Sheikh Shaffif: Yanga itashinda, hamna shaka katika hilo

Simba tuko na beki mbovu sana,kama tulikua tunachomoa chomoa kwa lambalamba basi bila shaka tutapoteza hii game
simba imefungwa magoli 14 ktk michezo 26 na yanga imefungwa magoli 18 katika michezo 24.

kwa takwimu hii nadhani umeshajua ni timu ipi mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba itashinda kwa bao 2 bila majibu.
Simba oyeee
 
Yanga inafungwa mapema tu. Kuna beki wa Yanga atatolewa kwa red card. Simba itapata penart halali. Luis atapiga goli 3 na kuondoka na mpira wake. Habari ndio hiyo. Ova
 
Simba tunapiga yanga mapema.

Ila jamani naomba kuuliza V.I.P B&C ni upande gani na viti vya rangi gani?
 
Mimi Kama shabiki nguli wa Yanga SC nasema hivi hatuna timu ya kumfunga Simba, hizi Ramli hazitatusaidia chochote dhidi ya Simba.
hivi Kapombe alijuwa anapiga mpira uliotoka au kipofu mechi na Azam
 
Yanga inafungwa mapema tu. Kuna beki wa Yanga atatolewa kwa red card. Simba itapata penart halali. Luis atapiga goli 3 na kuondoka na mpira wake. Habari ndio hiyo. Ova
Luis wa kawaida tazama mechi ya Azam na Kagera
 
Simba tuko na beki mbovu sana,kama tulikua tunachomoa chomoa kwa lambalamba basi bila shaka tutapoteza hii game
Kwamba Yanga ni wazuri kuliko Lambalamba? Aisee kumbe!
 
Halaf mnasema ati mpira utakaa uchezwe nje ya Tz. Yaani kutwa kucha timu zinakuwa masikini kwa kulogana tu. Badala ya kucheza kufa na kupona kuhakikisha mnachukua m200 mlizoahidiwa mnabaki kwenda kuagua. Shit country is this one kwa kweli.

Hebu fikiri; Yanga ingeshinda ikapata m200 si wangeweza kununua mchezaji yeyote? Shit country
 
Ni vizuri kujifariji. Hata mgonjwa mahututi ukimsalimia atakujibu "naendelea vizuri" hata kama afya yake inazidi kuzorota.
 
Uchawi ungekua unacheza mpira, yanga isingekamatika nchi hii na kimataifa, shekhe sharifu ni mganga wa kienyeji na mpira wapi na wapi.

Hela mna acha kuwekeza katika kujenga timu mnaenda kuwapa kina shekhe sharifu, poleni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lamba lamba wako vizuri idara zote kuliko yanga, ila amekufa mechi zote nne alizokutana na Simba safari hii, yanga amepigwa na lambalamba mkondo wa kwanza.

Hivyi utapima na bora kati ya yanga na Lambalamba, alafu Simba na hizo timu.
Simba tuko na beki mbovu sana,kama tulikua tunachomoa chomoa kwa lambalamba basi bila shaka tutapoteza hii game

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…