Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua roho inamuuma kuwa miaka 10 hakufanya vya kutosha anazidiwa na mtu aliyekaa miaka 5 na miezi kadhaaJK and his cartel sijui wanatafuta umaarufu wa kisiasa wa Nini wakati Hana mpago wa kugombea?
Bora Mwamba alitubu kabla ya KufaDunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
View attachment 2945023
Ni sawa ajenge muislam, kwanini ajenge kafir?Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
View attachment 2945023
wewe unahisi angeweza kusema wakati wa magufuli? Ingelikuwa wewe je ungeweza?
Wabongo wanafiki sana! Huyo JK katoka madarakani 2015 mbona hakujenga na 2020 JPM ndo alikagua ujenzi wa Msikiti!Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
View attachment 2945023
Inastaajabisha sana😂Naona awamu ya 6 mpinzani wake mkuu ni Marehemu. Aisee....
Umenena hakika!ila kama kuna binadamu anaishi kwa mateso hii dunia ni kikwete, seems like has always something to prove, I mean, huyu jamaa amekuwa raisi kwa miaka 10 lkn bado anaona kama kuna pengo kwenye maisha yake, kuna watu wanahitajia therapist kwa maana unashindana hata mtu aliyekwisha kufa na hata rudi tena? Duh …
Mwezi wa Ramadhan kwa wewe ni sahihi kuamini hivyo, lakini kwenye siasa,dola na fedha watu hufanya chochote usimwamini sana mwanadamu kwa 100%Mwezi wa ramadhani mtu hawezi kusema uongo
Sana, ni waongo sana na Mtume S.A.W anawaona. Toba Mwezi mtukufu huu!acheni unafiki huo huyo mzee kakosa la kusema kwanini hakusema wakati yupo na mpaka muft alisema mwenyewe kuwa magufuli ndiyo aliomba ujengwe inamaana huyu jamaa na mufti nani muongo?
Nafikiri kama Taifa tuna tatizo zito linalofukuta na kuna watu wanachochea. Shekhe kusimama msikitini kuongea haya leo nini anatafuta?
Anyway, muda ni mwalimu mzuri.
Tunapoongea tunaongea kuhusu mleta maono!Hapa umetupiga. Ni Dar - Dodoma - Utawala wa JpM
Dodoma - Singida - Tabora - Shinyanga - Mwanza - Utawala wa Samia
Kama ana imani thabiti angeweza. Wapo akina Askofu Niwemugizi na Bagonza waliongea kama kawaida hawakukaa kimya.wewe unahisi angeweza kusema wakati wa magufuli? Ingelikuwa wewe je ungeweza?