Acha kukashifu imani za wenzio UMBWA WEWEKwa hiyo Mungu wao hawa wote wa leo na kesho anaitwa "MWEZI" siyo?
Duuuh, hii Kali. Ngoja sisi tupumzike kwa sikukuu za wanaoongozwa na MUNGU MWEZI...!
Na kwa upande mwingine, aliyeumba MWEZI akiamua kuuzuia usijitokeze mpaka mwakani maana yake hakuna sikukuu na malumbano ya wanaosubiri MWEZI yatawaka moto mkubwa zaidi...
Ukikaa na bakwata mkajadili wenzenu wakitoka wanaenda ccm kujadili upyaNatamani mada kama hizi zisingejadilwa humu,
Enyi wasomi wa kiislamu itaneni mujadili ili mupate msimamo mmoja kama nchi (japo ni ngumu lakini inawezekana na itapendeza) muondoshe aibu hizi.
Fikirieni jambo hili kujadiliwa na wasiokuwa waislamu na nyie kila mmoja anavutia kwake mwishowe wanaishia kukebehi dini yetu.
Whats a mess!!!
Kama mimi ni mbwa, wewe nani?Acha kukashifu imani za wenzio UMBWA WEWE
Hawajaamua lakini wanaweza na ni rahisi sanaNimesema wawe na ushirikiano, ushirikiano sio kuwa na group la whatsapp shekhe! Ushirikiano ninaomaanisha wawe wanapashana habari. Ni zaidi ya group la whatsap, jwani hata wanaweza kuanzisha forums, vikao mbali mbali pia kujadili mambo yanayowahusu waislam.
Umeelewaje?Aluyekwambia hawaswali nani tuanzie hapo kwanza
Yemen na Saudia ni majirani wa mfano huo uliyoutoa lakini mwezi ukiandama Yemen Saudia haufuati.
Unasemaje katika hili?
Suala la mwezi muandamo ni ngumu kulitatua kwa kutumia hoja ambazo zipo nje ya mwezi muandamo.Ajabu huyu huyu anayesema mwezi ni 1 popote ufuatwe, mwezi huu huu 1 ukipatwa hata huko wanapofuata kwenye vipindi vya radhamani na Eidi hawaufuati; Kwa maana hawaswali swala ya kupatwa kwa mwezi.
Mkuu mbona hili jambo wengi tunafuata kalenda iliyotangulia ndo tunafunga masiku meupe ?Lakini mbona funga ya beidh hamfuati mwezi huo wa kimataifa mnaousema? Kwa hili nalo pia wanajua wenyewe!
Tatizo la wakristo wanajua msomi wa dini ya kiislamu hana uelewa wa mambo ya kidunia,wakati watu wanasoma fani mbalimbali kama...mantik(logic) na fani zingine humo humo katika elimu ya dini ya kiislamu...mnatakiwa msiwadharau masheikh kuna waliohitimu katika vyuo vikuu vikongwe kama azhar shariff wanafundisha dini na fani zingine...kuna masheikh na pia ni mainjinia,madaktari,n.k.Watakuwa wamemkera tu, ila Mataka ni msomi mzuri sana wa elimu dunia
Hebu tutajie Sheikh wa hapa nchini ambaye ni Mhandisi, Mwanasheria au Daktari hata wa kusomea (PHd holder).Tatizo la wakristo wanajua msomi wa dini ya kiislamu hana uelewa wa mambo ya kidunia,wakati watu wanasoma fani mbalimbali kama...mantik(logic) na fani zingine humo humo katika elimu ya dini ya kiislamu...mnatakiwa msiwadharau masheikh kuna waliohitimu katika vyuo vikuu vikongwe kama azhar shariff wanafundisha dini na fani zingine...kuna masheikh na pia ni mainjinia,madaktari,n.k.
Sheikh Mattaka anasema mwandamo wa mwezi Duniani kote hutangazwa na mamlaka husika na hapa Tanzania mamlaka hiyo ni BAKWATA.
Mattaka anasema Mufti hutangaza mfungo au mfunguo baada ya mwezi kuonekana na kamati ya muandamo wa mwezi kujiridhisha.
Sheikh Mattaka, anasema BAKWATA hufuatilia pia muandamo wa mwezi kwa nchi za Zanzibar na Kenya, lakini huko pia mamlaka husika zimesema mwezi haujaandama.
