Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
wangempa aufikishe huko basi bila shaka angeufikisha!Aupeleke kwa DPP na CJ!
Kuua na kufungaHivi serikali ya CCM huwa inafikiri nini juu ya maisha ya watu?
Ni mtu wa hovyo kupita kiasiRejea kauli ya 2020 CCM itashinda kwa njia yoyote.
Hii mada ingemuhusu yule mtuhumiwa mungine kiongozi wa chama fulan basi ingejaa wachangiaji, lkn kwa vile inawahusu wazee wa vipindi vitano kwa siku naona imesuswa kimtindo.“Mhe. Rais Watuhumiwa wa Ugaidi tunanyimwa Haki. Ukonga, Segerea tupo 187. Tumewekwa jela toka 2013. Mhe. jela miaka 8 ni kuadhibiwa bila ya kuthibitika kosa. Wewe kama mkuu wa nchi tunaomba ushauri wako tufanye nini ili tutendewe Haki?” Ujumbe huu nimepewa leo Ukonga na Segerea.
View attachment 1986119
Hapa kwenye kuhusisha kila kitu na siasa ndipo penye tatizo halisi!Hivi serikali ya CCM huwa inafikiri nini juu ya maisha ya watu?
Kwanini mada isiwahusu wakati kesi yake pia ni ya ugaidi? fungua akili toka nje ya box ulilofungiwa na mabosi wako.Hii mada ingemuhusu yule mtuhumiwa mungine kiongozi wa chama fulan basi ingejaa wachangiaji, lkn kwa vile inawahusu wazee wa vipindi vitano kwa siku naona imesuswa kimtindo.
Hakuna mahali nimetaja Samia mazeeKwa hiyo hao wa tangu 2013 wanahusiana vipi na Samia?
Swali la kijinga kiwango cha SGR.Kwa hiyo hao wa tangu 2013 wanahusiana vipi na Samia?
Na usipande SGR yetuSwali la kijinga kiwango cha SGR.
Mashekhe wa Uamsho walikamatwa 2014, Samia walimhusu nn mpk akawatoa
wao wamependa kuomba ushauri kwa rais.Aupeleke kwa DPP na CJ!
Nadhani awali walikuwa 186 kabla Mwamba hajatimba huko ukonga!wao wamependa kuomba ushauri kwa rais.