#COVID19 Sheikh Farid Mussa aibuka na Msimamo wa Waislamu Juu ya Chanjo na Imani ya Kiislamu

Ni HUYU ALIESEMA INAONGEZA NGIVU ZA KIUME CHANJOOO

WAITE NILETEEE MKOJO CHUPAMBILI PLS
 
hata USA au UK kuna wanaopinga
Sisi hata hatufanini na US na UK jinsi hii ishu ya covid inavoshuulikiwa mkuu. Siasa siasa siasa tu hadi kwenye maisha ya watu. Si ajabu leo mama akibadili msiamamo basi serikali nzima itabadili upepo hapo hapo .
 
Tuwekee facts za hao madaktari na manesi wanaopinga tujadili.

Ukiweka utafanya la maana sana.
Kabla ya kuleta hizo evidence umesoma fact sheets za hizo chanjo? Maana fact sheets zinatengenezwa na manufacurer na wengi mnaongea tu ila hamjazisoma.

Haya hawa ni sample doctors

Na nakuwekea attachment ya Factsheet. Ukiishamaliza kuzisoma kwa ufahamu hizo facts rudi tena useme kwamba wasiokubaliana ni idiots.

Mfano mdogo tu wa fact ni kuwa haijulikani inakulinda muda gani, saa moja, wiki au mwezi. Hawajui. Na ndio watengenezaji.


 
Hvi unafikiri hao wanaopinga wote ni mazezeta? Na wewe uliyekubali ndo Una akili kuwazidi ??! Think twice
Mazezeta sana.
Mungu alitenga mambo ya kiroho na kimwili(sayansi) waislam wanaita elimu dunia na elimu akhera.

Sayansi iwasaidie wanaadam kwa mambo ya duniani hii ni pamoja na uvumbuzi wa tiba.

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Kama zina pelekea watu kuwa chakula ya wengine (USHOGA)siku za mbele huko,huoni kama tayari ni mabadiliko ya kimaumbile?.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Bwana farid amezingua sana.

Ilikuwa busara atulie huyu jamaa asijitie kujua kila kitu.

Anaweka Qurani mahala sipo kabisa.

DNA mambo ya kitaalamu sana ambayo sidhani kama sheikh farid anayafahamu vizuri zaidi ya kuyajua juu juu tu.
Pigene chanjo tu alafu baadae mkiwa mashoga tuwatafune tu.[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kwani nchi hizo zinaongizwa na mamlaka za dini au za kidunia tu?.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Wanazuoni wanahitaji elimu ya ziada jinsi chanjo zinavyofanya kazi. Nimeshangaa sana madai ya Sheikh kuwa chanjo zianabadilisha mfumo wa DNA.
Chanjo zote ni vijidudu vinavyo enda kupandikizwa mwilini ambavyo mwili haukuwa navyo.
Vipi mnapinga tu bila ya kuelewa?.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Kama zina pelekea watu kuwa chakula ya wengine (USHOGA)siku za mbele huko,huoni kama tayari ni mabadiliko ya kimaumbile?.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Thats why nimeandika hapo kuwa wataalam watuambie how the God's creation will be changed.?
Zile genetic materials(DNA & RNA) zinabadilisha vipi uumbaji wa Mungu?

Watu waelimishwe ili waelewe na siyo kuwazuia tu.
 
kama hutaki kuchanjwa kaa pembini saa mbaya,halazimishiwi mtu ila hapa kwetu kama hujanja kaa huko huko kwenu.
 
Wataalamu wana kazi kubwa sana ya kuwaelimisha watu wengi mfano wa huyu shekhe.

Tena kazi kubwa kuliko tunavyoweza kufikiri.
Hao unaowaita wataalamu ndio waliungana na utawala wa awamu ya 5 kuzipinga hizo chanjo.

Leo wamebadili gia angani na wanapata tabu kuwaelimisha raia.

Wanavuna walichokipanda.
 
Mnapinga kwa hisia bila facts zozote za kisayansi.

Mnapinga mpaka kwa imani za kidini.

Mtu anakwambia chanjo ndo 666 mara chanjo ndo mnyama na ujinga mwingine mwingi.

Sasa kwanini wanaopinga wasionekane mbumbumbu kama sababu zenyewe ndo hizo.
🤣
 
Mkuu kwani weye hautakufa ukichanja hiyo chanjo? hapa hakuna cha legasi kaka je huyu sheikh nae amebadirishwa akili na legasi? kwanini mnalazimisha sana tuwaamini nyie tu? subiri miaka 10 ijayo ukiwa hai uone matokeo ya kuchanjwa.
Sioni haja ya mjadala katika suala la chanjo. Kila mtu ana uhuru wake. Anayetaka kuchanja achanje; asiyetaka asichanje, period.

Huu sio mjadala wa kufa au kutokufa. Kila mtu atakufa kwa wakati na namna yake. Lakini binadamu siku zote anapambania afya yake na kujikinga na hatari zote dhidi ya uhai na uzima wake. It’s a personal responsibility.

Wanaoogopa kufa kwa chanjo ya Covid-19, sawa, wasichanje. Wanaoogopa kuugua na kufa kwa Covid-19, wachanje. Kila mtu ana facts zake na imani zake. Hakuna haja ya kupigizana kelele na porojo nyingi za kufikirika.
 
ohooo!!! nyie mnaochanjwa ndo mnaoaswa kuwa makini msije mkafa wote mkatuacha wachache
 
Hivi hawana mishipa ya aibu ?
 
Kwani nchi hizo zinaongizwa na mamlaka za dini au za kidunia tu?.


Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hizo nchi ndizo chimbuko la DINI mbili kubwa....

Rejea ya dini hutoka huko ama hutokea Mwanerumango?

Je Kuna awezaye kwenda HIJJA bila ya kuchanjwa chanjo dhidi ya HOMA YA INI na YELLOW FEVER?!!
 
Hao unaowaita wataalamu ndio waliungana na utawala wa awamu ya 5 kuzipinga hizo chanjo.

Leo wamebadili gia angani na wanapata tabu kuwaelimisha raia.

Wanavuna walichokipanda.
Magufuli alikuwa alfa na omega.

Aliwacompromise wataalamu karibia wote.

Anachotaka yeye kiwe sahihi au kisiwe sahihi lazima kifanyike.

Kupima mapapai na kusema yana corona ule wote ni upuuzi.

Tatizo nani angeweza kwenda kinyume apoteze mkate wake.

Matokeo yake sasa wanapata tabu sana na wapuuzi kina gwajima.
 
kimbiza kimbiza hapa Gwajima kule Farid hapa hachanjwi mtu nawaonea huruma mliochanjwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…