Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

Sheikh Jongo asema ujenzi wa msikiti wa Kinondoni haukuombwa na Hayati Magufuli kama ilivyodaiwa

Hicho kijumba kinawasaidia nini?

Bora wangeomba wajengewe kiwanda kifanye uzalishaji, kiajiri vijana na kuongeza uchumi wa nchi.

Na hili ombi la kiwanda hao watoa misaada ya uongo wasingelikubali maana wao wanataka watoe misaada kwenye mambo ya kijinga yanayowanufaisha wao.

Kijumba chenyewe kimezungukwa na mateja kibao.

Weusi tufungue akiri zetu.

awasaidia
Hayo ni mawazo yako
 
View attachment 2945122

Kuna watu hawajui kushukuru kwa sasa ni mtazamo wa mtu si sahihi kuiweka BAKWATA nzima kwa kauli ya mtu mmoja ambae wala sidhani kama ni msemaji wao.

Magufuli mwenyewe amewapa hela kama mara mbili kwa sababu ya huo msikiti, sio kwamba Morroco walitoa hela zote kuna mambo mengine ya nyongeza walitaka akawa anawapa hela.

Embu watuonyeshe picha JK akichangia hata msikiti Msoga, anachojua yeye ni kuwapelekea fiesta tu.

Ama kweli tenda wema nenda zako.
Kuna watu ni wanafiki wasio na aibu, bahati mbaya teknolojia imewaumbua.
 
Asalam alekum mleta mada.

Mkuu siku nyingine ukitaka kuleta mada sensitive kama hii yakuhusisha taasisi kama ya Rais,Bakwata n,k fanya utafiti kwanza.
jf kuna watu werevu kamwe huwezi kuwadanganya kifala.
Asante🙏
 
huo ni unafiki kwanini hakusema wakati magufuli yupo hatuwezi kusikiliza maneno ya upande mmoja tu kama kwenye kanga angesema na magufuli yupo ili tusikie naye atasemaje hapo mzee umefeli pakubwa sanaaaaaaaaaa
Serikali ni jitu kubwa sana, shida ya nchi hii nikutaja majina ya watu katika mambo ya serikali. Serikali iliyokuwa inaongozwa na JK walianza ikaja ya JPM ikatekeleza hapa kulikuwa hakuna haja ya kutaja JK wala JPM, ni kwamba msikiti uliombwa na serikali basi. Ni kama hii miradi ya SGR sijui bwawa la umeme haya JPM alianza utekelezaji lakini aliyekuja kumalizia ni Serikali hii ya Dr Samia, huwezi kusema ni miradi ya Mama Samia kama watu wanavyopiga debe hii ni miradi ya serikali kufuatia ilani ya CCM. Mkapa walishawahi kuseme hili jambo lakini baada ya machawa kuwa ni ajira ndio tunaona hizi kelele za kutaja majina. Yanga imekuwa Ghalib na Simba imekuwa juhudi za Mo.
 
Hii miund
MAGUFULI HAHITAJI KICK YA MSIKITI!
Mwamba "JPM!"
John Pombe Magufuli... ameondoka Dunia na hatarudi kamwe.Hii ni kanuni ya ki-maumbile ya Ki-dunia,kulingana na mafundidho ya vitabu vitakatifu vya Mungu kwamba kila nafsi itapitia hatua hiyo kwa muda wake utakapiwadia.

Mimi ninachofurahia ni jinsi Magufuli alivyoacha "Landmarks" lukuki ambazo zinawatesa hawa wapigaji wa kisasa wa kisiasa!

Hawawezi kumfuta Magufuli kirahisi ilhali kaacha Landmark kila kona ya nchi

Nitaziorodhesha hapa na muelewe sababu ya Magufuli kutofutika kirahisi Hapa nchini.

