Ebaeban,Msiende tena mkaanze kuhamasisha kuchoma makinisa na kuwapiga mapadri risasi
Nimejiuliza sana hili, kama matukio yote yalikuwa wazi kabisa kwa nini imechukua miaka 9 wao bila upelelezi kukamilika!Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Msiende tena mkaanze kuhamasisha kuchoma makinisa na kuwapiga mapadri risasi
Na ndani ya hiyo miaka 9 hakuna makanisa yaliyochomwa wala tindikali iliyomwagwa.Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Huo ushahidi wako kwa nini umekaa nao hadi magaidi wanatoka mkuu? Si ungeupeleka wangekuwa washafungwa?Msiende tena mkaanze kuhamasisha kuchoma makinisa na kuwapiga mapadri risasi
Si wametoka? Ngoja tusikie tena makanisa yamechomwa moto au waumini au viongozi wa dini zingine wameuwawa uone. Safari hiyo, hawarudi!!!Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Kati yako wewe na yeye nani anaejua zaidi? Yeye na wenzie ndio waliokuwa mstari wa mbele kupigania wanachokijua huku wameshikana mikono, unaweza vipi kumpinga mwalimu wako wewe shabiki tu.Daaaah....
I hope and pray Sheikh Farid hakubaliani na hiki kituko cha huyu mtu...
Duh..!!Huo ushahidi wako kwa nini umekaa nao hadi magaidi wanatoka mkuu?Si ungeupeleka wangekuwa washafungwa?
Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.Wewe na yeye nani anaejua zaidi?
Ili Kupewa fundisho kuwa Tanzania ni ya sete wote, nafikiri miaka 9 wamelijua hilo na kama watarudia, watakuwa wanajitakia makubwa! Maana tangu wawekwe ndani nchi haikuwangoja. Na waislamu wengine na madhehebu mengine, Wali endelea na ibada zao.Nimejiuliza sana hili, kama matukio yote yalikuwa wazi kabisa kwa nini imechukua miaka 9 wao bila upelelezi kukamilika!
Hicho kilikuwa ni kichapo tu ili akili ziwakae kichwani. Na, zimewakaa nafikiri.Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa
Ila nchi ilitulia.. uliskia tena kuchoma makanisa na kuuwawa mapadre huko zenji..?Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa
Nadhani ni chuki zako tu miaka 9 mbona imeshindikana kuona hayoWalichoma makanisa na walihusika mauaji ya Padre.
Hujui kitu, wewe ni mmoja kati ya lile kundi lililoshibishwa mahubiri ya hao jamaa ambao mlikuwa mnapokea mafundisho toka kwa walimu wajinga, unamuita mwenzio mzembe aliekuwa frontline wakati wewe hata hujulikani ulipokuwa.Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.
Tunapigania kupunguza manguvu dhalimu ya serikali kwenye vi nchi vyetu vichanga vya kidikteta hivi, tumewasapoti miaka 9, tukiamini kuwa wameonewa kwa kosa la kutoa maoni ya kisiasa, whether hatuyakubali au tunakubaliana na kuvunja Muungano. Hawakutakiwa kufungwa miaka tisa..