#COVID19 Sheikh Farid Mussa aibuka na Msimamo wa Waislamu Juu ya Chanjo na Imani ya Kiislamu

#COVID19 Sheikh Farid Mussa aibuka na Msimamo wa Waislamu Juu ya Chanjo na Imani ya Kiislamu

Wataalamu wana kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu wengi mfano wa huyu shekhe.

Tena kazi kubwa kuliko tunavyoweza kufikiri.
Kwa nini watu mnaokubaliana na chanjo mnadhani upande wa pili ni mambumbumbu wasiojua chochote, na wanaohitaji kuelimishwa?

Au mmekuwa Ministers of Truth?
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Ameshachanja Mufti hivyo msimamo wa waislamu ulishajulikana!

Si kweli. Chanjo ya Covid-19 ni HIARI ya mtu binafsi. Hakuna usajili wa misimamo ya jamii za kidini, kikabila wala kisiasa.

Kinachopambaniwa hapa ni LEGACY ilyohujumiwa kwa kukubali uwepo wa Covid-19 nchini, kutelekeza nyungu na juisi ya ukwaju+tangawizi halafu (the unforgivable insult), kuleta chanjo na kuipigia chapuo la nguvu nchini.

Sasa uamuzi ni wako: ni ama uko na SISI au uko na LEGASI.

Ukiwa na sisi utaijua kweli nayo itakuweka huru: utakuwa huru kweli kweli kuamua uchanje au usichanje.

Ukishikamana na legasi, hakika utavutwa chini na nguvu za sumaku ya kielektroniki hadi kwenye jukwaa linalochambua na kuchuja mkorogo wa chanjo, 5G, muhuri wa mpinga kristo, chapa ya 666, vinasaba vya DNA na RNA…

It’s a non-issue; a non-discourse. Just a futile venture into idiocy.
 
Si kweli. Chanjo ya Covid-19 ni hiari ya mtu binafsi. Hakuna usajili wa misimamo ya jamii za kidini, kikabila wala kisiasa.

Kinachopambaniwa hapa ni LEGACY ilyohujumiwa kwa kukubali uwepo wa Covid-19 nchini, kutelekeza nyungu na juisi ya ukwaju+tangawizi halafu (the unforgivable insult), kuleta chanjo na kuipigia chapuo la nguvu nchini.

Sasa uamuzi ni wako: ni ama uko na SISI au uko na LEGASI.

Ukiwa na sisi utaijua kweli nayo itakuweka huru: utakuwa huru kweli kweli kuamua uachanje au usichanje.

Ukishikamana na legasi, hakika utavutwa chini na nguvu za sumaku ya kielektroniki hadi kwenye jukwaa linalochambua na kuchuja mkorogo wa chanjo, 5G, muhuri wa mpinga kristo, chapa ya 666, vinasaba vya DNA na RNA…

It’s a non-issue; a non-discourse. Just a futile venture into idiocy.
Mkuu kwani weye hautakufa ukichanja hiyo chanjo? hapa hakuna cha legasi kaka je huyu sheikh nae amebadirishwa akili na legasi? kwanini mnalazimisha sana tuwaamini nyie tu? subiri miaka 10 ijayo ukiwa hai uone matokeo ya kuchanjwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Daaaah yaani CHANJO inakwenda kubadilisha MFUMO WA DNA ?!! 😲😲😲

Sheikh wangu muadhama.....

Akhui Shaykh Farid angepata kwanza elimu ya DNA kisayansi....

Akhui muadhama Farid anajiaibisha.....

Kivipi ?!!!

1)NYUKI

Mdudu nyuki anapomng'ata BINADAMU naye anambadilisha DNA?!!!

Sheikh Farid ajue kuwa mtume wetu Muhammad SAW ametutaka tutumie sana ASALI kwani imeelezewa ndani ya QURAN takatifu kuwa "katika matumbo Yao(hao nyuki) Kuna kinywaji chenye ponyo".....

Sasa la kujiuliza....MRINA ASALI HAWEZI KUNG'ATWA NA NYUKI?!!

Nyuki wanapomkang'ata binadamu ile miiba yake na sumu yake huushtua mwili wa mwanadamu kutoa KINGA DHIDI ya virusi na bakteria wanaoweza kuingia mwilini kwa MNG'ATO HUO...

Hebu tuone hili...

Ikiwa mtu huyo ana mzio (allergy) na sumu ya nyuki pia mwili wake hutoa kiitwacho "immunoglobulin E" ambayo nayo ni kwa ajili ya KUPAMBANA NA VIRUSI NA BAKTERIA wanaoweza kuingia mwilini kwa MNG'ATO huo wa nyuki.....

Je hapa nako DNA ya mwili hubadilishwa kama ANAVYOTUAMINISHA SH.FARID akirejea uhusiano wa SHETANI NA UHARIBIFU KWA WANADAMU?!!!!!

