Sheikh Mkubwa Pakistani awachana live Wapalestina asema Israel na Jerusalem ni kwa Wayahudi pekee according to Koran

Sheikh Mkubwa Pakistani awachana live Wapalestina asema Israel na Jerusalem ni kwa Wayahudi pekee according to Koran

Kuna shekhe mmoja nimemsikia akisema hata yesu alikataza dhulma.
Sasa kimoyomoyo nikajiuliza kumbe np wanamtambua yesu
 
Asome hili Agizo la Allah
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
 

Kiongozi mkubwa kabisa Nchini Pakistani Maulana Muhammad Khan Sherani asema kuwa uislamu unatufundisha kuwa Israel ni nchi ya Wayahudi pekee. Je, ndio mpango mpya wa mahusiano ya kibalozi kati ya Israel na Pakistani yanapoelekea na kipigiwa chapuo? Kiongozi mkubwa wa kidini ni ashapitisha maamuzi ya kulitambua taifa la Israel.​

Kiongozi mkubwa wa kidini nchini Pakistani ambaye zamani alikuwa mtungasheria nchini humo ameomba kutambuliwa kwa Taifa la Israel, na pia ameomba Waislamu duniani kote kulikubali taifa la Kiyahudi.

Maulana Muhammad Khan Sherani, ambae alishawahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la kiitikadi la Kiislamu - Bodi ya Washauri wanaoishauri Serikali na Bunge katika Sheria za Kiislam nchini Pakistani - na pia Mjumbe na Mtunga Sheria katika Baraza la Taifa kwa chama cha la Jamiat Ulema-e-Islam hadi mnamo 2018, Alitamka hayo wikiendi iliyoisha kuhusina na mafundisho ya dini ya kiislamu, Katika historia ardhi ya Israel ni kwa ajili ya Wayahudi''.

Kutokana na taarifa kutoka kwa muandishi vitabu Muingereza mwenye asili ya Pakistani Bwana Noor Dahri, siku ya Jumamosi, Sherani ameshapitisha mwanzo mpya wa kulitambua Taifa la Israel, na amewataka Waislam wote hadi wa Tanzania kukubali na kutambua haki za Wayahudi katika maeno yao.

Hii ni jambo la Kimataifa, Mimi nakubaliana katika kulitambua Taifa la Israel, Sherani alisema kutokana na hiyo taarifa ya Muandishi Vitabu.
''Msomi wa Kiislamu anahitaji kuelewa kuwa katika Kitabu cha Koran na historia inatuthibitishia kuwa ardhi ya Israel ni kwa ajili ya Wayahudi pekee. Mfalme Daudi alijenga Hekalu la Mungu katika mji wa Jerusalem kwa waisrael na sio Wapalestina''.

Dahri aliwekamo video kwenye ukurasa wake wa Tweeter aliyoyazungumza Sheikh huyo Sherani, katika lugha ya Pashto.
Shirika la Habari Urdu News lilithibitisha Taarifa ya Dahri, na kurusha hewani mahojiano ya Sherani.

Katika hayo mahojiano, Sheikh Sherani alionesha kuyashinda manong'ono ya Waarabu wa Palestina kuhusiana na historia ya Ardhi ya Waisrael na kusema. '' Kunatakiwa kuwepo kwa Taifa la Israel upande wa Magharibi na Upande Taifa la Palestina upande wa Mashariki. Sherani hakuelezea zaidi kama upande wa Mashariki Magharibi uliopakana na Mto Jordan, ambao unatenganisha Israel kutoka Maeneo wanayoishi wapelestina wengi katika Ufalme wa Nchi ya Jordan, au Maeneo yaliyotengwa katika Mkataba wa mwaka 1967 wa Mstari wa Kijani. Kama hizi Nchi Mbili zikikaa na zikiishi pamoja, hapo sasa yanini mtu mwingine aje na masharti yake,'' Sheikh Sherani aliongezea.