IKULU ya Chamwino-Dodoma.
BWAWA LA UMEME la Nyerere.
UKUTA wa Mererani-Manyara.
DARAJA la Tanzanite-Dar es Salaam.
FLYOVERS ya Mfugale -Dar es Salaam.
STENDI YA MAGUFULI-Dar es Salaam.
BARABARA NJIA SITA-Ubungo mpaka mbezi na kuendelea mlandizi.Dar es Salaam.
STENDI KUU -Morogoro.
SOKO KUU-Mwanza.
STENDI KUU-Nyegezi,Mwanza.
STENDI KUU-Nyamhongolo Mwanza.
UWANJA WA NDEGE-Chato.
DARAJA LA WAMI- TANGA.
BOMBA LA MAFUTA -Hoima Uganda mpaka Tanga Tanzania.
RELI YA SGR-Dar es Salaam mpaka Mwanza.

Hizi ni Landmarks na sio vitu vinavyohamishika.ndio maana sijataja Meli wala Ndege.
Kuna pia Zahanati zaidi ya 478 pamoja na hospitali za Wilaya,Rufaa pamoja na za kanda kama Hospitali ya Rufaa Chato.
Kiongozi kama huyu huwezi futa legacy yake kwa kutumia keyboard.

Halafu watu fulani wenye kushiriki uovu kupigana na Legacy ya JPM huku wakitaka kuzitumia hizo Landmarks za JPM kwenye uchaguzi ujao wa 2025.Ushahidi uko wazi.

Watuambie kwanza hizo awamu zingine ukiondoa ya Baba wa Taifa JK Nyerere(R.I.P),na pia Benjamin Mkapa(R.I.P).

Hao wengine watuambie legacy zao walizotuachia zaidi ya Ufisadi,Majungu na Kupigana na Makaburi.
Na kama taifa!
Ni nini na zinatusaidiaje kwa sasa kama zipo?
Hii miundombinu unaona kuwa ni legasi ya magufuli, sawa. Lakini wasiojulikana hujui ni legasi ya nani! Watumishi kukosa stahiki zao kwa miaka 6 hujui ni legasi ya nani! Maiti zilizookotwa hujui ni legasi ya nani! Kuuliwa biashara ya korosho, mbaazi etc hujui ni legasi ya nani! Fedha za watu kuchukuliwa kwenye account zao hujui ni legasi ya nani! Uchafuzi wa 2019/2020 hujui ni legasi ya nani? Biashara ya kununua wanasiasa (kuunga mkono juhudi) hujui ni legasi ya nani!
 
Kwenye uislamu tunaamini misikiti yote ni ya Allah.

As long as unaswaliwa na waislamu hayo mengine hayana haja ya kujua.
Kwani Mungu (au mungu) anakaa Msikitimi au Kanisani? Au Mungu/mungu hukaa ndani ya mtu?
 
View attachment 2945052
Wakuu,

Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.

Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.

Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.

Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?

Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?

Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.

TAKBIR.
Unafiki huo mbona hakusema kabla magu hajafariki? Hakukuwa na haja ya yeye kuongea haya mambo huyu ni Mzee wa kuheshimiwa anatakiwa ajifikirie sana kabla ya kuongea. Mambo mengine anatakiwa amezee sio kuweka hadharani kama hivo. Kwa upande wangu KAZINGUA sana.

Na tunamuamini vipi wakati hatuna taarifa kutoka upande wa pili? Kuapa sio ishu sana, watu wanashikishwa misaafu na biblia wanaapishwa lakini wanakengeuka na kuongopa.
Huyu Mzee kiukweli alitakiwa kukaa kimya tu hakukuwa na ulazima wa yeye kuongea hayo maneno, msikiti ni nyumba ya IBADA jukumu lake ni kuutumia katika maswala ya kiibada basi sio kutamka mambo kama hayo.
 