IFIKIE MAHALI BAADHI YA VIONGOZI WA DINI WAWAULIZE WATAALAMU WA AFYA KABLA YA KUJIFANYA KUJUA KILA KITU......

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
#SiempreSSH
 
Kwa nini watu mnaokubaliana na chanjo mnadhani upande wa pili ni mambumbumbu wasiojua chochote, na wanaohitaji kuelimishwa?

Au mmekuwa Ministers of Truth?
Mnapinga kwa hisia bila facts zozote za kisayansi.

Mnapinga mpaka kwa imani za kidini.

Mtu anakwambia chanjo ndo 666 mara chanjo ndo mnyama na ujinga mwingine mwingi.

Sasa kwanini wanaopinga wasionekane mbumbumbu kama sababu zenyewe ndo hizo.
 
Mnapinga kwa hisia bila facts zozote za kisayansi.

Mnapinga mpaka kwa imani za kidini.

Mtu anakwambia chanjo ndo 666 mara chanjo ndo mnyama na ujinga mwingine mwingi.

Sasa kwanini wanaopinga wasionekane mbumbumbu kama sababu zenyewe ndo hizo.
Sawa mtaalam uchwara.
Kuna experts wa vaccination ambao wanapinga hizi chanjo. Wapo madaktari na manesi wanapinga hizi chanjo. Hawa wote ni mambumbumbu ila wewe una akili sana.

Endelea kuwa delusional!
 
Sawa mtaalam uchwara.
Kuna experts wa vaccination ambao wanapinga hizi chanjo. Wapo madaktari na manesi wanapinga hizi chanjo. Hawa wote ni mambumbumbu ila wewe una akili sana.

Endelea kuwa delusional!
Tuwekee facts za hao madaktari na manesi wanaopinga tujadili.

Ukiweka utafanya la maana sana.
 
Hvi unafikiri hao wanaopinga wote ni mazezeta? Na wewe uliyekubali ndo Una akili kuwazidi ??! Think twice
Kuna chanjo ngapi tumesha chanjwa tangu tuzaliwe? Je huo mfumo wa DNA umeshaharibiwa? Du! ya wataalam tuwaachie hao wenyewe wafanye ufafanuzi.
 
🤣
IMG_20210731_110548.jpg
 
Wataalamu wana kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu wengi mfano wa huyu shekhe.

Tena kazi kubwa kuliko tunavyoweza kufikiri.
Nimeshangaa sana huyu shekhe,kazi ni kubwa sana ya kuelimisha jamii hasa hawa baadhi ya mashekhe wanaoingilia mambo ya watu.
 
Serikali ilishazingua tangu kipindi cha mwendazake kuzikandia hizo chanjo, serikali nzima ilizipiga mawe si maprofesa wala madaktari.

Leo wanakuja na swaga mpya na matangazo kibao ni lazma wananchi tuwe na viulizo sana kuhusu hii misimamo yao inayoyumba yumba.

hata USA au UK kuna wanaopinga
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Daaaah yaani CHANJO inakwenda kubadilisha MFUMO WA DNA ?!! 😲😲😲

Sheikh wangu muadhama.....

Akhui Shaykh Farid angepata kwanza elimu ya DNA kisayansi....

Akhui muadhama Farid anajiaibisha.....

Kivipi ?!!!

1)NYUKI

Mdudu nyuki anapomng'ata BINADAMU naye anambadilisha DNA?!!!

Sheikh Farid ajue kuwa mtume wetu Muhammad SAW ametutaka tutumie sana ASALI kwani imeelezewa ndani ya QURAN takatifu kuwa "katika matumbo Yao(hao nyuki) Kuna kinywaji chenye ponyo".....

Sasa la kujiuliza....MRINA ASALI HAWEZI KUNG'ATWA NA NYUKI?!!

Nyuki wanapomkang'ata binadamu ile miiba yake na sumu yake huushtua mwili wa mwanadamu kutoa KINGA DHIDI ya virusi na bakteria wanaoweza kuingia mwilini kwa MNG'ATO HUO...

Hebu tuone hili...

Ikiwa mtu huyo ana mzio (allergy) na sumu ya nyuki pia mwili wake hutoa kiitwacho "immunoglobulin E" ambayo nayo ni kwa ajili ya KUPAMBANA NA VIRUSI NA BAKTERIA wanaoweza kuingia mwilini kwa MNG'ATO huo wa nyuki.....

Je hapa nako DNA ya mwili hubadilishwa kama ANAVYOTUAMINISHA SH.FARID akirejea uhusiano wa SHETANI NA UHARIBIFU KWA WANADAMU?!!!!!

IFIKIE MAHALI BAADHI YA VIONGOZI WA DINI WAWAULIZE WATAALAMU WA AFYA KABLA YA KUJIFANYA KUJUA KILA KITU......

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
#SiempreSSH
Bwana farid amezingua sana.

Ilikuwa busara atulie huyu jamaa asijitie kujua kila kitu.

Anaweka Qurani mahala sipo kabisa.

