Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza kila kitu 🙏🙏Hakika, ila pointi ipo hapa chini👇
Hawa ma propagandist huwa wanajisahau katika jumbe zao-Mfano hawa wanaotaka kutuaminisha kwamba Hayat Rais Magufuli alikuwa akiwatukana Watanzania kwa kuwaita "Wanyonge" Eti kwa sababu alisema yeye ni 'Raisi wa Wanyonge'
Hapo ndio tunarudi kwenye point yako, tunajiuliza hivi 'sisi ni wageni wa Lugha yetu wenyewe?' "Kwani sisi ni wageni wa nchii" hii, kwamba hatukuelewa muktadha wa neno "Wanyonge"? ama?
Sambamba, Inashangaza sana.
....pamoja na haya yaliyobandikwa, kushangaza kama ilivyo, hayo aliyotamka "mwenye dini yake". Ndio tunarudi tena kwa yale aliyohoji Jenerali Ulimwengu-"Kwani tuligeuzwa mazuzu"?
Nonetheless, Magulification will go on, in Tanzania, Africa and Beyond.
Unyonge sio kitu cha kumhamasisha mtu ajisifie nachoUmemaliza kila kitu 🙏🙏
Ila ni kweli pia hao mafisadi wapiga Dili wa Nchi hii hawawezi kukubali kuitwa wanyonge !
Pamoja na Uchache wao bado wanaamini wao ndio wanawawakilisha wananchi wote wa Nchi hii !!
Huyu nae, kwanini hakuyasema kabla Magufuli hajafariki? Ktk hili huyu Sheikh ni muongo na anatanguliza udini. Tulimsikia na kumuona jpm mara kadhaa tena mbele ya mfuti mkuu, barozi wa Morocco, na Viongozi wengine wa BAKWATA akisimulia jinsi alivyomuomba mfalme wa Morocco kujengewa huo msikiti.Dunia haina siri, waislamu wamefunguka kwamba ule msikiti ambao JPM alikuwa anatamba kuwaombea waislamu wajengewe kumbe ni kazi iliyoanza enzi ya JK mpaka Mufti akasafiri kwenda kwa nchi iliyofadhili ili wakajadiliane.
Iwe bhojo!
Sio kujisifia bali ndio hali halisi iliyopo inayotakiwa kushughulikiwa kwa pamoja ili hali hiyo itokomezwe !Unyonge sio kitu cha kumhamasisha mtu ajisifie nacho
Na walikuwa pamoja na mfalme wa Morroco mimi huyu mzee sikumuona ndio namuona leoKwa masikio yetu na kwa macho yetu, hadi Magufuli anaingia msikiti huo sjui ni kujiridhisha kwa ulivyokuwa unaendelea kujengwa
Na kwa kinywa chake yeye alisema na akamshukuru mfalme wa Morocco
Kabisa hadi wanakera yaaniNaona awamu ya 6 mpinzani wake mkuu ni Marehemu. Aisee....
Daah huyo mzee hadi kaapa eti kafunga aibu naona mimi jaman daahShehe aache uongo. mfalme wa 6 wa Morocco alitembelea Tanzania october mwaka 2016, je mwaka huo rais alikuwa Kikwete?
Ukweli ni kwamba ujenzi wa msikiti uliombwa kwa mfalme huyo baada ya kufika Tanzania.
Hata kama huyo mzee hampendi magufuli. teknolojia haidanganyi.. tazameni video wenyewe mumuone mfalme mwenyewe wa morocco anavyokubali kwa JPM
View attachment 2945127
Anataka legacy na yeyeJK and his cartel sijui wanatafuta umaarufu wa kisiasa wa Nini wakati Hana mpago wa kugombea?
Magufuli alikuwa mwongo na alivitishia vyombo vya habari visibishane na matamko yake. Hivyo ndivyo MADIKTETA walivyo.JPM alifanikisha ujenzi wa huo msikiti, tusidanganyane.
Ila wewe kumbe ni Taila ujasikia hapo wanatafsiriJPM alikuwa anaongea kiswahili, Mfalme wa Morroco hakuelewa anachosema, angeelewa angemuumbua pale pale jukwaani
Siku wakifanya hivyo TANESCO watadai chuo chao kurudi chini yao.Ipo siku mtamruka hadi Mkapa kwenye majengo ya MMU sijui MUM!
Kwa sababu JPM hakuwa dini yao, kwa hiyo lolote alilowafanyia watasema siyo yeye aliyelifanya bali kulikuwa na mwana dini mwingine.Wenye dini yao unawabishia?
Wanakula pesa haoUkitaja mabilionea 10 wa Ukweli nchini Tanzania unaweza kukuta wote ni Waislam
...
Hao mashehe si alikuwa nao hapo.Sio unafiki. Ni ukweli . Unafiki pale hapo mwanzo wangalikua BAKWATA wamesema hadharani kama kajenga magufuli lakini wao walikaa kimya..hivi sasa taifa linapewa taarifa
Umemsahau Gaidi Mr DjShujaa ni Hanspope, Hamza na Lissu. Tu.