Hii miund

Hii miundombinu unaona kuwa ni legasi ya magufuli, sawa. Lakini wasiojulikana hujui ni legasi ya nani! Watumishi kukosa stahiki zao kwa miaka 6 hujui ni legasi ya nani! Maiti zilizookotwa hujui ni legasi ya nani! Kuuliwa biashara ya korosho, mbaazi etc hujui ni legasi ya nani! Fedha za watu kuchukuliwa kwenye account zao hujui ni legasi ya nani! Uchafuzi wa 2019/2020 hujui ni legasi ya nani? Biashara ya kununua wanasiasa (kuunga mkono juhudi) hujui ni legasi ya nani!
Katika kutafuta maendeleo ni lazima watu wafe, waumie au waadhilike ki namna yyte Ile hili halipingiki.

Kwa yanayoendelea awamu hii ni bora ya awamu ilopita
 
Mungu atakulipa Shekh Jongo umeona usife na hii dhambi umeona ni bora waislamu wakaujua ukweli. Naona Mufti ameogopa kabisa kuliweka wazi hili najua mlipata vitisho ndiomaana mliona ni kheri msiuseme ukweli huu ila umeona bora usife ukiwa na dhambi hii maana nyie ndo mko jikoni na mnajua kila kitu cha bakwata kwenye hili Allah atakulipa inshaallah
Hakuna mtu kulipwa ikiwa alikumbatia uwongo ili kustiri tumbo lake leo miaka 3 mtu kafa ndio anakuja kusema anaogopa uwongo? Huu ni unafiki maana leo tutamuamini kwa lipi? ikiwa alikaa kimya kwenye uwongo leo mangapi anakaa kimyaa. Ogopa viongozi wa dini zote hao ni hatari sana wanafiki wakubwa ndio maana leo mahubiri yao yote ni kuhusu ngono ndio kazi wanayojuwa.
 
View attachment 2945052
Wakuu,

Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.

Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.

Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.

Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?

Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?

Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.

TAKBIR.
Mnajaribu kila mbinu kumchafua marehemu lakini hamtafanikiwa Mungu yupo tutaona mwisho wenu
 
View attachment 2945052
Wakuu,

Mwenzenu naona aibu sana. Jinsi Magufuli alivyokuwa akijitapa mara atembelee Msikiti huku kavaa Kanzu, Mara amtume Makonda, mara aipige biti. Nimeona aibu sana kwa jinsi alivyokuwa akijitapa.

Kuna siku alisema eti, Mfalme wa 6 wa Morocco alipokuakuja nikamuomba Msikiti. "Akashangaa ananiangalia machoni", nikamuuliza nini? Akasema nimeshangaa Mkristo unaomba Msikiti.

Sasa BAKWATA Wamevunja ukimya na kuweka Kumbukumbu sawa.

Wamesema aloomba Msikiti ni Jakaya Kikwete. Magufuli alikuwa anafanya siasa tu.
View attachment 2945053
Sasa kwanini Hayati Magufuli atafute kiki kwa Msikiti badala ya Makanisa?

Mimi niliikuwa nashangaa. Mafuli awe na moyo wa kuomba Msikiti halafu Watu kila siku watekwee na kupotea?

Asante sana BAKWATA. Sasa nimeanza kuwqamini.

TAKBIR.
Mumlaumu aliyesimama mbele ya umati na kusema hayo mnayoyakanusha leo. Upuuzi mkubwa sana huu mtu mkubwa anadharirishwa hovyo namna hii kwakweli hata Mungu hapendi sio vizur
 
Si busara kuzungumzia nani ameomba hivi sasa. Wote wameshiriki kuufanikisha. Angekataa, Msikiti usingeendelea.
Mngezungumzia: kwa nini Tanzania iombe hata kujengewa msikiti? Matajiri wawili tu wangeweza kuujenga, ila roho mbaya na uchu wa fedha.....
 
Huu ni unafiki na unafiki hauhitajika kwenye dini, kama ni kweli wangempinga kipindi yupo hai.
 
Back
Top Bottom