Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Watakuwa wamemkera tu, ila Mataka ni msomi mzuri sana wa elimu duniaHoja ya kijinga sana. Hapa ndo ulipo umuhinu wa elimu hawa wava vipedo na elimu zao sa darasa la 7 wana shida sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wamemkera tu, ila Mataka ni msomi mzuri sana wa elimu duniaHoja ya kijinga sana. Hapa ndo ulipo umuhinu wa elimu hawa wava vipedo na elimu zao sa darasa la 7 wana shida sana.
Mkuu achana hizi mambo za kuinanga dini ya mwenzio. Kama unaona yako imekamilika basi fuatana nayo, na kuna nyuzi kadhaa humu waislam wenzio waliwaonya wenzao kua mtume aliwaasa kuwaelekeza kwa upole wale wanaoisema vibaya dini ya kiislam.
Ni wachache wanaofanya hivyo wengi wanapayuka kama wewe hivi, kuna jamaa hapo juu licha ya kusemwa vibaya lakini kamjibu mdau kwa staha mno kiasi kwamba ukireply upuuzi utaonekana mpuuzi wa dunia.
Ila wewe kwa majibu yako haya sio mda mtaanza kutukanana matusi ya nguoni.
'Lakum Diynu, Kum-waliadiyni'.Hoja ya kijinga sana. Hapa ndo ulipo umuhinu wa elimu hawa wava vipedo na elimu zao sa darasa la 7 wana shida sana.
Hoja ni mapumziko yawe siku gani.Hoja ni uchache wao au ni mwezi kuandama?
Amna hujanikwaza mkuu ila tu mi nilikua nashauri mtu akikujia kwa matusi we mjibu vizuri tu harudii.Sawa,Ila yule alikuja kwa kejeli,na matusi nilichofanya Mimi ni kumuonesha tuh kuwa hata wenzake analolifanya yeye wanaweza pia,sorry kwa kukukwaza
Mapumziko yanatangazwa na serikali siyo dini!Hoja ni mapumziko yawe siku gani.
Hao hao mkuu uliowatajaWe upo kundi la wale wenye biblia vitabu 73 wanaodai kanisa la kwanza au vitabu 66?
Tusubiri mwezi jioni uandame tuone je niwa leo leo au una mwenekano umetoka tangu janaSheikh Mattaka anasema mwandamo wa mwezi Duniani kote hutangazwa na mamlaka husika na hapa Tanzania mamlaka hiyo ni BAKWATA.
Mattaka anasema Mufti hutangaza mfungo au mfunguo baada ya mwezi kuonekana na kamati ya muandamo wa mwezi kujiridhisha.
Sheikh Mattaka, anasema BAKWATA hufuatilia pia muandamo wa mwezi kwa nchi za Zanzibar na Kenya, lakini huko pia mamlaka husika zimesema mwezi haujaandama.
Hata hivyo Sheikh anasema Waislamu watakaoswali Eid kesho ndio wengi na hapa Dar es Salaam waumini watajaa misikiti zaidi ya 300 tofauti na hawa wanaoswalia viwanjani leo ambao hutumia viwanja viwili vitatu tu.
Chanzo: Channel Ten
Huu mwezi ni wa jana kwa sababu hata mfungo ulipoanza mwezi ulikuwa mkubwa tu ndio maana wengi walijua mfungo utakuwa siku 29!Tusubiri mwezi jioni uandame tuone je niwa leo leo au una mwenekano umetoka tangu jana
Duu ndio maana wengine leo mikoani huko wamemaliza leoHuu mwezi ni wa jana kwa sababu hata mfungo ulipoanza mwezi ulikuwa mkubwa tu ndio maana wengi walijua mfungo utakuwa siku 29!
Hoja iko hapo kwasababu serikali inamsikiliza BAKWATA no matter what[emoji3]Mapumziko yanatangazwa na serikali siyo dini!
Bakwata imeundwa na serikali!Hoja iko hapo kwasababu serikali inamsikiliza BAKWATA no matter what[emoji3]
Sasa sheikh hapo si ndipo kwenye kile nilichoandika but umepinga na kukubali mh!!.Haina haja hata ya kuunda group la Whatsapp bali BAKWATA wanatakiwa watafute na sio kukaa kutumikishwa na wanasiasa kwenye mambo ya kisiasa na kusahau wapo kwa ajili ya kina nani na kwa kitu gani, nchi za Afrika Mashariki zipo eneo moja, hivyo kama Maraisi, vyombo vya ulinzi na usalama vina umoja, wao wanashindwa nini kuwa na umoja pia wa mambo ya kidini? Ndio maana migongano inakuja mwezi ukionekana Burundi, Tanzania hatufuati wakati ni kweli mwezi umeonekana wakati ni siku sahihi lakini usikute kwa siku hiyo labda kwa upande wa Tanzania kuwa mawingu mazito yaliyopelekea mwezi usionekane. Kwahili BAKWATA wajitathmini!
Kenya je? au haiko Afrika mashariki!Hoja sio uchache wa watakaoswali Eid, swali la msingi ni je mwezi uliandama jana leo ni Eid mosi au mwezi utaandama leo kesho Eid mosi?
Wanachokifanya BAKWATA wakati mwengine ni kuwalisha watu kwenye mchana wa Ramadhan, wameshindwa kwenda na nyakati tulizopo sahv.
Congo mwezi wa kuanza mfungo uliandama tar 12, tar 13 mfungo ukaanza na jana mwezi umeandama leo ni Eid mosi. Na Afrika Mashariki ni moja kijiografia.
Yaani BAKWATA wameshindwa kuwa na connection ya pamoja na mamufti wote wa Afrika Mashariki?
Nimesema wawe na ushirikiano, ushirikiano sio kuwa na group la whatsapp shekhe! Ushirikiano ninaomaanisha wawe wanapashana habari. Ni zaidi ya group la whatsap, jwani hata wanaweza kuanzisha forums, vikao mbali mbali pia kujadili mambo yanayowahusu waislam.Sasa sheikh hapo si ndipo kwenye kile nilichoandika but umepinga na kukubali mh!!.
Kenya ipo Afrika Mashariki, lakini nimeandika kwa kutolea mfano tu, sikutaja nchi zote za Afrika Mashariki.Kenya je? au haiko Afrika mashariki!
Kwan ukristo dini?Najivunia kuwa mkristo
Mattaka amesema wanalo group la masheikh wa Afrika ndio maana Mali, Niger na Ivory coast wameswali eid jumatano, Uganda, Rwanda nk wanaswali leo na Tanzania, Kenya na Zanzibar wataswali kesho!Nimesema wawe na ushirikiano, ushirikiano sio kuwa na group la whatsapp shekhe! Ushirikiano ninaomaanisha wawe wanapashana habari. Ni zaidi ya group la whatsap, jwani hata wanaweza kuanzisha forums, vikao mbali mbali pia kujadili mambo yanayowahusu waislam.
Wewe umesoma dini?Hoja sio uchache wa watakaoswali Eid, swali la msingi ni je mwezi uliandama jana leo ni Eid mosi au mwezi utaandama leo kesho Eid mosi?
Wanachokifanya BAKWATA wakati mwengine ni kuwalisha watu kwenye mchana wa Ramadhan, wameshindwa kwenda na nyakati tulizopo sahv.
Congo mwezi wa kuanza mfungo uliandama tar 12, tar 13 mfungo ukaanza na jana mwezi umeandama leo ni Eid mosi. Na Afrika Mashariki ni moja kijiografia.
Yaani BAKWATA wameshindwa kuwa na connection ya pamoja na mamufti wote wa Afrika Mashariki?