Wao wenyewe polisi wametuambia kuwa Hamza kajifunza ugaidi kupitia mtandaoni sasa ajabu haya mawazo sasa yamekujaje kuja huku madrasa.Mfano mtu akisoma dini hapa Tanzania akafuzu kwenda nje ya nchi,je'polisi watakwenda kuwakagua na huko nje ya mipaka.
Wafatilie tu maana wavaa madera wengi wanashida ya ugaidi!wewe na sheikh ponda ndio mnaufahamu.
sijakataa.
Sheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.
Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1935628
udini gani uislam au ukristo!!!kama umenisoma kwa umakini mboka post yangu iko wazi,kwamba sikubaliani na wahuni wanaouchafua uislam.Udini umekutawala akili.
hivi mnafikiri kuwa watakuwa wanakuja askari na mabunduki na magwandakanisani aumsikitini? wala hamtawajuwa mtakuwa mnashtukia tu mnakamatwa nyie endeleeni na mafundsho ya siyofaaSheikh Issa Ponda amesema Maimamu wa Dar es salaam wamekutana kujadili tamko la IGP Sirro kwamba polisi watakagua mafundisho yanayofundishwa kwenye nyumba za ibada ikiwa ni Madrasa na Sunday svhools.
Tutaomba kukutana na wenzetu maaskofu ili tutoke na tamko la pamoja, anaandika Ponda katika ukurasa wake wa twitter.
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1935628
Hahahaaaa......!hivi mnafikiri kuwa watakuwa wanakuja askari na mabunduki na magwandakanisani aumsikitini? wala hamtawajuwa mtakuwa mnashtukia tu mnakamatwa nyie endeleeni na mafundsho ya siyofaa
Mkuu tumia akili kwakichwa yako. Polisi wa Tz hawajawah kuaminika hata na rais mwenyewe hukusikia anawaonya tabia ya kubambikizia watu kesi? Huyo ni rais wa nchi imagine anakuja madrasa snatoa ripot kakamata bunduki aina ya Ak 47 pamoja na magazine na wamemkamata ustadh Ado Shaibu au Salum mwalimu wa madrasa hyo kumbe yote ni mipango michafu tu.Kama hawafundishi ugaidi kwa nini waogope kukaguliwa?
Shehe Ponda tulia ,tunajua waliokimbia Gabo delgado wamekuja Tazania kujijenga upya.
Maaskofu wa KANISA kukaguliwa mafunzo yao si jambo geni wala la ajabu kama unafundisha Mafunzo mema kuna haja ya kuogopa ukaguzi ? . Ni jibu swali acha ku-attack personalitiesDhambi ya ubaguzi inakutambaa.
Shehe, kaishajistukia. Sasa maaskofu watatoa tamko gani, wakati wao kila siku wanahubili mpende adui yako kama unavyojipenda, akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto. Hakunaga cha jino kwa jino OVER. Hata hao polisi wakichunguza wataokoka, SEMA AMENTamko la Sirro linawalenga waislamu, wakristo wameingizwa kama cover tu kubalance.
Wote tunajuwa hakuna gaidi aliwahi kusikika akisema bwana asifiwe, bali ni takbiir na Allah Uhakbar.
Na hakuna mafunzo ya kareti makanisani bali kwenye madrasa na misikiti hasa hawa Markaz.
Amen!Shehe, kaishajistukia. Sasa maaskofu watatoa tamko gani, wakati wao kila siku wanahubili mpende adui yako kama unavyojipenda, akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto. Hakunaga cha jino kwa jino OVER. Hata hao polisi wakichunguza wataokoka, SEMA AMEN
Kwahiyo ukifundishwa kareti msikitini ndio unakuwa gaidi!Tamko la Sirro linawalenga waislamu, wakristo wameingizwa kama cover tu kubalance.
Wote tunajuwa hakuna gaidi aliwahi kusikika akisema bwana asifiwe, bali ni takbiir na Allah Uhakbar.
Na hakuna mafunzo ya kareti makanisani bali kwenye madrasa na misikiti hasa hawa Markaz.
IGP wetu siasa mingi saana.huyu IGP Siro akiendelea kuachwa anaweza kuingiza nchi kwenye migogoro ya kidini na hii call ya Sheikh Ponda kutaka kujadili azimio la pamoja juu ya kauli ya Siro nadhani vita ndio inaanzia hapo.
Lakini kwa vyovyote vile siro ataenda kujifunza nini kwa mfano kwenye darsa za somo la Nahau kule Misikitini, ni uchochezi anataka kuufanya na Mama samia kama hatashtuka ataingizwa chaka la nguvu kwenye utawala wake., ogopa sana migogoro ya kidini katika nchi, imani ni kitu chengine.
Si kila kitu unatakiwa uige kwa sababu umekuta nchi nyengine kwanza Siro kwanza alipaswa kusoma georafia ya Tz watu wake wana nini na wanahitaji nini na nini kinaweza kuleta shida., Rwanda ni nchi ndogo sana.,
Hayo mafundisho yangefuatwa ipasavyo basi mngekuwa mnaongoza kudhulumiwa na kuonewa ila hali haipo hivyo na hiyo maana yake mafundisho hayafuatwi.Shehe, kaishajistukia. Sasa maaskofu watatoa tamko gani, wakati wao kila siku wanahubili mpende adui yako kama unavyojipenda, akikupiga shavu la kulia mgeuzie na lakushoto. Hakunaga cha jino kwa jino OVER. Hata hao polisi wakichunguza wataokoka, SEMA AMEN