==========

Top Pakistani cleric: Islam teaches us that Israel belongs only to the Jews​

Is a new peace deal between Israel and Pakistan in the offing? Senior Islamic cleric endorses recognition of Israel.​


Maulana Muhammad Khan Sherani

Maulana Muhammad Khan Sherani
REUTERS

A senior Pakistani Islamic cleric and former lawmaker has called for the recognition of the State of Israel, and urged Muslims around the world to accept the Jewish state.

Maulana Muhammad Khan Sherani, who served as Chairman of Pakistan’s Council of Islamic Ideology – a body which advises the government and parliament on Islamic law – and as a lawmaker in the National Assembly for the Jamiat Ulema-e-Islam party until 2018, announced over the weekend that according to Islamic theology, the historic Land of Israel “belongs only to the Jews”.
According to a report by British-Pakistani writer Noor Dahri, on Saturday, Sherani endorsed formal recognition of the State of Israel, and said Muslims are obliged to acknowledge Jewish rights to the area.

"This is an international issue, I support recognition of Israel," Sherani said according to the report. "Educated Muslims need to understand that the Quran and history prove to us that the Land of Israel belongs only to the Jews. King David built the house of God in Jerusalem for the Israelis and not for the Palestinians."

Dahri tweeted a clip from Sherani’s statement, given in the Pashto language. Urdu News confirmed Dahri’s report, releasing an exclusive interview with Sherani. In the interview, however, Sherani seemed to qualify his criticism of Palestinian Arab claims on the historic Land of Israel, saying: "there should be an Israeli state in the western part and a Palestinian state in the eastern part." Sherani did not clarify whether the east-west boundary would run along the Jordan River, which separates Israel from the Palestinian-majority Kingdom of Jordan, or along the pre-1967 Green Line. "If the two sides are sitting together, then why should anyone else have conditions,” Sherani added.
Sheikh yupo sahihi kitabu hakijasema juu ya wapelestina
 
Niichokisoma hapo ni kauli kuwa:

"There should ne an israel state in the western part and a palestinian state in the eastern part"

Mleta ada hiyo two state solution unajifanya hujaiona?
Two state solution ya nini kwanini mnalazimisha kuunda taifa la wapalestine kwenye ardhi ya wayahudi
 
Haaa haaa wanamtambua kimoyo moyo
Na je, nani anayetarajiwa kurejea duniani siku kabla ya kusimama Kiyama na kurejesha haki duniani, kwa mujibu wa dini ya Kiislamu?

Ni Yesu, huo ukiwa ujio wake wa pili, na kutukuzwa kwake katika vitabu vya Kiislamu sio tu katika Koran.

Mwanafalsafa wa Kisufi Al-Ghazali anamweleza kama "nabii wa nyoyo".
 

Kiongozi mkubwa kabisa Nchini Pakistani Maulana Muhammad Khan Sherani asema kuwa uislamu unatufundisha kuwa Israel ni nchi ya Wayahudi pekee. Je, ndio mpango mpya wa mahusiano ya kibalozi kati ya Israel na Pakistani yanapoelekea na kipigiwa chapuo? Kiongozi mkubwa wa kidini ni ashapitisha maamuzi ya kulitambua taifa la Israel.​

Kiongozi mkubwa wa kidini nchini Pakistani ambaye zamani alikuwa mtungasheria nchini humo ameomba kutambuliwa kwa Taifa la Israel, na pia ameomba Waislamu duniani kote kulikubali taifa la Kiyahudi.

Maulana Muhammad Khan Sherani, ambae alishawahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la kiitikadi la Kiislamu - Bodi ya Washauri wanaoishauri Serikali na Bunge katika Sheria za Kiislam nchini Pakistani - na pia Mjumbe na Mtunga Sheria katika Baraza la Taifa kwa chama cha la Jamiat Ulema-e-Islam hadi mnamo 2018, Alitamka hayo wikiendi iliyoisha kuhusina na mafundisho ya dini ya kiislamu, Katika historia ardhi ya Israel ni kwa ajili ya Wayahudi''.

Kutokana na taarifa kutoka kwa muandishi vitabu Muingereza mwenye asili ya Pakistani Bwana Noor Dahri, siku ya Jumamosi, Sherani ameshapitisha mwanzo mpya wa kulitambua Taifa la Israel, na amewataka Waislam wote hadi wa Tanzania kukubali na kutambua haki za Wayahudi katika maeno yao.