DNA mambo ya kitaalamu sana ambayo sidhani kama sheikh farid anayafahamu vizuri zaidi ya kuyajua juu juu tu.
 
Sheikh wetu Farid ninamkumbusha haya:

Nina imani ashaikhul muadhama Farid ameshawahi kwenda HIJJA mji mtakatifu wa Makka.....

Je hajawahi kuchanjwa chanjo ya HOMA YA NJANO(YELLOW FEVER)...nayo inabadilisha DNA kwa njia za kishetani?!!!

Watoto wake hawajawahi kupata chanjo?!!!

Nazo zinabadilisha DNA kwa njia ya kishetani?!!!

#TujitokezeTupateChanjo
#ChanjoHiiSiMpya
#KaziIendelee
 
Sheikh wetu Farid ninamkumbusha haya:

Nina imani ashaikhul muadhama Farid ameshawahi kwenda HIJJA mji mtakatifu wa Makka.....

Je hajawahi kuchanjwa chanjo ya HOMA YA NJANO(YELLOW FEVER)...nayo inabadilisha DNA kwa njia za kishetani?!!!

Watoto wake hawajawahi kupata chanjo?!!!

Nazo zinabadilisha DNA kwa njia ya kishetani?!!!

#TujitokezeTupateChanjo
#ChanjoHiiSiMpya
#KaziIendelee
Hana mpya yule.

Kuhubiri bila kuleta taharuki katika jamii sijui hawaoni raha au vipi
 
🤣🤣

Ashaikhul kiraam Farid akumbuke kuwa MAKKAH na JERUSALEM mamlaka zao zimeamua wananchi wachanje........

Leo Waislam hawaendi kuhiji Makkah na Madinah bila ya CHANJO.......?!!

Leo Wakristo hawaendi kuhiji Jerusalem na Bethlehem bila ya CHANJO....?!!

#TujitokezeniKuchanja
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
 
Hana mpya yule.

Kuhubiri bila kuleta taharuki katika jamii sijui hawaoni raha au vipi
Leo sheikh Farid amuunge mkono Hayati JPM aliyeshindwa kumtoa gerezani?!!!

Bila ya mh.Samia Suluhu Hassan bado wangekuwa GEREZANI huku GWAJIMA akiipinga CHANJO uraiani 🤣

Hapo ni mwendelezo tu wa VITA Yao na BAKWATA 🤣🤣
 
Bwana farid amezingua sana.

Ilikuwa busara atulie huyu jamaa asijitie kujua kila kitu.

Anaweka Qurani mahala sipo kabisa.

DNA mambo ya kitaalamu sana ambayo sidhani kama sheikh farid anayafahamu vizuri zaidi ya kuyajua juu juu tu.
Ha ha ha🤣

Kwa kujifanya kujua kila kitu...ndugu hao wanaweza hata kuendesha ndege kwa hisia tu 🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Daaaah yaani CHANJO inakwenda kubadilisha MFUMO WA DNA ?!! 😲😲😲

Sheikh wangu muadhama.....

Akhui Shaykh Farid angepata kwanza elimu ya DNA kisayansi....

Akhui muadhama Farid anajiaibisha.....

Kivipi ?!!!

1)NYUKI

Mdudu nyuki anapomng'ata BINADAMU naye anambadilisha DNA?!!!

Sheikh Farid ajue kuwa mtume wetu Muhammad SAW ametutaka tutumie sana ASALI kwani imeelezewa ndani ya QURAN takatifu kuwa "katika matumbo Yao(hao nyuki) Kuna kinywaji chenye ponyo".....

Sasa la kujiuliza....MRINA ASALI HAWEZI KUNG'ATWA NA NYUKI?!!

Nyuki wanapomkang'ata binadamu ile miiba yake na sumu yake huushtua mwili wa mwanadamu kutoa KINGA DHIDI ya virusi na bakteria wanaoweza kuingia mwilini kwa MNG'ATO HUO...

Hebu tuone hili...

Ikiwa mtu huyo ana mzio (allergy) na sumu ya nyuki pia mwili wake hutoa kiitwacho "immunoglobulin E" ambayo nayo ni kwa ajili ya KUPAMBANA NA VIRUSI NA BAKTERIA wanaoweza kuingia mwilini kwa MNG'ATO huo wa nyuki.....

Je hapa nako DNA ya mwili hubadilishwa kama ANAVYOTUAMINISHA SH.FARID akirejea uhusiano wa SHETANI NA UHARIBIFU KWA WANADAMU?!!!!!

IFIKIE MAHALI BAADHI YA VIONGOZI WA DINI WAWAULIZE WATAALAMU WA AFYA KABLA YA KUJIFANYA KUJUA KILA KITU......

#TujiandaeKuchanjwa
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
#SiempreSSH
Wanazuoni wanahitaji elimu ya ziada jinsi chanjo zinavyofanya kazi. Nimeshangaa sana madai ya Sheikh kuwa chanjo zianabadilisha mfumo wa DNA.
 
Back
Top Bottom