana huwa hawaombewi Allah awaepushe na adhabu ya kaburi wanapochimba?
 
Namuombea kwa Allah amuweke mahali pema kwenye pepo ya daraja la juu,ila Natoa rai kwa wanazuoni wa Kiislamu waache kujitoa fahamu wanakuwa mbele ya viongozi wa serikali na CCM kwa kushindwa kukemea maovu yanayotendwa na viongozi hao au watendaji wa serikali kwa sababu ya maslahi machache ya kidunia mfano kwenye sakata linaloendelea hivi sasa nchini la binti aliyefanyiwa ukatili wapo kimya wameshindwa kutoa kauli hata ya kulaani tu.
Nawasikitikia sana.
 
Ni adhabu wanazoadhibiwa makafiri na waovu wengine kaburini kabla ya kufufuliwa siku ya kiyama. Sasa kwa sababu hakuna binadmu aliyekamilika, anapokufa muislamu mwenzetu tunamuombea kwa Allaah kama mwislamu huyu aliteleza akafanya dhambi ambayo yapasa kwa dhambi hiyo kuadhibiwa kaburini basi Allaah AMSAMEHE na amuepushe na adhabu ya kaburi. SWALI LAKO LIMEJIBIWA.
Kumbe mtu anakufa na dhambi maombi kwa mola yanamuepusha na adhabu!
 
SHEIKH DOGA AMEFARIKI DUNIA

Kutoka ukurasa wa Sheikh Ibrahim Ghulaam

إنا لله وإنا إليه راجعون

INNAA LILLAHI WAINNAA ILAYHI RAAJIUUN

Mmoja wa Masheikh Maarufu na bobezi mno katika fani ya Shariah Sheikh Muharram Juma Doga amefariki usiku wa kuamkia leo Jumanne na kuzikwa wakati wa Adhuhuri Temeke jijini Dar es salaam

Sheikh Doga ni katika Masheikh wacheche ambao wakikwenda kusoma masomo yao ya elimu ya juu lakini wakiwa tayari ni Masheikh wa kitegemewa

Masheikh kadhaa wa Afrika Mashariki waliosoma nchini Saudi Arabia hasa katika jijini la Madina walipata msaada mkubwa wa Sheikh Doga pale walipotatizika na baadhi ya Masuala ya kifiq'h au misamiati ya Kisharia

Sheikh Doga pamoja na upeo mkubwa wa kielimu aliokuwa nao alidhihirika kwa ukubwa wa kujishusha kwake

Kwa kipindi kirefu Sheikh Doga alikuwa akifundisha Shule ya Alharamaini iliopo mtaa Shauri moyo Kariakoo Dar es Salaam pia alikuwa na darsa katika Madrasat yake iliopo Temeke mtaa mmoja nyuma ya viwanja vya Maulid(Mwembe yanga)

Sheikh Doga pia amekuwa ndie Mwanyekiti wa Kurugenzi ya FAT'WA ya Umoja Wa Wanazuoni Wa Kiislaam Tanzania (Hay-atul Ulamaa)

Mchango wa Mwanachuoni huyu ni vigumu kupatikana Mwanachuoni atakae ushikilia kwa ukamilifu wake

Kuna mengi ya kusema ingawa kwa Sasa tusimamie hapo

Twamuomba Allah amkubalie juhudi na nitihada zake na amsamehe makosa na mapungufu yake na amuingize katika rehema na pepo yake tukufu aamiyn

اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك يارب العالمين

View attachment 3075287
R.IP
 
Back
Top Bottom