2013 nani alikuwa madarakani kati ya kikwete na JPM?Hii inathibitisha vile kosa la ugaidi linavyotumiwa na serikali iliyopita na hii ya sasa kuwafunga midomo wapinzani wao.
Kwa wale watuhumiwa wenye interest kwa jamii ambao kesi zao zinafuatiliwa zaidi, wanawezesha lengo lao kwa kuwahonga majaji vyeo ili waamue kesi zao kwa mapenzi ya watawala badala ya kufuata sheria ilimradi watuhumiwa waendelee kukaa gerezani kinyume cha sheria.
Huwa najiuluza, hivi mwishoni mwa utawala wake, Kikwete alianza kufanya mambo ya kuwa too harsh kwa waislamu ili kujionyesha kuwa yeye siyo mdini?2013 nani alikuwa madarakani kati ya kikwete na JPM?
Wewe ni mwendawazimu,hao wamefungwa 2013Hii inathibitisha vile kosa la ugaidi linavyotumiwa na serikali iliyopita na hii ya sasa kuwafunga midomo wapinzani wao.
Kwa wale watuhumiwa wenye interest kwa jamii ambao kesi zao zinafuatiliwa zaidi, wanawezesha lengo lao kwa kuwahonga majaji vyeo ili waamue kesi zao kwa mapenzi ya watawala badala ya kufuata sheria ilimradi watuhumiwa waendelee kukaa gerezani kinyume cha sheria.
Wai chatttttle kafagilie kaburiHii amani unayoiona sasa hivi ni kutokana na udhibiti uliokuwepo.tusije kuwa kama msumbiji...Gereza la Guantanamo mpaka leo halijafungwa na watuhumiwa kibao bado wanashikiliwa
Waasi siku zote hawaachi kuishutumu serikali iliyopo madarakani hapo ndipo unapozaliwa ugaidi uleeeeeee!Nchi hii inaendeshwa na siasa na sio utawala wa kijeshi. Hivyo matendo ya hovyo yeyote lazima yahusishwe directly na chama kinachosimamia serikali
Mpuuzi mkubwa weNi mpaka mtakapo acha kuhubiri udini na muanze kuhubiri umoja na mshikamano wa kitaifa
Na wewe piaMpuuzi mkubwa we