Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Sheikh Mohamed Said heko wewe ni gwiji la historia Sasa mambo yanajitokeza hadharani!

Status
Not open for further replies.
Mkuu Tayeb, nakuamkua nduu langu,

Assalaamu alaykum warahmatullaah wabarakaatuh,
Nalikuwa nkipita nkaona maneno yako yalo nona bashasha,

Kweli alozoeya Punda katu hapandi Farasi.

Hawakudhani kama itawadhihirikia moya siku katika bayana alozieka alhabeeb gwiji la Historia Mohamed Said.

Watu wana vifaa vya kutosha na hakika ziso nakiswa, hawajifaha vipi watamfahamu...!?

Ntarejea.

Waleyku Msalaam Alhabib Wabara,

Wallahi maneno yako yanawachoma sana hawa waabudu masanamu/picha ya yule Mzungu mcheza sinema.

Maneno mengi yashasemwa na Mzee wetu, na ndio hayo hayo hii leo yanarejewa na huyo Tundu Lisu kutoka kwenye Vitabu vingi mno aloandika Mohamed Said
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh Mohamed Said anaendelea/ataendelea kupasua anga na nyie wapakwa mafuta/wakata "mabuno" mtajikuta mnaachwa nyuma kwakuendelea kumfanyia ushushu. Wa mbili haivai moja wewe!
mjipe matumaini..mnakuja mpa promo hapa ..mtu asiyeuzika..propaganda zote bado hakuan kitu...kima wewe SHABAANI ROBERT tuu ndio mwandish bongo
 
Last edited by a moderator:
mjipe matumaini..mnakuja mpa promo hapa ..mtu asiyeuzika..propaganda zote bado hakuan kitu...kima wewe SHABAANI ROBERT tuu ndio mwandish bongo
Ngoja tuvunje huu muungano tuwape nchi yao Zanzibar kisha tudili na nyie bwe'ge wewe.

Kila siku mnadandia magari ya magazeti mnakuja Dar mnakimbia kulala na mbuzi na nguruwe kwenu huko.

Wezi wakubwa nyie majambazi.
 
Ngoja tuvunje huu muungano tuwape nchi yao Zanzibar kisha tudili na nyie bwe'ge wewe.

Kila siku mnadandia magari ya magazeti mnakuja Dar mnakimbia kulala na mbuzi na nguruwe kwenu huko.

Wezi wakubwa nyie majambazi.

Teh teh teh Ritz huyu kenge Nicholas asikusumbue ameamka na hang over ya gongo.... mimi huwa nacheka sana eti hawa ndio wanaotegemewa kuingia magogoni 2015 duh! lakini nisipingane na mawazo yao labda wanamaanisha magogoni ya Tengeru!
 
Teh teh teh Ritz huyu kenge Nicholas asikusumbue ameamka na hang over ya gongo.... mimi huwa nacheka sana eti hawa ndio wanaotegemewa kuingia magogoni 2015 duh! lakini nisipingane na mawazo yao labda wanamaanisha magogoni ya Tengeru!
Teh teh teh Boko haram, huyu kauzu wala anisumbui.
 
Ngoja tuvunje huu muungano tuwape nchi yao Zanzibar kisha tudili na nyie bwe'ge wewe.

Kila siku mnadandia magari ya magazeti mnakuja Dar mnakimbia kulala na mbuzi na nguruwe kwenu huko.

Wezi wakubwa nyie majambazi.

Wanajeuri hata ya kupambana ili kupata haki za hao mbwiga...!?
 
Kumbe humjui Ritz teh teh teh teh, karibu sana.

Sijui kama unajua wakazi wote wa ukanda wa Pwani ni ndugu toka Nyerere ajazaliwa.

Yaani wewe utoke kibosho na Chadema yenu uje kuwa mkombozi wa watu ukanda wa Pwani, kwanza Lissu aliishasema Chadema hawaiitaji na Zanzibar siyo nchi ni kama jimbo tu.


Khe Khe Khe Khe

Umeongeza tena maneno?

Huna lolote weye Rafiki Yangu!
 
Last edited by a moderator:
Nyie mnayo?

Weye Makundu chi, mbona leo zimekukalia matoni weye au umepawa kiasi gani...!?

Kasome basi hata kidogo maana nafahamu ilivyo jivivu katika kipengele hiko cha kusoma. Ndo umekaa kudandia dandia mambo,

Weye utakuwa ulifika hapo kimara kwa yale malori yalotoka kupeleka Msiba kule Marangu.
 
mjipe matumaini..mnakuja mpa promo hapa ..mtu asiyeuzika..propaganda zote bado hakuan kitu...kima wewe SHABAANI ROBERT tuu ndio mwandish bongo

Ficha upumbavu wako we msukule wa ufipa!

Ukiongea na wanaume wenzio husibane pua. Au ndo mlivyofundishwa na wachungaji muwe mnabana pua mkiwa mnapakwa mafuta?

Teh teh teh

Vitabu vya Mohamed Said vijaa tele, na mwenzio Tundu Lisu kafanya marejeo kwa sababu anamkubali Mwandishi huyu Nguli wa Historia Mohamed Said.
 
Last edited by a moderator:
Khe Khe Khe Khe

Umeongeza tena maneno?

Huna lolote weye Rafiki Yangu!
Nakushauri tafuta hivi vitabu vitakusaidia kufungua ubongo wako.