Hii ni jambo la Kimataifa, Mimi nakubaliana katika kulitambua Taifa la Israel, Sherani alisema kutokana na hiyo taarifa ya Muandishi Vitabu.
''Msomi wa Kiislamu anahitaji kuelewa kuwa katika Kitabu cha Koran na historia inatuthibitishia kuwa ardhi ya Israel ni kwa ajili ya Wayahudi pekee. Mfalme Daudi alijenga Hekalu la Mungu katika mji wa Jerusalem kwa waisrael na sio Wapalestina''.

Dahri aliwekamo video kwenye ukurasa wake wa Tweeter aliyoyazungumza Sheikh huyo Sherani, katika lugha ya Pashto.
Shirika la Habari Urdu News lilithibitisha Taarifa ya Dahri, na kurusha hewani mahojiano ya Sherani.

Katika hayo mahojiano, Sheikh Sherani alionesha kuyashinda manong'ono ya Waarabu wa Palestina kuhusiana na historia ya Ardhi ya Waisrael na kusema. '' Kunatakiwa kuwepo kwa Taifa la Israel upande wa Magharibi na Upande Taifa la Palestina upande wa Mashariki. Sherani hakuelezea zaidi kama upande wa Mashariki Magharibi uliopakana na Mto Jordan, ambao unatenganisha Israel kutoka Maeneo wanayoishi wapelestina wengi katika Ufalme wa Nchi ya Jordan, au Maeneo yaliyotengwa katika Mkataba wa mwaka 1967 wa Mstari wa Kijani. Kama hizi Nchi Mbili zikikaa na zikiishi pamoja, hapo sasa yanini mtu mwingine aje na masharti yake,'' Sheikh Sherani aliongezea.

==========

Top Pakistani cleric: Islam teaches us that Israel belongs only to the Jews​

Is a new peace deal between Israel and Pakistan in the offing? Senior Islamic cleric endorses recognition of Israel.​


Maulana Muhammad Khan Sherani

Maulana Muhammad Khan Sherani
REUTERS

A senior Pakistani Islamic cleric and former lawmaker has called for the recognition of the State of Israel, and urged Muslims around the world to accept the Jewish state.

Maulana Muhammad Khan Sherani, who served as Chairman of Pakistan’s Council of Islamic Ideology – a body which advises the government and parliament on Islamic law – and as a lawmaker in the National Assembly for the Jamiat Ulema-e-Islam party until 2018, announced over the weekend that according to Islamic theology, the historic Land of Israel “belongs only to the Jews”.
According to a report by British-Pakistani writer Noor Dahri, on Saturday, Sherani endorsed formal recognition of the State of Israel, and said Muslims are obliged to acknowledge Jewish rights to the area.

"This is an international issue, I support recognition of Israel," Sherani said according to the report. "Educated Muslims need to understand that the Quran and history prove to us that the Land of Israel belongs only to the Jews. King David built the house of God in Jerusalem for the Israelis and not for the Palestinians."

Dahri tweeted a clip from Sherani’s statement, given in the Pashto language. Urdu News confirmed Dahri’s report, releasing an exclusive interview with Sherani. In the interview, however, Sherani seemed to qualify his criticism of Palestinian Arab claims on the historic Land of Israel, saying: "there should be an Israeli state in the western part and a Palestinian state in the eastern part." Sherani did not clarify whether the east-west boundary would run along the Jordan River, which separates Israel from the Palestinian-majority Kingdom of Jordan, or along the pre-1967 Green Line. "If the two sides are sitting together, then why should anyone else have conditions,” Sherani added.
Sheikh ubwabwa. Ili aonekane ana akili timamu, angeweka hicho kipande alichonukuu kutoka kwenye Quran
 
WAYAHUDI SI WAKRISTO NA SI WAISLAM so sioni sababu ya kuwahangaikia wapumbavu kama hao.
Kuna faida kubwa sana ndiyo maana hizi dini zinawangaikia wayahudi. Wewe itakuwa hujui lakini wenyewe wanajua.
 
Back
Top Bottom