TANZIA Sheikh Doga amefariki Dunia

TANZIA Sheikh Doga amefariki Dunia

Huyu Sheikh nakumbuka alikuwa maarufu kutoa elimu ya dini RTD kwa miaka mingi
 
Ni adhabu wanazoadhibiwa makafiri na waovu wengine kaburini kabla ya kufufuliwa siku ya kiyama. Sasa kwa sababu hakuna binadmu aliyekamilika, anapokufa muislamu mwenzetu tunamuombea kwa Allaah kama mwislamu huyu aliteleza akafanya dhambi ambayo yapasa kwa dhambi hiyo kuadhibiwa kaburini basi Allaah AMSAMEHE na amuepushe na adhabu ya kaburi. SWALI LAKO LIMEJIBIWA.
Mpaka dunia ya leo unaamini ngano za kuna adhabu kaburini?

Na wale wanaozika kwa mtindonwa creamation adhabu yao wapi?

Ukishakufa kaburini ni kwenda kuhifadhi tu mwili nafsi inakuwa imetwaliwa.

Mkae mkijuwa vitabu vyote vimeandikwa na binadamu, Mungu hajaandika hata kitabu kimoja.
 
Mpaka dunia ya leo unaamini ngano za kuna adhabu kaburini?

Na wale wanaozika kwa mtindonwa creamation adhabu yao wapi?

Ukishakufa kaburini ni kwenda kuhifadhi tu mwili nafsi inakuwa imetwaliwa.

Mkae mkijuwa vitabu vyote vimeandikwa na binadamu, Mungu hajaandika hata kitabu kimoja.
Naam sisi Waislam tunaamini kuwa kuna adhabu ya kaburi hata kama mtu atayayuka katika acid.

Namuomba Allah aniepushe adhabu ya kaburi. Allah awasamehe waumini (wa kiislam) wanaume na waumini (wa kiislam) wanawake, na waislam wanaume na waislam wanawake, walio hai miongoni mwao na waliofariki. Aameen.

Tumeridhia Allah kuwa Mola wetu na Uislam kuwa Dini yetu na Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kuwa Nabii wetu.
 
Naam sisi Waislam tunaamini kuwa kuna adhabu ya kaburi hata kama mtu atayayuka katika acid.

Namuomba Allah aniepushe adhabu ya kaburi. Allah awasamehe waumini (wa kiislam) wanaume na waumini (wa kiislam) wanawake, na waislam wanaume na waislam wanawake, walio hai miongoni mwao na waliofariki. Aameen.

Tumeridhia Allah kuwa Mola wetu na Uislam kuwa Dini yetu na Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kuwa Nabii wetu.
Magumashi tu, soma surat Mariam 19: 71 Waislamu wote wanakwenda motoni.

Sasa huwezi kutumia common sense kama hivi vitabu vyote vina walakini?
 
Back
Top Bottom