Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Sheikh Mselem: Tukiambiwa Hapana, tusishindane na mwenye nguvu

Hujui kitu, wewe ni mmoja kati ya lile kundi lililoshibishwa mahubiri ya hao jamaa ambao mlikuwa mnapokea mafundisho toka kwa walimu wajinga, unamuita mwenzio mzembe aliekuwa frontline wakati wewe hata hujulikani ulipokuwa.

Nyie mlikuwa mnapigana vita ambayo hata hamkumjua adui yenu ni nani, badala ya kuelekeza mashambulizi yenu panapostahili, mkayaelekeza kwa wengine ambao kimsingi hawahusiki.

Hivi mnaposema "Zanzibar yenu" mnakuwa mnakumbuka hiyo Zanzibar ina mchanganyiko wa makundi ya watu wenye imani tofauti? au mnataka hao wengine waondoke Zanzibar mbaki peke yenu?

Rudi kawaulize walimu wako hayo maswali wakikujibu ndio urudi hapa na hizi story zako zisizoeleweka, ile Zanzibar sio yenu peke yenu, ni ya wote, huu ubinafsi wenu ndio unawaletea shida halafu mnalia mnaonewa.
JK ndiye aliyewashughulikia hao jamaa wa misimamo mikali hakuwa Rais mkatoliki.

Mwenye kufikiria kwa kina atajiuliza mengi. Wapo wanaotaka kumtupia jumba bovu hayati JPM wakisahau na yeye alipambana field na akili kama hizo kule Mkuranga na Rufiji.

Kwa Tanzania hii ambayo tumechanganya sana makabila taasisi yoyote yenye nia ovu inajitakia maumivu.

Misingi yetu ya utaifa ni imara sana.
 
Zanzibar na Pwani ndiyo zinaogoza kwa ushoga Tz. Haha
Maabara,
Niko katika utafiti unaweza kunipatia ushahidi wa hili?

Ulaya zinafungwa ndoa kanisani.

Ningependa kujua kwa nini haya yanaruhusiwa.

Afrika ushoga ni jambo baya sana watu wanajificha Ulaya ni kitu cha kawaida.
 
hiyo kitu ikijirudoa tena. this time watapoteza maisha si uhuru tena
Detective,
Hilo la kupoteza maisha ni sehemu ya historia ya matatizo yaliyoko Zanzibar.

Wazanzibari wengi wamepoteza maisha katika kupigania nchi yao.
 
Sheikh Mselem: Usalama wa Nchi ni jambo linalopewa kipaumbele na sisi tunapenda usalama, furaha ikizidi inaweza ikazalisha kitu halafu mara nyingi kutokana na uzoefu kuna vitu watu wa kati huchomeka.

Inawezekana tumefanya jambo halali, tumeliombea ruhusa serikalini, tukapewa ruhusa lakini kuna watu wale wasiojulikana, kama wamataka kuharibu kitu au ku-create kitu basi hutengeneza sababu ambayo itatupa sisi dhima kwa hiyo tuwe wavumilivu.

Furaha itoshe tumetoka, tuko huru na tusubiri tutakaporuhusiwa kufanya mijumuiko tutafanya, tukiambiwa hapana basi tusishindane na mwenye nguvu.


Maneno ya hekima hayo!!! Maneno hayo ni mwiba mkali kwa wachochezi!!! Naunga mkono kauli ya sheikh Mselem.
 
Daaaah....
I hope and pray Sheikh Farid hakubaliani na hiki kituko cha huyu mtu.

Ana elimu gani huyu shehe? Hayuko media savvy kabisa. Sio kila swali la kila ki You Tube TV kinachokimulika lazima ujibu.

Mmepigania nchi mkarushiwa risasi jukwaani, mkafungwa miaka tisa, hata kama huna nia ya kuendelea na mikutano kwa sasa huna haja ya kutamka mambo ya kishehe ubwabwa namna ile.
Ulishawahi kaa jela au unaongea kishabiki
 
Haujapatikana ushahidi wowote katika suala la ugaidi.

Hadi leo toka sheria kupitishwa hakuna mtu yeyote aliyehukumiwa kwa kosa hili.
Serikali ya Tz imeshughulikia ugaidi wa Sheikh Farid na wenzie kwa namna bora kabisa. Usitafute ushahidi kama wanavyoatoa ushahidi wa kesi za ufisadi. Nakumbuka siku ya kwanza baada ya ule mhadhara kulitokea maandamano kwenda kituo cha polisi Madema, kisha kanisa la TAG kariakoo likachomwa moto.

Mapadri walipigwa risasi akiwemo Padri Evaristi, Watalii walimwagiwa tindikali, Wageni walichapwa viboko kwa kuvaa nguo fupi. Kama Serikali isingechukua hatua sitahiki pengine ZNZ ingegeuka kuwa Mogadishu au Kismayu au Syria.

Marekani kupitia jarida la Chuo Cha Ulinzi liliitaja UAMSHO kama kundi la ugaidi na viingozi wake waandamizi walipewa mafunzo Kandahar.

Tuamini ilichofanya Serikali kwa kuwa ni kwa masilahi mapana ya nchi yetu, wewe mwenyewe Mohamed Said na Mimi. Jiulize kwa nini wasikushike wewe binafsi na wakamshika Sheikh Farid na Sheik Mselem.

Naamini siyo kila taarifa ya Serikali na kwa ajili ya umma wote wa Watanzania, zingine ni kwa matumizi ya vyombo vya dola tu.
 
Sheikh Mselem: Usalama wa Nchi ni jambo linalopewa kipaumbele na sisi tunapenda usalama, furaha ikizidi inaweza ikazalisha kitu halafu mara nyingi kutokana na uzoefu kuna vitu watu wa kati huchomeka.

Inawezekana tumefanya jambo halali, tumeliombea ruhusa serikalini, tukapewa ruhusa lakini kuna watu wale wasiojulikana, kama wamataka kuharibu kitu au ku-create kitu basi hutengeneza sababu ambayo itatupa sisi dhima kwa hiyo tuwe wavumilivu.

Furaha itoshe tumetoka, tuko huru na tusubiri tutakaporuhusiwa kufanya mijumuiko tutafanya, tukiambiwa hapana basi tusishindane na mwenye nguvu.


Hili si ndiyo Uislamu umelikataza kila uchao.

Mtume wetu aliusia sana kuhusu kutii utawala,lakini wengi wanampuuzia nakuleta ujuaji.

Allah atupe thabati,na kufata mafundisho ya Mtume wetu.
 
Kati yako wewe na yeye nani anaejua zaidi? Yeye na wenzie ndio waliokuwa mstari wa mbele kupigania wanachokijua huku wameshikana mikono, unaweza vipi kumpinga mwalimu wako wewe shabiki tu.

Yaliyomfika huko alikokuwa kwa miaka tisa yamemfunza asirudie kushindana na mwenye nguvu zaidi yake, kama kuipigania "Zanzibar yao" hiyo Zanzibar yao walipewa na nani? au waliinunua wapi? na kwanini wao kuipigania "Zanzibar yao" kusababishe waumie wengine ambao hawahusiki?

Ile Zanzibar ninayoijua mimi ni ya wote, hakuna mwenye Zanzibar yake pale, ule waliofanya ulikuwa ni ulevi tu wa ubinafsi na mihemko uliowasababishia matatizo, sasa mwenzako anakiri alikosea, wewe bado unataka umrudishe alikotoka wakati akiteseka kule wewe ulikuwa nyumbani na familia yako unakunywa chai na vitumbua.
Kunywa supu ya ulimi nitalipa
 
Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.

Tunapigania kupunguza manguvu dhalimu ya serikali kwenye vi nchi vyetu vichanga vya kidikteta hivi, tumewasapoti miaka 9, tukiamini kuwa wameonewa kwa kosa la kutoa maoni ya kisiasa, whether hatuyakubali au tunakubaliana na kuvunja Muungano. Hawakutakiwa kufungwa miaka tisa.

Anatoka anasema oooh yamekwisha, furaha itoshe tumetoka, tusishindane na mwenye nguvu. Tushukuru tumetoka.

Wanaharakati wetu wa dunia ya tatu maskini ya Mungu, very uchwara. I hope Sheikh Farid does not subscribe to this man’s crap.
Mwenzako anasema hivyo kutokana na joto la jiwe alilolionja huko.Hata wewe ukipelekwa huko utarudi ukiwa mpole km ng'ombe aliyehasiwa.
 
Daaaah....
I hope and pray Sheikh Farid hakubaliani na hiki kituko cha huyu mtu.

Ana elimu gani huyu shehe? Hayuko media savvy kabisa. Sio kila swali la kila ki You Tube TV kinachokimulika lazima ujibu.

Mmepigania nchi mkarushiwa risasi jukwaani, mkafungwa miaka tisa, hata kama huna nia ya kuendelea na mikutano kwa sasa huna haja ya kutamka mambo ya kishehe ubwabwa namna ile.
Ina maana yale waliyo kuwa wanayafanya ni sahihi ? Kwa mujibu wa nani ?

Hai mashehe walitakiwa wakae wawasomeshe watu dini kama elimu zao zinakidhi hilo,au kama elimu zao ni ndogo basi wakasome kwa wenye elimu.

Ila mapito waliyo kuwa wanapita si katika mapito ya dini,ndiyo maana hali ikawa hivi ilivyo. Allah akawapa mtihani. Alichokiongea Sheikh Muselemu ni sahihi kabisa,unashindana vipi na mwenye nguvu hali wewe huna nguvu ya kimaada wala ya kiimani ? Huwezi kufaulu abadani.

Kwahiyo acha ujinga.
 
Www umefanya nini ,au uko nyuma ya keyboard tu hapa,henu ita press kesho tukuone kama unamaanisha unachosema boya wew
 
Anaejua nini zaidi? Mimi nisingetoa statement ya kizembe namna ile.
Anasema statement ya kizembe wakati anafanyia kazi dini. Tena mafundisho sahihi.

Hapa mzembe ni wewe usiyekuwa na elimu ya haya mambo. Nyinyi ndiyo mnautukanisha Uislamu,na Allah atawapa stahiki yenu kama hamtorudi katika njia ya sawa.
 
Back
Top Bottom