Tetesi: Sheikh Othman Maalim afukuzwa Zanzibar

Tetesi: Sheikh Othman Maalim afukuzwa Zanzibar

Ndivo ilivo mkuu. Huwezi kuwa ugenini then uanze kuingilia mambo ya ndan ya wenyeji wako, lazima utimuliwe.

Kwa hiyo serikali iko sahihi. Huwezi kuwa mgen then uanze kuingilia mambo ya ndan ya watu. Nchi haziendeshwi kwa kuoneana aibu kama unavodhan.
Hakuna hicho kitu kwenye security. Ukianza kucheza na usalama lazima watakushughulikia tu
 
Aende tu kwao serikali ndio yenye mamlaka basi mie nilijua kwao ni znz..khaa aende tu asituletee chuki sie tunapendana wakristo kwa waislam apeleke chuki zake huko kwao.akwendree tu.


sasa ngj aende mombasa akaungane na wafia dni dadek ttajuuuta
 
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim

*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*

Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2

Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Huyo aliyemwotesha ndoto alipaswa kumwotesha pia kuwa akisema tu atafukuzwa. Otherwise something is wrong
 
Mie nmeota Makao Makuu ya Nchi yamehamia Kibiti kutokea Dodoma ,nataka kuipeleka kwa Afande Sirro kwa utekelezaji!, nielekezeni wa Ndugu


hahahah orodhesha majina moja nbaada ya jingne ulooteshwa wanaotakiwa kuhamia huko!
1.bashite
2.mzee ya chattle
3.le boss himself le supika....
4.mamaa ya GHASIA
 
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim

*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*

Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2

Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Poleni wazenji. Siasa hufanywa taratibu na kwa mahesabu, dini vilevile ina taratibu zake. Inshallah Allah (Subhanahu wa ta'ala) atawapatia viongozi wenu walio ndani sunna ya nabii Yusuf (pbuh).Na sheikh Othman aende zake tu, asiwe na presha kwani Sheikh Hilal bin Kipoozeo yupo ata-cover pengo hilo.
 
Poleni wazenji. Siasa hufanywa taratibu na kwa mahesabu, dini vilevile ina taratibu zake. Inshallah Allah (Subhanahu wa ta'ala) atawapatia viongozi wenu walio ndani sunna ya nabii Yusuf (pbuh).Na sheikh Othman aende zake tu, asiwe na presha kwani Sheikh Hilal bin Kipoozeo yupo ata-cover pengo hilo.


my ribs my ribs
 
Nimehuzunishwa sana na taarifa hii mbaya ya kufukuzwa kwa Shekh Othuman Maalim kwani mimi ni miongoni wa wafuatiliaji wa Visa vyake. Namuomba Allah ampe subra katika mtihani huu na Allah amuhifadhi kama alivyo wahifadhi Mitume wake.
 
Back
Top Bottom