Zanzibar na Pwani ndiyo zinaogoza kwa ushoga Tz. HahaLeo Kanisa limegubikwa na tatizo la ushoga.
Hatuwezi kusema kuwa haya ni mafunzo ya Yesu Kristo.
Halikadhalika tunalo tatizo kubwa la ugaidi hatuwezi kusema hayo ni mafunzo ya masheikh.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar na Pwani ndiyo zinaogoza kwa ushoga Tz. HahaLeo Kanisa limegubikwa na tatizo la ushoga.
Hatuwezi kusema kuwa haya ni mafunzo ya Yesu Kristo.
Halikadhalika tunalo tatizo kubwa la ugaidi hatuwezi kusema hayo ni mafunzo ya masheikh.
JK ndiye aliyewashughulikia hao jamaa wa misimamo mikali hakuwa Rais mkatoliki.Hujui kitu, wewe ni mmoja kati ya lile kundi lililoshibishwa mahubiri ya hao jamaa ambao mlikuwa mnapokea mafundisho toka kwa walimu wajinga, unamuita mwenzio mzembe aliekuwa frontline wakati wewe hata hujulikani ulipokuwa.
Nyie mlikuwa mnapigana vita ambayo hata hamkumjua adui yenu ni nani, badala ya kuelekeza mashambulizi yenu panapostahili, mkayaelekeza kwa wengine ambao kimsingi hawahusiki.
Hivi mnaposema "Zanzibar yenu" mnakuwa mnakumbuka hiyo Zanzibar ina mchanganyiko wa makundi ya watu wenye imani tofauti? au mnataka hao wengine waondoke Zanzibar mbaki peke yenu?
Rudi kawaulize walimu wako hayo maswali wakikujibu ndio urudi hapa na hizi story zako zisizoeleweka, ile Zanzibar sio yenu peke yenu, ni ya wote, huu ubinafsi wenu ndio unawaletea shida halafu mnalia mnaonewa.
Haujapatikana ushahidi wowote katika suala la ugaidi.Hujui vile serikali ina deel na ugaid!
Maabara,Zanzibar na Pwani ndiyo zinaogoza kwa ushoga Tz. Haha
Detective,hiyo kitu ikijirudoa tena. this time watapoteza maisha si uhuru tena
Sheikh Mselem: Usalama wa Nchi ni jambo linalopewa kipaumbele na sisi tunapenda usalama, furaha ikizidi inaweza ikazalisha kitu halafu mara nyingi kutokana na uzoefu kuna vitu watu wa kati huchomeka.
Inawezekana tumefanya jambo halali, tumeliombea ruhusa serikalini, tukapewa ruhusa lakini kuna watu wale wasiojulikana, kama wamataka kuharibu kitu au ku-create kitu basi hutengeneza sababu ambayo itatupa sisi dhima kwa hiyo tuwe wavumilivu.
Furaha itoshe tumetoka, tuko huru na tusubiri tutakaporuhusiwa kufanya mijumuiko tutafanya, tukiambiwa hapana basi tusishindane na mwenye nguvu.
Miaka 9???Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Ebaeban,
Sheikh Mselem au Muislam yeyote yule hawezi kufanya hayo.
Wamekuwa gerezani kwa miaka 9 shutuma za ugaidi zimeshindwa kuthibitishwa.
Ulishawahi kaa jela au unaongea kishabikiDaaaah....
I hope and pray Sheikh Farid hakubaliani na hiki kituko cha huyu mtu.
Ana elimu gani huyu shehe? Hayuko media savvy kabisa. Sio kila swali la kila ki You Tube TV kinachokimulika lazima ujibu.
Mmepigania nchi mkarushiwa risasi jukwaani, mkafungwa miaka tisa, hata kama huna nia ya kuendelea na mikutano kwa sasa huna haja ya kutamka mambo ya kishehe ubwabwa namna ile.
Serikali ya Tz imeshughulikia ugaidi wa Sheikh Farid na wenzie kwa namna bora kabisa. Usitafute ushahidi kama wanavyoatoa ushahidi wa kesi za ufisadi. Nakumbuka siku ya kwanza baada ya ule mhadhara kulitokea maandamano kwenda kituo cha polisi Madema, kisha kanisa la TAG kariakoo likachomwa moto.Haujapatikana ushahidi wowote katika suala la ugaidi.
Hadi leo toka sheria kupitishwa hakuna mtu yeyote aliyehukumiwa kwa kosa hili.
Sheikh Mselem: Usalama wa Nchi ni jambo linalopewa kipaumbele na sisi tunapenda usalama, furaha ikizidi inaweza ikazalisha kitu halafu mara nyingi kutokana na uzoefu kuna vitu watu wa kati huchomeka.
Inawezekana tumefanya jambo halali, tumeliombea ruhusa serikalini, tukapewa ruhusa lakini kuna watu wale wasiojulikana, kama wamataka kuharibu kitu au ku-create kitu basi hutengeneza sababu ambayo itatupa sisi dhima kwa hiyo tuwe wavumilivu.
Furaha itoshe tumetoka, tuko huru na tusubiri tutakaporuhusiwa kufanya mijumuiko tutafanya, tukiambiwa hapana basi tusishindane na mwenye nguvu.
Kunywa supu ya ulimi nitalipaKati yako wewe na yeye nani anaejua zaidi? Yeye na wenzie ndio waliokuwa mstari wa mbele kupigania wanachokijua huku wameshikana mikono, unaweza vipi kumpinga mwalimu wako wewe shabiki tu.
Yaliyomfika huko alikokuwa kwa miaka tisa yamemfunza asirudie kushindana na mwenye nguvu zaidi yake, kama kuipigania "Zanzibar yao" hiyo Zanzibar yao walipewa na nani? au waliinunua wapi? na kwanini wao kuipigania "Zanzibar yao" kusababishe waumie wengine ambao hawahusiki?
Ile Zanzibar ninayoijua mimi ni ya wote, hakuna mwenye Zanzibar yake pale, ule waliofanya ulikuwa ni ulevi tu wa ubinafsi na mihemko uliowasababishia matatizo, sasa mwenzako anakiri alikosea, wewe bado unataka umrudishe alikotoka wakati akiteseka kule wewe ulikuwa nyumbani na familia yako unakunywa chai na vitumbua.
Mwenzako anasema hivyo kutokana na joto la jiwe alilolionja huko.Hata wewe ukipelekwa huko utarudi ukiwa mpole km ng'ombe aliyehasiwa.Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.
Tunapigania kupunguza manguvu dhalimu ya serikali kwenye vi nchi vyetu vichanga vya kidikteta hivi, tumewasapoti miaka 9, tukiamini kuwa wameonewa kwa kosa la kutoa maoni ya kisiasa, whether hatuyakubali au tunakubaliana na kuvunja Muungano. Hawakutakiwa kufungwa miaka tisa.
Anatoka anasema oooh yamekwisha, furaha itoshe tumetoka, tusishindane na mwenye nguvu. Tushukuru tumetoka.
Wanaharakati wetu wa dunia ya tatu maskini ya Mungu, very uchwara. I hope Sheikh Farid does not subscribe to this man’s crap.
Ina maana yale waliyo kuwa wanayafanya ni sahihi ? Kwa mujibu wa nani ?Daaaah....
I hope and pray Sheikh Farid hakubaliani na hiki kituko cha huyu mtu.
Ana elimu gani huyu shehe? Hayuko media savvy kabisa. Sio kila swali la kila ki You Tube TV kinachokimulika lazima ujibu.
Mmepigania nchi mkarushiwa risasi jukwaani, mkafungwa miaka tisa, hata kama huna nia ya kuendelea na mikutano kwa sasa huna haja ya kutamka mambo ya kishehe ubwabwa namna ile.
Anasema statement ya kizembe wakati anafanyia kazi dini. Tena mafundisho sahihi.Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.