The Making of Tanganyika, The Critical Phase in Tanzania, A Morden History of Tanganyika, The Life and Times of Abdulwahid Sykes.

Kisha njoo tufanya mjadala mimi na wewe tuone nani atakuwa na lolote.
 
Mtoto wa zinaa utamjua tu!
hata akiwaasa wenzake lzm atoe matusi ya nguoni!

We kijana mvaa shanga!
Tunafahamu kuwa babako humjui!
Je! Mama pia huna?
Au nyie ndio ile mitoto iliokuwa kwa bahati nasibu.

Mitoto.najisi km nyie pamoja na hao kina nguruwe3 na mpenziwe hamna mlijualo.ispokuwa kumkashifu mzee Ms bila hoja!

Nendeni.mkatafute baba zenu kwanza kabla ya kuingia humu jukwaani!
Huenda.hizo lugha za nyumbani kwenu mkaacha kuzitumia humu!

Watoto nuksi sana nyie!

Typical student wa Nabii wenu wa Kimanyema.
Hunifahamu, unajikalia nyuma ya keyboard na kuanza kuandika ushuzi huu juu yangu- baadaye utadai umefanya utafiti. Na ndiyo hivyo mwalimu wenu Moh anavyofanya, kutunga uongo na kuuita utafiti.
Na kama ni matusi, hakuna shida, fungulia matusi yako yote unayofahamu, tukana sana ili upate consolation kwamba "umeshinda" kwa hoja. After all, wote mnaotukana, you have something in common-ni wafuasi wa Nabii Mwamedi wa Kimanyema, bila shaka ndiyo anayowafundisha!
 
Typical student wa Nabii wenu wa Kimanyema.
Hunifahamu, unajikalia nyuma ya keyboard na kuanza kuandika ushuzi huu juu yangu- baadaye utadai umefanya utafiti. Na ndiyo hivyo mwalimu wenu Moh anavyofanya, kutunga uongo na kuuita utafiti.
Na kama ni matusi, hakuna shida, fungulia matusi yako yote unayofahamu, tukana sana ili upate consolation kwamba "umeshinda" kwa hoja. After all, wote mnaotukana, you have something in common-ni wafuasi wa Nabii Mwamedi wa Kimanyema, bila shaka ndiyo anayowafundisha!
Sasa wewe unalalamika kutukanwa wakati na wewe unaporomosha matusi unategemea nini hata wewe upo nyuma ya keyboard kuandika matusi.
 
Karibu tuh mtwara

Wataka ming'oko chikandanga au machoba chaguo ni lakoo

Wanishangaza sana kuseka mseme nyie na kina lisu ila tukisema sie na moh said wetu lawamaa

Sasa sijui double standards hiz sijui zatokea wapi sasa

Huyo dr harith ghasamy wanaemkopi huko bungeni ni counter part wa moh said

Hata km hamtaki kumkubali sawa tuh nabii hakubaliki kwaoo....

Ushahid gani unaotaka kutoka kwa moh said ili hali anakuwekea literature reviews za kila namna??

Km unaweza panda ndege naww uende usa au ibadan ukadurusu.... wewe ni wa humu humu while moh said ni national n international icon..


Alhabib kuna msemo huku kariakoo kwetu tunasema Kunya anye kuku akinya bata................
 
Alhabib kuna msemo huku kariakoo kwetu tunasema Kunya anye kuku akinya bata................

ukweli utadhihiri tu hatakama makafiri na manaswara watachukia. huu ni mwanzo tu bado meengi yanakuja kudhihiri .
walokuwa wakiyapingai watajikuta wanayathibitisha kwa vinywa vyao wenyewe.
 
Typical student wa Nabii wenu wa Kimanyema.
Hunifahamu, unajikalia nyuma ya keyboard na kuanza kuandika ushuzi huu juu yangu- baadaye utadai umefanya utafiti. Na ndiyo hivyo mwalimu wenu Moh anavyofanya, kutunga uongo na kuuita utafiti.
Na kama ni matusi, hakuna shida, fungulia matusi yako yote unayofahamu, tukana sana ili upate consolation kwamba "umeshinda" kwa hoja. After all, wote mnaotukana, you have something in common-ni wafuasi wa Nabii Mwamedi wa Kimanyema, bila shaka ndiyo anayowafundisha!

Always nyani haoni kundule!
Ni nyie mabinti wa kizigua ndio mnao anza matusi!
Halafu mkijibiwa mnaongelea puani na kuanza kulia lia!

Wewe na huyo nguruwe 3 wako pamoja na yule msukule wa kihehe ndio wenye midomo km waimba taarabu.
Nimekuulizeni swali lkn hakuna mgalatia mmoja kati yenu aliyejibu!
Nakuuliza tena wewe mkuda!
Kati yenu na Huyo mnae muita muongo Nani kaenda shule kwa ushahidi??

Nyie nani awajuae zaidi ya humu jf!
Mna nini cha maana mmeifanyia jamii yetu!?
Saana ni kupayuka na rusha roho na maneno ya jikoni.
Shikeni Adabu zenu watoto vikojozi nyie.
Inaonekana mmelelewa bila baba.
 
ukweli utadhihiri tu hatakama makafiri na manaswara watachukia. huu ni mwanzo tu bado meengi yanakuja kudhihiri .
walokuwa wakiyapingai watajikuta wanayathibitisha kwa vinywa vyao wenyewe.
Safari hii

Kazi wanayooo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom