mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Nipo kwenye mchakato wa kutafuta passport.nikitoka nikirud majaaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaamiynNimehuzunishwa sana na taarifa hii mbaya ya kufukuzwa kwa Shekh Othuman Maalim kwani mimi ni miongoni wa wafuatiliaji wa Visa vyake. Namuomba Allah ampe subra katika mtihani huu na Allah amuhifadhi kama alivyo wahifadhi Mitume wake.
hahahah orodhesha majina moja nbaada ya jingne ulooteshwa wanaotakiwa kuhamia huko!
1.bashite
2.mzee ya chattle
3.le boss himself le supika....
4.mamaa ya GHASIA
Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim
*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*
Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2
Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Nmeota Kibiti umekuwa Mkoa na Mh. Sana Paul Makonda ametunukiwa Cheo hicho kutokana na kasi yake kuendana na Mufti Magu![/QUOTE
ahahahha watadunguliwa asbh sana
Ni mtanzania.ila kwa haya yanayotokea acha nitoke nikapumzikeMiaka yote hiyo ulikua unaishi vipi?
Hahahaha. In upumbavu uliopitiliza mtu anakuja na mawazo yake et ameota ndoto then ategemee serikali ianze kufanyia kazi mawazo yake.Mie nmeota Makao Makuu ya Nchi yamehamia Kibiti kutokea Dodoma ,nataka kuipeleka kwa Afande Sirro kwa utekelezaji!, nielekezeni wa Ndugu
Sijui wewe ndugu hata elimu ulisoma elimu ya aina gani? yana hata huwezi kupangilia mawazo yako na kuandika vizuri ili msomaji ambaye hajui chochote aweze kuelewa?Katika nakala zangu humu sijawahi kuzungumzia suala hata moja la kidini lakini leo nitazungumza jinsi serekali ya ccm Zanzibar ilivyomfanyia unyama mkubwa Sheikh Othman Maalim
*_Sababu kuu ya kumfukuza Sheikh othmam maalim ni kutokana na kuelezea ndoto yake ambayo ameiota siku 3 mfululizo ndoto yenyewe inazungumza kwamba anaamriswa sheikh Othman maalim kwenda kuongea na Serekali ya Zanzibar kutolewa kwa masheikh wa wa Zanzibar waliokamatwa bara kama magaidi(uamsho)_*
Siku zote nchi za udictecta kosa kubwa sanna ambalo utakalolifanya ni kuzungumza ukweli tu je ukweli wa Othman maalim ndio uliomponza na hii ni ndoto ambayo ameisimulia tu Au ndo uislam na waislam wake hamuwataki kama hamutaki nchi hii iendelee kwa dini ndio maana munatafuta kila vyanzo vya sababu kuwakamata na kuwa fukuza masheikh wetu basi tuuweni sote Wazanzibar kwani hadi sasa waislam wa Zanzibar ni asilimia 99.2
Licha ya kuwa sheikh othman maalim akifanya kazi zenu zote za kisiasa na akikutumikieni hadi kwenye matangazo ya vyandarua lakini hiyo ndio inaitwa fanya wema nenda zako usingoje shukurani Sheikh othman ameacha kazi zake makaazi yake wanafunzi wake na watu wake wa karibu lkn kwa kuambiwa ukweli tu serekali imeamua kumtimua
Ata mm ningeshangaa manake huyu jamaa mpaka uraia wa Zenji alishapewa!!Hivi Muda nmezungumza kwa Simu na Sheikh Othman Maalim kutokea Znz ameanambia hizo taarifa za Sijui kuota na kufukuzwa Zanzibar ni za uzushi tuzipuuze!
Ungekuwa mfano kwa kuwa makini na hii habari yenyewe kwanza kama ni ya kweli.Hahahaha. In upumbavu uliopitiliza mtu anakuja na mawazo yake et ameota ndoto then ategemee serikali ianze kufanyia kazi mawazo yake.
Yaan watanzania tuanze kuwa makin. Tuwe na mawazo na uelewa. Tusiwe wapumbavu kuanza kupumbazwa na wajinga wachache wanakuja na mawazo yao et ndoto. Kwanza alitakiwa kuwekwa ndan. Sio kufukuzwa tu huku ukiwa huru. Huyu alitakiwa kuwekwa ndan kabisa
Na habar hizi pia chanzo ni katika familia yke, halaf ivi iweje asitokee darsa karibia mwaka mmoja haijawah kutokeaHivi Muda nmezungumza kwa Simu na Sheikh Othman Maalim kutokea Znz ameanambia hizo taarifa za Sijui kuota na kufukuzwa Zanzibar ni za uzushi tuzipuuze!