Hata hivyo Sheikh anasema Waislamu watakaoswali Eid kesho ndio wengi na hapa Dar es Salaam waumini watajaa misikiti zaidi ya 300 tofauti na hawa wanaoswalia viwanjani leo ambao hutumia viwanja viwili vitatu tu.
Chanzo: Channel Ten
Unakumbuka Miiraj ilikuwa ni siku gani? Kama hufahamu katafute Miiraj ilikuwa siku gani then uje na jibu hapa Eid ni lini. Elimu ya dini ni pana zaidi ya unavyofikiria. Na mwaka wa Hijiriyya kila mwaka unapungua kwa siku 11 dhidi ya Miladiyya. Chukua hiyo.Uislamu unabaki kwa elimu kwa maana Dini ni elimu na hiyo (hii) elimu ndiyo dini.
Hivyo basi Uislam ukamtaka mtu kutokuingia kwenye masuala bila ya elimu nayo na kutoka kwenye masuala bila kuwa na elimu nayo! Tukatanguliziwa nukuu kuwa elimu kabla ya kunena na kutenda.
Umeandika mengi kuhusu kadhia ya mwezi. Narudi kwenye madhumuni yangu; Umesoma dini?
Science imekuwa watu wanaona tusiyoyaona leo, wanasema kabisa chance ya kuonekana mwezi tarehe hii ndogo ila saa na dakika hii utatoka na kupotea kwa seconds elimu imekuwa lakini kuna watu wanataka tuishi kama miaka 600 nyuma.NAWAKUBALI SANA NDUGU ZETU WAISLAM WANAOHESABU SIKU BADALA YA KUSUBIRI KUONA MWEZI KWA MACHO YAO.
NIONAVYO BAKWATA NI CHOMBO au WING mojawapo ya Serikali, haipo kwa ajili ya maslahi waislamu.
nimeona mwezi mkubwa jamaniTusubiri mwezi jioni uandame tuone je niwa leo leo au una mwenekano umetoka tangu jana
Suala la mwezi mkubwa sio ishu na halina shida kabisa.nimeona mwezi mkubwa jamani
Nakubaliana na wewe kuna baadhi ya family yangu pia hawakula jana lakini nikajibu kwa uzuri sababu nilihisi kama wanataka kuchokosa hisia zangu lakini busara ikaja hivi nikawajibu hakuna shida ukila Ijumaa hata ukitaka Jumamosi shauri yenu wala sio issue wakakaa kimya ni kama walitaka kuona nitajibu nini msg yao lakini nikawa soft tu baada ya msg yangu wakaa kimya tu. Ila nimetoa ushuhuda wangu mwezi jana nimuona mkubwa sana kwa haki kabisa.Suala la mwezi mkubwa sio ishu na halina shida kabisa.
Mimi nimekula jana na kuna watu walinilalamikia kuwa ule mwezi wa jana sio wa leo na wao wanafungua kesho,sikutumia upenyo huo kuwavuta kwenye msimamo wangu wa mwezi popote,badala yake nikawaambia tu kuwa ule mwezi hapa tulipo sio wa jana kwa sababu hyo jana haukuonekana.
Almuhimu haya mas'ala sio ya kuvutana,tukiendelea kuvutana jambo litakuwa kubwa.
Lakini tukichukuliana uzuri na kupeana nyudhuru jambo hhili litaisha lenyewe tu.
Ha ha ha dahNasikia mufti jana kapaisha penati.
Hivi lile jukwaa la dini lilienda wapi?Sheikh Mattaka anasema mwandamo wa mwezi Duniani kote hutangazwa na mamlaka husika na hapa Tanzania mamlaka hiyo ni BAKWATA.
Mattaka anasema Mufti hutangaza mfungo au mfunguo baada ya mwezi kuonekana na kamati ya muandamo wa mwezi kujiridhisha.
Sheikh Mattaka, anasema BAKWATA hufuatilia pia muandamo wa mwezi kwa nchi za Zanzibar na Kenya, lakini huko pia mamlaka husika zimesema mwezi haujaandama.
Hata hivyo Sheikh anasema Waislamu watakaoswali Eid kesho ndio wengi na hapa Dar es Salaam waumini watajaa misikiti zaidi ya 300 tofauti na hawa wanaoswalia viwanjani leo ambao hutumia viwanja viwili vitatu tu.
Chanzo: Channel Ten